Kuna ukwel gan hapo , mbona unakuwa mwendawazim , ukwel kuwa YESU NI MZUNGU ? We jamaa ni mwehu sijaona , kwamba USA wabaguzi ila lila kitengo kina mtu mweusi nitajie mtu mweusi (mwafrika) yupo kweny system ya Iran , China , Urusi , India na N.koreaNaona huwezi jadili bila matusi..na ukweli unakukasirisha sana...