Marekani: Halmashauri ya jiji lenye Waislamu wengi limepiga kura kupiga marufuku bendera za LGBTQ katika maeneo ya umma

Marekani: Halmashauri ya jiji lenye Waislamu wengi limepiga kura kupiga marufuku bendera za LGBTQ katika maeneo ya umma

Ni kweli kabisa upo sahihi mkuu but something special here ni kuona jambo hili limefanyika kwa shinikizo kubwa la waislamu, hii inamaanisha kuwa uislamu umeanza kuota mzizi taratibu Marekani hiki sio kitu rahisi kukifanya kwa mtu au community yeyote kule Marekani

Muslims seems are the only one have Balls to fight them

So as as A Muslim lazima nifarijike
Mkianza uawa msije tupigia kelele , wazungu wastaarabu ila mkishindwa kuwa wastaarabu basi itakula kwenu , wazungu sio waafrika wana umoja sana
 
Mfano gani tena unataka mkuu

Hamtramck ,Michigan is the only Muslim-majority town in the United States wakazi wake 90% ni waislamu.

Na wanapitisha sheria zinazoendana na matakwa ya uislamu
Kwa marekan inaezekana sabab wao wanajari haki za kila mtu , kama wanavyowehishim mashoga pia wanawaheshim na nyinyi pia ila mkishindwa waheshim wengine basi jipangen kufurushwa kama Hitler alivyofanya kwa Wayaudi waliposhindwa kuheshimu tamadun za kijeruman
 
Kwamba mtu mweusi ananufaikaj dini ya waarabu inavyozid enea , mnachapisha quran labda?
Kwani mtu mweusi anafaidika nini na kuwekewa picha za Mzungu blonde mwenye macho ya blue na kuambiwa ndo Yesu Mungu wake?wakati kama Yesu alikuwa myahudi hawezi kuwa blonde na mwenye macho ya blue...au wajerumani walikuwa wanaua wayahudi wenye macho ya blue na blonde??
 
Kama ushoga umeletwa na waarabu then kwanini inchi za kiarabu zina idadi ndogo ya mashoga na zimeweka sheria ngumu kwa wanao shiriki kuliko inchi za kikristo au zenye idadi kubwa ya wakristo.

Maana kama ingekuwa wao ndio waanzilishi (kulingans na hoja yako) basi leo tungeshuhudia ndio wanaongoza kwa idadi kubwa ya mashoga

Kwanini?
Hv wakisema ushoga unaelewa nn? Unajuwa mnapenda zungumzia vitu hamvielew , mashoga ni wadau wote wa mapenz ya jinsia moja yaana top , bottom , lesbian etc kwa comment yako unaamin mashoga ni bottom tu ila umesahau mnalawitiwa sana na vijana wa kiarabu na ndo asilimia kubwa ya bottom waswahili wamerawitiwa na waarabu na wahindi sio mchina wala wazungu kwa hapa Tz
 
Kwani mtu mweusi anafaidika nini na kuwekewa picha za Mzungu blonde mwenye macho ya blue na kuambiwa ndo Yesu Mungu wake?wakati kama Yesu alikuwa myahudi hawezi kuwa blonde na mwenye macho ya blue...au wajerumani walikuwa wanaua wayahudi wenye macho ya blue na blonde??
Wap nmemzungumzia Yesu na picha zake , ukiitwa mwehu utakataa ? nmemuuliza huyo anashadadia hiyo dini ya mwarabu kuenea ,je yey kama mwafrika ananufaikaj ? Ukiuliza swali hakikisha nmelizungumzia , sitak ukichaa wenu hapa
 
Wazungu waastaarabu ndo maana wakawabeba watu weusi kama watumwa na kuwatesa huko makwao Kwa miaka 400??
Kaangaie documentary inaitwa MAID IN HELL hayo yanatokea sasa hv , nazungumzia wazungu hawa wa sasa , nieleze kuna mzungu wa sasa amewai mchukua mtu mweusi utumwani kwenda ulaya au emerika , ila angalia huko upande wa pili wanasema kbs hawawe acha kaz ya kutuuza kama mizoga tena hawajali haki zetu.
 
Wap nmemzungumzia Yesu na picha zake , ukiitwa mwehu utakataa ? nmemuuliza huyo anashadadia hiyo dini ya mwarabu kuenea ,je yey kama mwafrika ananufaikaj ? Ukiuliza swali hakikisha nmelizungumzia , sitak ukichaa wenu hapa
Na wewe unashabikia wazungu Hadi unawaita waastaarabu..
Ndo tunakuuliza walipkuwekea picha ya Mzungu ambae wala sio myahudi kwenye makanisa yao wakakwambia huyu ndo Yesu Mungu wako unajisikiaje?kama wayahudi wala sio blondes na hawana macho ya Blue huoni wazungu wamekutapeli?
Wanataka uwaabudu na kuwaona waastaarabu na waungwana kama unavyowasifia humu?why wakafanye mjinga na ukubali?kuna myahudi blonde na mwenye macho ya Blue?..
 
Na wewe unashabikia wazungu Hadi unawaita waastaarabu..
Ndo tunakuuliza walipkuwekea picha ya Mzungu ambae wala sio myahudi kwenye makanisa yao wakakwambia huyu ndo Yesu Mungu wako unajisikiaje?kama wayahudi wala sio blondes na hawana macho ya Blue huoni wazungu wamekutapeli?
Wanataka uwaabudu na kuwaona waastaarabu na waungwana kama unavyowasifia humu?why wakafanye mjinga na ukubali?kuna myahudi blonde na mwenye macho ya Blue?..
Hv una akili timamu ? kwa akili yako kama mbuz hv yesu ni mzungu? Kama ni hivyo hata Mudi ni mzungu pia , Pia wap nmemzungumzia yesu ? Ebu kuwa na akili timamu basi
 
Kaangaie documentary inaitwa MAID IN HELL hayo yanatokea sasa hv , nazungumzia wazungu hawa wa sasa , nieleze kuna mzungu wa sasa amewai mchukua mtu mweusi utumwani kwenda ulaya au emerika , ila angalia huko upande wa pili wanasema kbs hawawe acha kaz ya kutuuza kama mizoga tena hawajali haki zetu.
Wazungu WA sasa si ndo hawa wanaua hao kina George Floyd huko Marekani kila siku??
Au bado unawaabudu since wame edit history??
Kasome kitabu kinaitwa "Medical Apertheid"uone wazungu waliwageuza weusi wenzako huko USA nguruwe wa majaribio ya madawa na sumu mbali mbalimbali Hadi madawa ya kuwaongeza hasira wauwane wenyewe Kwa wenyewe..

Tafuta hiki kitabu
"Medical apartheid" mwandishi anaitwa Herrieth Washington...uje hapa useme tena wazungu hawa WA sasa wastaraabu
 
Hv una akili timamu ? kwa akili yako kama mbuz hv yesu ni mzungu? Kama ni hivyo hata Mudi ni mzungu pia , Pia wap nmemzungumzia yesu ? Ebu kuwa na akili timamu basi
Naona umeanza matusi Kwa Ku panic..
Kama Yesu sio Mzungu yake masanamu ya Kanisani mbona wameweka masanamu ya Mzungu??
Hadi filam yake waewawekea muigizaji Mzungu Brian Decon...
Jiulize Wana agenda gani na wewe kukutaka uabudu Mzungu??
 
...
Screenshot_2023-06-18-02-34-23-648_com.android.chrome.jpg
 
Wazungu WA sasa si ndo hawa wanaua hao kina George Floyd huko Marekani kila siku??
Au bado unawaabudu since wame edit history??
Kasome kitabu kinaitwa "Medical Apertheid"uone wazungu waliwageuza weusi wenzako huko USA nguruwe wa majaribio ya madawa na sumu mbali mbalimbali Hadi madawa ya kuwaongeza hasira wauwane wenyewe Kwa wenyewe..

Tafuta hiki kitabu
"Medical apartheid" mwandishi anaitwa Herrieth Washington...uje hapa useme tena wazungu hawa WA sasa wastaraabu
Ukiweka neno apartheid huko arabuni kunaongoza bora hao wanaandika vitab ila huko arabuni , mambo yamefunikwa sana , huez amini yule dada wa kenya alitupwa ghorofan ila serikali ya Saudia haikuchukuwa hatua yoyote mpk Kenya ilipopiga marufuku wadada kwenda Saudia kufanya kazi ndipo Saudia wakaenda kenya kuweka mambo sawa , ila pia hawakuwa chukua hatua yoyote , USA serikali yao inachukua hatua na inajitahidi kuweka mambo sawa , ukitegemea vitabu tu hutojua lolote , dunian ni bora USA kuliko hz nchi nyingne ambazo husikii wakizungumzia ubaguzi mf Nchi Libyia mikoa ya kusin ina watu weusi 95% ila hutosikia popote wakionekana WAMEKANDAMIZWA SIO KIMICHEZO WALA KISIASA , SERIKALI YOTE WATU WEUPE TIMU YAO YA TAIFA WATU WEUPE , ILA KWA UZUZU WAKO UPO BIZE NA USA AMBAYO INAWEKA MAMBO WAZI NA INAWAJIBIKA , HATA SAUDIA , IRAN , IRAQ , SYRIA , URUSI , CHINA , N.KOREA , AUSTRALIA KOTE HUKO ZIPO JAMII ZA WATU WEUSI ILA zimenyimwa hata fursa ya kuonekana kwenye tv , USA imepiga hatua kubwa sana kwa upande wa watu weusi kupata haki zao , china kesi ubaguzi haina uzito kbs View attachment 2660887View attachment 2660883View attachment 2660884View attachment 2660885View attachment 2660886View attachment 2660888View attachment 2660889
45dc5131cbdc46506ffd4f01dfd3d9a6.jpg
 
Naona umeanza matusi Kwa Ku panic..
Kama Yesu sio Mzungu yake masanamu ya Kanisani mbona wameweka masanamu ya Mzungu??
Hadi filam yake waewawekea muigizaji Mzungu Brian Decon...
Jiulize Wana agenda gani na wewe kukutaka uabudu Mzungu??
Hv akili zipo timamu asee ? yesu ni nan ? au zile sanam ndo yesu ? Mbona unaonesha wa hali ya juu , sijapanic ila naona na debate na mwehu , mada ilikuwa Marekan , ww unatuletea story za wayaduni , kwa umbumbu wako unahis kila mkosoaji wa uislam basi mshabiki wa dini ya warumi , muda mwingine jikite kweny mada husika , sio kila mkosoaji ni mwehu mwenzio , KAMA HUNA HOJA UNA SKIP REPLY BADALA YA KUSEMA MYAUDI NI MZUNGU
 
Je kati anaetoa takwim na aliyefunika mambo , nan bora ? Nan kaonesha uthubut wa kutatua ttzo ? Hv unajuwa ukiwa sehem nyingi za Urusi huez kutoka nje miji bila kuwa na mwenyej? Je uliwai kuona takwim zao ? Waafrika ni vichwa vibovu hatuez chakata akili zetu , huko penye matatizo mengi ndo wengi wanaenda , kwann msiende Urusi na Uchina au Nchi za Mashariki ya kati , kipi kinawafanya msitulie hapo krb tu mpk mnaenda huko mbali marekan ya kaskazin !
 
Hv akili zipo timamu asee ? yesu ni nan ? au zile sanam ndo yesu ? Mbona unaonesha wa hali ya juu , sijapanic ila naona na debate na mwehu , mada ilikuwa Marekan , ww unatuletea story za wayaduni , kwa umbumbu wako unahis kila mkosoaji wa uislam basi mshabiki wa dini ya warumi , muda mwingine jikite kweny mada husika , sio kila mkosoaji ni mwehu mwenzio , KAMA HUNA HOJA UNA SKIP REPLY BADALA YA KUSEMA MYAUDI NI MZUNGU
Naona huwezi jadili bila matusi..na ukweli unakukasirisha sana...
 
Ukiangalia picha unajuwa na utaifa wao ila kuanzia rais hadi balozi wa nyumba 10 kwenye nchi zako pendwa huez kuta mtu kashika nyazifa ana ngozi ya aina hiyo , bado Huyu USA anaejitahid kuweka mambo wazi ndo mbaya , na michigan mpk mnajaa hamjauawa ila huko China wenzio wapo rumande , urusi aliwatia kiberiti mpk walipoomba poo , india ndo usiseme kila siku anaua , iran kaamua wanyoosha waislam wenzie maana usuni wao unawapopoa , ila Bado wavaa vipedo wanasema USA ndo mbaya sana View attachment 2660897View attachment 2660895View attachment 2660896View attachment 2660898
f4569e85b0284a488bdc05d577d5796f.jpg
 
Ukiweka neno apartheid huko arabuni kunaongoza bora hao wanaandika vitab ila huko arabuni , mambo yamefunikwa sana , huez amini yule dada wa kenya alitupwa ghorofan ila serikali ya Saudia haikuchukuwa hatua yoyote mpk Kenya ilipopiga marufuku wadada kwenda Saudia kufanya kazi ndipo Saudia wakaenda kenya kuweka mambo sawa , ila pia hawakuwa chukua hatua yoyote , USA serikali yao inachukua hatua na inajitahidi kuweka mambo sawa , ukitegemea vitabu tu hutojua lolote , dunian ni bora USA kuliko hz nchi nyingne ambazo husikii wakizungumzia ubaguzi mf Nchi Libyia mikoa ya kusin ina watu weusi 95% ila hutosikia popote wakionekana WAMEKANDAMIZWA SIO KIMICHEZO WALA KISIASA , SERIKALI YOTE WATU WEUPE TIMU YAO YA TAIFA WATU WEUPE , ILA KWA UZUZU WAKO UPO BIZE NA USA AMBAYO INAWEKA MAMBO WAZI NA INAWAJIBIKA , HATA SAUDIA , IRAN , IRAQ , SYRIA , URUSI , CHINA , N.KOREA , AUSTRALIA KOTE HUKO ZIPO JAMII ZA WATU WEUSI ILA zimenyimwa hata fursa ya kuonekana kwenye tv , USA imepiga hatua kubwa sana kwa upande wa watu weusi kupata haki zao , china kesi ubaguzi haina uzito kbs View attachment 2660887View attachment 2660883View attachment 2660884View attachment 2660885View attachment 2660886View attachment 2660888View attachment 2660889View attachment 2660890
Hii picha ulioiweka kwa Kuangalia tu ni wahindi wa south. Hata huoni rangi zao wamepaka kwenye paji za Uso?
 
Back
Top Bottom