Marekani: Halmashauri ya jiji lenye Waislamu wengi limepiga kura kupiga marufuku bendera za LGBTQ katika maeneo ya umma

Marekani: Halmashauri ya jiji lenye Waislamu wengi limepiga kura kupiga marufuku bendera za LGBTQ katika maeneo ya umma

Naona huwezi jadili bila matusi..na ukweli unakukasirisha sana...
Kuna ukwel gan hapo , mbona unakuwa mwendawazim , ukwel kuwa YESU NI MZUNGU ? We jamaa ni mwehu sijaona , kwamba USA wabaguzi ila lila kitengo kina mtu mweusi nitajie mtu mweusi (mwafrika) yupo kweny system ya Iran , China , Urusi , India na N.korea
 
Hii picha ulioiweka kwa Kuangalia tu ni wahindi wa south. Hata huoni rangi zao wamepaka kwenye paji za Uso?
Ndio maana nawaita wehu , tunazungumzia watu weusi , kuna mtu wa rangi hapo kweny hizo picha ?
 
Ukiangalia picha unajuwa na utaifa wao ila kuanzia rais hadi balozi wa nyumba 10 kwenye nchi zako pendwa huez kuta mtu kashika nyazifa ana ngozi ya aina hiyo , bado Huyu USA anaejitahid kuweka mambo wazi ndo mbaya , na michigan mpk mnajaa hamjauawa ila huko China wenzio wapo rumande , urusi aliwatia kiberiti mpk walipoomba poo , india ndo usiseme kila siku anaua , iran kaamua wanyoosha waislam wenzie maana usuni wao unawapopoa , ila Bado wavaa vipedo wanasema USA ndo mbaya sana View attachment 2660897View attachment 2660895View attachment 2660896View attachment 2660898View attachment 2660899

Wewe mpenda wazungu naona umeumia Sana napokuonesha walivyo sio watu...
Kuna Mzungu juzi kampiga risasi mtoto mweusi Kwa kugonga hodi Tu nyumban kwake...
Eti wazungu WA sasa wastaraabu nenda ukaishi nao wakutwange risasi..
 
Kuna ukwel gan hapo , mbona unakuwa mwendawazim , ukwel kuwa YESU NI MZUNGU ? We jamaa ni mwehu sijaona , kwamba USA wabaguzi ila lila kitengo kina mtu mweusi nitajie mtu mweusi (mwafrika) yupo kweny system ya Iran , China , Urusi , India na N.korea
Wewe kumbe kipofu..ntakuletea picha hapa nikufunge mdomo.....achaga kuropoka vitu huvijui..
 
Wewe mpenda wazungu naona umeumia Sana napokuonesha walivyo sio watu...
Kuna Mzungu juzi kampiga risasi mtoto mweusi Kwa kugonga hodi Tu nyumban kwake...
Eti wazungu WA sasa wastaraabu nenda ukaishi nao wakutwange risasi..
Wapi ni sehem nzur kuish kuliko USA? maana mmejazana USA wengne mnapambana kwenda ila humu mnajifanya kupaponda , NITAJIE NCHI SALAMA KWENDA ILI TUANZE WATOA WAVAA KOBAZ HAPO MICHIGAN WAENDE HUKO SEHEM SALAMA
 
Kuna ukwel gan hapo , mbona unakuwa mwendawazim , ukwel kuwa YESU NI MZUNGU ? We jamaa ni mwehu sijaona , kwamba USA wabaguzi ila lila kitengo kina mtu mweusi nitajie mtu mweusi (mwafrika) yupo kweny system ya Iran , China , Urusi , India na N.korea


Screenshot_2023-06-18-03-08-28-396_com.android.chrome.jpg
 
Wewe kumbe kipofu..ntakuletea picha hapa nikufunge mdomo.....achaga kuropoka vitu huvijui..
Ww ni mpuuz na unaandika upuuz , maana nmekuuliza useme sehem gan salama zaid ya USA kwa mtu mweusi na mvaa kobaz kuish , hutaj unaruka ruka tu
 
Wapi ni sehem nzur kuish kuliko USA? maana mmejazana USA wengne mnapambana kwenda ila humu mnajifanya kupaponda , NITAJIE NCHI SALAMA KWENDA ILI TUANZE WATOA WAVAA KOBAZ HAPO MICHIGAN WAENDE HUKO SEHEM SALAMA

You are too ignorant to argue with..
Nchi inayoongoza Kwa magonjwa ya kansa duniani Kwa sababu ya sumu kwenye vyakula wewe unakuja kutangaza hapa ndo nchi salama kuishi duniani??
 
Unahamisha magoli Hadi unatia huruma
We jamaa ni mpuuz sijapata kuona , goli gan limeamishwa hapo , unadai wazungu wabaguzi umetoa mifano yako , sasa tuambie wap wana ubaguz mdg kushinda WAZUNGU ( Ulaya&USA) ,maana nmekujib muda tu kuwa bora USA kuliko huko middle east na Urusi , China na Korea zote mbili ( Angalau Kusini) , ila bdo ukajifanya hujui kusoma , ss hv nakuuliza ww wapi ni bora kwako kuishi ambapo kuna ubaguz mdg kuliko USA , unasema nahamisha magoli , hv kichwan zimo ?
 
You are too ignorant to argue with..
Nchi inayoongoza Kwa magonjwa ya kansa duniani Kwa sababu ya sumu kwenye vyakula wewe unakuja kutangaza hapa ndo nchi salama kuishi duniani??
Hahaaa ushahamia kweny magonjwa sio ubaguz tena , ndio maana nakuita MWEHU hlf unadai nahamisha magoli [emoji23] [emoji23] , Afrika tuna watu wa ajabu sn , yaan hujui unazungumza nn mara ubaguzi sasa hv magonjwa inaezekana ugumu wa maisha unakuchanganya
 
We jamaa ni mpuuz sijapata kuona , goli gan limeamishwa hapo , unadai wazungu wabaguzi umetoa mifano yako , sasa tuambie wap wana ubaguz mdg kushinda WAZUNGU ( Ulaya&USA) ,maana nmekujib muda tu kuwa bora USA kuliko huko middle east na Urusi , China na Korea zote mbili ( Angalau Kusini) , ila bdo ukajifanya hujui kusoma , ss hv nakuuliza ww wapi ni bora kwako kuishi ambapo kuna ubaguz mdg kuliko USA , unasema nahamisha magoli , hv kichwan zimo ?
Bahati mbaya sina video hapa
Nilitaka nikupostie video ya mmarekani aliehamia Tanzania akikimbia ubaguzi..ilirushwa BBC...na wengine wamehamia Ghana
 
Hahaaa ushahamia kweny magonjwa sio ubaguz tena , ndio maana nakuita MWEHU hlf unadai nahamisha magoli [emoji23] [emoji23] , Afrika tuna watu wa ajabu sn , yaan hujui unazungumza nn mara ubaguzi sasa hv magonjwa inaezekana ugumu wa maisha unakuchanganya
Unaiona USA kwenye TV unafikiri maisha kule Kwa watu weusi ni kama fresh Prince of Bell air??
Inasikitisha sana...watu Hadi wanahamia Tz .....wewe uko unasifia ujinga hapa
 
Bahati mbaya sina video hapa
Nilitaka nikupostie video ya mmarekani aliehamia Tanzania akikimbia ubaguzi..ilirushwa BBC...na wengine wamehamia Ghana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hv swali umelielewa lkn ? Mbona unaonesha upeo mdg , naona hujui lolote nje ya USA tu , na ndio maana unakwepo kudebate USA Vs Middle east , Urusi , Uchina na korea , Iq yako ndogo sana
 
Hahaaa ushahamia kweny magonjwa sio ubaguz tena , ndio maana nakuita MWEHU hlf unadai nahamisha magoli [emoji23] [emoji23] , Afrika tuna watu wa ajabu sn , yaan hujui unazungumza nn mara ubaguzi sasa hv magonjwa inaezekana ugumu wa maisha unakuchanganya

Screenshot_2023-06-18-03-32-58-471_com.android.chrome.jpg
 
Unaiona USA kwenye TV unafikiri maisha kule Kwa watu weusi ni kama fresh Prince of Bell air??
Inasikitisha sana...watu Hadi wanahamia Tz .....wewe uko unasifia ujinga hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hv umeishia drs la ngap ? Ebu rudi usome tena yote nliyokujib , kuna sehem nmesema hayo yote au machache uliyotataja hayapo USA ? una kichwa kibovu cha karne hii , Narudia tena bora USA kuliko huko upasikii maana watu weusi huko wamezwa kbs hata kuonekana kwenye tv ni nuksi kwa nchi zao , Je China , Russia , Korea na Iran kuna mtu mweusi kwenye nyazifa za juu za system zao ? Kweny timu zao za taifa kuna mtu mweusi ( sio watu ) , au kweny field yoyote huko kwao umewai ona mtu mweusi , je unahisi hakund watu weusi kweny hzo nchi?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hv swali umelielewa lkn ? Mbona unaonesha upeo mdg , naona hujui lolote nje ya USA tu , na ndio maana unakwepo kudebate USA Vs Middle east , Urusi , Uchina na korea , Iq yako ndogo sana
Unalazimisha nibishane kitu ambacho sijaanzisha ubishi...nacho..
Na still unaongea uongo unaonesha upeo mdogo....
Mimi nilikuwa nakuonesha ukatili wa wazungu...wewe umekimbilia kwenye maisha Bora ambako nako huna data unaongea vitu based on films na tvna huko nako nakupa data Hadi za picha mara ukahamia midle east hakuna waafrika kwenye leadership nakupa Hadi picha ya Emir wa Kuwait mwafrika...bado tena unahamia kwingineko.....humjui hata Qaboos aliezaliwa Kigoma akaja kuwa mfalme Oman. Unamjua??
 
Back
Top Bottom