Marekani: Halmashauri ya jiji lenye Waislamu wengi limepiga kura kupiga marufuku bendera za LGBTQ katika maeneo ya umma

Marekani: Halmashauri ya jiji lenye Waislamu wengi limepiga kura kupiga marufuku bendera za LGBTQ katika maeneo ya umma

Taifa la Marekani limejengwa kwa misingi ya wahamiaji na karibia wote wa Marekani ni wahamiaji tu.

Ndani ya Marekani ukuwatoa wahindi wekundu ambao hawafiki hata asilimia 0.2 ndani ya Marekani wengine wote walio baki ni wahamiaji tu sema tofauti ni kuwa kuna wengine walitangulia kuhamia kuliko wengine.
Sasa niambie hizo nchi nyingine zina historia gani na wahamiaji?
Kasome historia kabla ya kupuyanga hapa , tuna miaka 200 toka utumwa uishe , leo nchi ya Uholanzi ambayo haikuwa na kolon afrika ina watu weusi wengi kuliko Iran ambayo imefanya biashara na afrika kwa miaka mingi sana
 
Taifa gani lisilo na wahamiaji?
Na kwanini hata miaka ya leo waendelee kwenda kule?
Ukisema taifa la Marekani limejengwa na misingi ya wahamiaji then unakiri kuwa hizo habari za US kuwa ni wabaguzi ni propaganda tu.
Unapotetea hayo mataifa mengine kuwa hayakujengwa na misingi ya wahamiaji, hapo unakiri kuwa mataifa hayo ni ya kibaguzi, siyo US wala ulaya.
Huyo jamaa kamezeshwa sumu kuhusu USA yeye anataka kila baya awape USA , na watu wa ivo ndo wanafanya tusiendelee kutwa kuunda vikundi vya kigaidi kuua waafrika wenzao ili kuwafurahisha mabwana zao wa kiarabu , ngumu sana huyo kukuelewa
 
Sasa hao wazungu wanapata wapi haki ya kuwabagua watu wengine kisa ni wahamiaji hali yakuwa na wao ni wahamiaji Kama wao?
Ww hoja yako ilikuwa ni kwann Marekani ina wahamiaji wengi kuliko Uchina na Urusi ndo nikakwambia kuwa Marekani haina wahamiaji wengi tu bali ni taifa la wahamiaji kabisa.

Kuhusu watu kuhamia mbona kila nchi duniani kuna wahamiaji kutoka nchi nyingine?

Lakini ninacho jaribu kukueleza ni kuwa Historia kati ya Waafrika na Marekani ina zaidi ya miaka 500, hali ya kuwa Historia kati ya wachina au Warusi na waafrika haina hata miaka 70 hivyo huwezi walinganisha.
Jamaa kakuelezea vzr sn ila sumu uliyolishwa na kitabu chenu hicho imekulemaza akili , mhamiaji hapangiwi wap pa kuhamia ila mhamiaji anaangalia wap wana unafuu kwake , hutopata sehem itaish bila malalamiko ila huko Urus na Uchina nyiny wahamiaj hamna nafas kbs sio kisiasa wala kiuchumi wala kimichezo
 
Ww jamaa una n ujuaji wa kijinga, unapo waongelea wahindi kwani walisha wahi kuja hapa Afrika wakawateka waafrika na kuwapeleka India kuwatumikisha mamia ya miaka kama wazungu wa America?

Waarabu wao walikuwa madalali wa wazungu kwenye biashara ya watumwa, walipo kuwa wanakuja kuwachukua watumwa huku walikuwa hawawapeleki waarabuni bali waliwapeleka American.
Kasome historia bado una umbumbumbu mwingi sana , hujui na hutak kujua unataka historia inayoiufurahisha ww , hao waarabu , wahind , wachina na washirazi ( leo wairan na waturuki ) walikuja huku afrika miaka mingi sana , kaangalie hata Ottoman empire uone kuwa biashara ya utumwa ipo miaka na miaka hata kabla ya kugundulika kwa bara la amerika , walikuwa wanakuja afrika wanachukua watumwa weusi kwa ajili ya shughuli zai za kiuchumi ( mashamba na viwanda vya kienyeji )
 
Unaona sasa u? Ukianza kutiririka yaani unajitiririkia na kusahau hoja zako mwenyewe.
Nikiamua kuendelea na wewe hata hii hoja ya Mwarabu kuwa dalaki wa mzungu utairuka.
Hata hapa ilivyo bado unaonekana unaonekana una story zako, siyo historia, na nina swali dogo tu ambalo litakupiga kitanzi, ila kwa kuwa nimeona ni kuj8bizana kusiko na tija acha nikuache.
Maana umeshaanza ku panic
Huyo hajui halaf hatak kujua , wapuuz kama hao ni wengi sana kisa kijijin kwao yeye ndo mwenye smartphone basi wanamsikiliza huko kama mungu sasa anataka mentality ya kijijini kwao ailete hapa
 
Mimi huyu jamaa nimeshaona uelewa wake ni tatizo. Yupo too shallow na ndiyo maana nimemuacha
Kbs mkuu hawa wanajadili mambo kimihemko wala hawana data , wao kuja data zinapikwa huko vijiwen kwao bas hawatafuti zaid
 
Ni kweli kabisa upo sahihi mkuu but something special here ni kuona jambo hili limefanyika kwa shinikizo kubwa la waislamu, hii inamaanisha kuwa uislamu umeanza kuota mzizi taratibu Marekani hiki sio kitu rahisi kukifanya kwa mtu au community yeyote kule Marekani

Muslims seems are the only one have Balls to fight them

So as as A Muslim lazima nifarijike
Soma vizuri maelezo ni bendera zote zinazo wakilisha makundi ya kidini au milengo ya kiitikadi isipokuwa benders ya USA, jambo hilo limepewa msukomo na mega mwisilam ila sio swala la kueneza dini ya kiislam
 
Soma vizuri maelezo ni bendera zote zinazo wakilisha makundi ya kidini au milengo ya kiitikadi isipokuwa benders ya USA, jambo hilo limepewa msukomo na mega mwisilam ila sio swala la kueneza dini ya kiislam
Kwani mimi nimezungumzia hili "kueneza dini ya kiislam"
 
Kama ushoga umeletwa na waarabu then kwanini inchi za kiarabu zina idadi ndogo ya mashoga na zimeweka sheria ngumu kwa wanao shiriki kuliko inchi za kikristo au zenye idadi kubwa ya wakristo.

Maana kama ingekuwa wao ndio waanzilishi (kulingans na hoja yako) basi leo tungeshuhudia ndio wanaongoza kwa idadi kubwa ya mashoga

Kwanini?
Waarabu na ushoga ni chanda na pete
 
Kuna mtu hajaonekana kwenye uzi huu wenye muktadha wa kidini, sio kawaida.

Saudi Arabia hadi leo wanaogopa kuruhusu kanisa hata moja kujengwa nchini humo kwa hofu kubwa kwamba wakiruhusu tu basi ndio utakuwa mwisho wa dini ya Islam kuwepo nchini humo kwa sababu wanajua Injili ilivyo na nguvu ya kusambaa bila shuruti.
Huo mwisho ungeanzia Zanzibar na Lebanon.
 
US will be islamalized insha'Allah

It's about time ,A good start
Wakati mkiendelea kuota the US government wapo bize na mambo yao wanayoyapenda
Screenshot_2023-06-18-15-43-40-414_com.twitter.android.jpeg
 
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSANHadith Idadi 16,245:

"maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.

Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam.

Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake
 
Je ni kweli ushoga umehalalishwa kwenye uislamu??????

, allah wa kwenye quran alikuwa anamwingiza muhamnad !!!!!!

Qur an 17:81 inasema
"Mola wangu uniingize mwingizo mwema"

Huo ni mwingizo gani muhammad alikuwa anaomba kuingizwa?
 
Kama ushoga umeletwa na waarabu then kwanini inchi za kiarabu zina idadi ndogo ya mashoga na zimeweka sheria ngumu kwa wanao shiriki kuliko inchi za kikristo au zenye idadi kubwa ya wakristo.

Maana kama ingekuwa wao ndio waanzilishi (kulingans na hoja yako) basi leo tungeshuhudia ndio wanaongoza kwa idadi kubwa ya mashoga

Kwanini?
Tusiende mbali angalia Tanzania, maeneo gani yanasemekana kuwa na watu wenye kujihusisha na uovu huo.
 
Back
Top Bottom