Oh!!! Kumbe ndiyo maana nilishindwa kuielewa comment yako, sasa nimekuelewa. Pole sana, matamanio yako yataishia kuwa matamanio ya mfalme njozi.Trump hawezi kuwa rais wa US again, kama vile ulivyochukuzwa na Magufuli basi jua wana tabia moja
Go Trump go.....Hawawezi kumshinda kwa kura!
Wamejaribu lawfare, nayo imeshindikana.
Sasa wanataka kumuua!
Democraps.
Za huruma zitakuwepo, ila kishujaa ndiyo zitakuwa zaidi.Go Trump go.....
Hili tukio litampa kura za 'huruma'.
Haya ya kuituhumu Democrats kuhusika ni speculation zako tu wewe, wenye nchi Yao wala hawajui haya.Kibabu wao Biden hajitambui sasa wanatumia maguvu!
Losers.
Hii mpya Sasa.....Biden ipo wazi alikuwa anakwenda kushindwa, Trump akipita Ukraine hali ni mbaya, hakuna kutoa misaada ya silaha , kuna uhusiano mkubwa wa kutaka kummaliza Trump na issue ya Russia-Ukraine war.
Ya Lissu ni tofauti sana kwa sababu Tanzania hakuna uchaguzi ni genge fulani la watu ndani ya chama kimoja wanakaa na watu wa Tiss na kupanga matokeo yaweje nchi nzima, yaani ni uhuni tu unafanywa.Mbona lisu hamkumpa kura za huruma
USSR
Dodoma Area DThis was a clear assassination attempt!!
Wasiojulikana wanekuja kukodishwa Tz😅😅😅Aisee, mambo ya ki-CCM yameanza lini huko?
Wakati wa Trump hakukua na Vita za kisengesenge alipoingia huyo Babu yako Ukoo wa Bush na Obama wakakinga ndoo ya Damu sasa Palestine damu zinamwagika Ukraine damu zinamwagika
[/QUOTMkuu sera nje ya Marekani haibadiriki kama huku, Biden amesaidia mengi kuliko Trump.Wakati wa Trump hakukua na Vita za kisengesenge alipoingia huyo Babu yako Ukoo wa Bush na Obama wakakinga ndoo ya Damu sasa Palestine damu zinamwagika Ukraine damu zinamwagika
Watanzania wengi wajinga unashangaa risasai Marekani?Wasiojulikana wanekuja kukodishwa Tz😅😅😅
Sio wa Republican pekee......John F Kennedy aliuawa kabisa lakini hakuwa republicanKwanini marais chama cha Republican ndiyo wanawindwa sana historia inaonesha Theodore Roosevelt, Ronald Reagan na sasa Donald Trump wote wa Rwpublican ....
Mimi nilishasema kwamba chama cha Democrat hakina tofauti kabisa na CCM!
Hao Democrats walianza na kujaribu kutaka kumwengua Trump kwenye baadhi ya majimbo. Hiyo ikashindikana.
Wakambambikia makesi kibao. Hiyo nayo haijaenda kama walivyotarajia.
Sasa wanatumia risasi. Kwa bahati nzuri, hiyo nayo haijafanikiwa.
Sasa nambie, hizo figisu zao zina tofauti gani na figisu za CCM?
Kama wamempiga chura teke
Swali zuri sanaaaa.Kosa la Trump ni lipi mpaka lihalalishe yeye kutaka kuuliwa?
Hawawezi kumshinda kwa hoja mpaka watumie nguvu?
Go Trump go.....
Hili tukio litampa kura za 'huruma'.
Kwa hiyo Trump ameamua kuwa Rais au wapiga kura ndio wataamua?Tatizo hataki kufata wakubwa wanataka nini, Kama uliangalia Mahojiano ya Putin na Turker, Putin aliweka wazi wanaoendesha Marekani wapo sio Biden, hao ndio wanataka nani awe Rais