Marekani: Halmashauri ya jiji lenye Waislamu wengi limepiga kura kupiga marufuku bendera za LGBTQ katika maeneo ya umma

Marekani: Halmashauri ya jiji lenye Waislamu wengi limepiga kura kupiga marufuku bendera za LGBTQ katika maeneo ya umma

Zacht

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2020
Posts
1,026
Reaction score
2,266
Meya wa Hamtramck Michigan Amer Ghalib, alipata wadhifa huo wa Umeya, mnamo 2021 baada ya kumkosoa mtangulizi wake kwa kupeperusha bendera ya LGBTQ nje ya ukumbi wa jiji.

Baraza la jiji la Hamtramck, Michigan, ndio jiji pekee la Marekani lenye baraza linaloongoza Waislamu akiwemo na Meya, lilipitisha azimio hilo la kupiga marufuku maonyesho ya bendera za LGBTQ kwenye majengo ya umma.

Upigaji kura kwa kauli moja ulifanyika Jumanne usiku, na azimio lililowasilishwa na Meya pamoja na Diwani Mohammed Hassan.

Azimio hilo linafafanua kwamba, “Serikali ya Jiji la Hamtramck hairuhusu bendera zozote zenye kuonyesha kikundi cha kidini, kikabila, rangi, kisiasa au makundi ya kijinsia kupeperushwa kwenye majengo ya umma ya Jiji, ila bendera ya Marekani pekee."

Huku kukiwa na upinzani dhidi ya pendekezo hilo, Hassan aliwaambia wanao leta pingamizi "Tafadhali msitutishe. Mimi ndiye afisa nilyechaguliwa. Ninafanya kazi kwa ajili ya watu, na kile ambacho watu wengi wanapenda."

Detroit Free Press iliripoti.
 
Nadhan Hoja kuu ni Kupinga ushogo wa Hadharani wala si kusambaza Uislam, au unasemaje Mkuu?
Ni kweli kabisa upo sahihi mkuu but something special here ni kuona jambo hili limefanyika kwa shinikizo kubwa la waislamu, hii inamaanisha kuwa uislamu umeanza kuota mzizi taratibu Marekani hiki sio kitu rahisi kukifanya kwa mtu au community yeyote kule Marekani

Muslims seems are the only one have Balls to fight them

So as as A Muslim lazima nifarijike
 
Miaka 15-20 nyuma uislamu ulikuwa ni local community pale Michigan leo almost baraza zima limejaa waislamu.

Hiyo different aspect, different times, different events.
Embu toa mfano unao endana na current situation
 
Hiyo different aspect, different times, different events.
Embu toa mfano unao endana na current situation
Mfano gani tena unataka mkuu

Hamtramck ,Michigan is the only Muslim-majority town in the United States wakazi wake 90% ni waislamu.

Na wanapitisha sheria zinazoendana na matakwa ya uislamu
 
Wenye hiyo dini ndio wale wale walioleta huo uovu katika Afrika Mashariki walipokuja kufanya biashara yao haramu ya utumwa na ndio maana leo hii maeneo waliokaa katika Afrika Mashariki ndio uovu huo ulikoshamiri zaidi, angalia Zanzibar na mwambao wa bahari ya Hindi kwa ujumla.

Waarabu ni watu bure sana na tena ni wanafiki sana hawana tofauti na hao wazungu kwenye kuwa na maadili ya hovyo na njia pekee ni kwa sisi waafrika kukataa kabisa tamaduni zao kwani kama ni Mungu hata sisi babu zetu walimjua kabla hawajaja Afrika na walichofanya ni kuja kutuvuruga tu na kutubambikia utamaduni wao usiofaa.
 
Kuna mtu hajaonekana kwenye uzi huu wenye muktadha wa kidini, sio kawaida.

Saudi Arabia hadi leo wanaogopa kuruhusu kanisa hata moja kujengwa nchini humo kwa hofu kubwa kwamba wakiruhusu tu basi ndio utakuwa mwisho wa dini ya Islam kuwepo nchini humo kwa sababu wanajua Injili ilivyo na nguvu ya kusambaa bila shuruti.
 
Wenye hiyo dini ndio wale wale walioleta huo uovu katika Afrika Mashariki walipokuja kufanya biashara yao haramu ya utumwa na ndio maana leo hii maeneo waliokaa katika Afrika Mashariki ndio uovu huo ulikoshamiri zaidi, angalia Zanzibar na mwambao wa bahari ya Hindi kwa ujumla.

Waarabu ni watu bure sana na tena ni wanafiki sana hawana tofauti na hao wazungu kwenye kuwa na maadili ya hovyo na njia pekee ni kwa sisi waafrika kukataa kabisa tamaduni zao kwani kama ni Mungu hata sisi babu zetu walimjua kabla hawajaja Afrika na walichofanya ni kuja kutuvuruga tu na kutubambikia utamaduni wao usiofaa.
Kama ushoga umeletwa na waarabu then kwanini inchi za kiarabu zina idadi ndogo ya mashoga na zimeweka sheria ngumu kwa wanao shiriki kuliko inchi za kikristo au zenye idadi kubwa ya wakristo.

Maana kama ingekuwa wao ndio waanzilishi (kulingans na hoja yako) basi leo tungeshuhudia ndio wanaongoza kwa idadi kubwa ya mashoga

Kwanini?
 
Kuna mtu hajaonekana kwenye uzi huu wenye muktadha wa kidini, sio kawaida.

Saudi Arabia hadi leo wanaogopa kuruhusu kanisa hata moja kujengwa nchini humo kwa hofu kubwa kwamba wakiruhusu tu basi ndio utakuwa mwisho wa dini ya Islam kuwepo nchini humo kwa sababu wanajua Injili ilivyo na nguvu ya kusambaa bila shuruti.
Zipo inchi nyingi za kiarabu zimeruhusu makanisa ikiwemo Dubai mmeshindwa nini huko
 
Am Christian Catholic, kama tu uislamu unaweza kumaliza ushoga, naunga mkono hata Marekani nzima iwe ya kiislamu. Ila waislamu nanyi mjifunze kutolazimisha watu waingie dini kwa lazima ya Sharia zenu.
 
Meya wa Hamtramck Michigan Amer Ghalib, alipata wadhifa huo wa Umeya, mnamo 2021 baada ya kumkosoa mtangulizi wake kwa kupeperusha bendera ya LGBTQ nje ya ukumbi wa jiji.

Baraza la jiji la Hamtramck, Michigan, ndio jiji pekee la Marekani lenye baraza linaloongoza Waislamu akiwemo na Meya, lilipitisha azimio hilo la kupiga marufuku maonyesho ya bendera za LGBTQ kwenye majengo ya umma.

Upigaji kura kwa kauli moja ulifanyika Jumanne usiku, na azimio lililowasilishwa na Meya pamoja na Diwani Mohammed Hassan.

Azimio hilo linafafanua kwamba, “Serikali ya Jiji la Hamtramck hairuhusu bendera zozote zenye kuonyesha kikundi cha kidini, kikabila, rangi, kisiasa au makundi ya kijinsia kupeperushwa kwenye majengo ya umma ya Jiji, ila bendera ya Marekani pekee."

Huku kukiwa na upinzani dhidi ya pendekezo hilo, Hassan aliwaambia wanao leta pingamizi "Tafadhali msitutishe. Mimi ndiye afisa nilyechaguliwa. Ninafanya kazi kwa ajili ya watu, na kile ambacho watu wengi wanapenda."

Detroit Free Press iliripoti.
Hii thread iwe fundisho mnaoichukia USA , wenzenu wavaa vipedo walichimbia huko michigan wakawaacha nyinyi mnapiga domo
 
Back
Top Bottom