Marekani: Halmashauri ya jiji lenye Waislamu wengi limepiga kura kupiga marufuku bendera za LGBTQ katika maeneo ya umma

Waisraeli wenye nywele za blond na macho ya bluu mbona ni wengi sana tena toka enzi na enzi wewe ndio hujui kitu.

Kuna makabila 12 ya wana wa Israel wa hivyo wametapakaa Ulaya na Amerika ya Kaskazini kwa mujibu wa Biblia.
 
Wewe mpenda wazungu naona umeumia Sana napokuonesha walivyo sio watu...
Kuna Mzungu juzi kampiga risasi mtoto mweusi Kwa kugonga hodi Tu nyumban kwake...
Eti wazungu WA sasa wastaraabu nenda ukaishi nao wakutwange risasi..
Hapa akina Benny Saanane na Azory Gwanda walipotea na hawajulikani walipo sasa sijui kama na wenyewe wamepotezwa na wazungu? I don't know.
 
Huyo aache uongo, nchi kama Saudi Arabia na Iran ni miongoni mwa nchi chache duniani zinazoongoza kwa kunyonga watu sasa kama sio kwa uhalifu hao watu wananyongwa kwa nini.

Waafrika tunapenda sana kusifia tamaduni za kigeni na ndio maana sisi ndio tumefunga mkia kwa kuwa na IQ ndogo sana eti hadi majina lazima ujiite jina la kigeni ndio eti uonekane mnyoofu mbele za Mungu. Waafrika bure kabisa.
 
Hata vatikan hakuna msikiti hata mmoja. Wanaogopa kuruhusu maana waabudu masanamu woote wata kuwa waislamu.
Kwa hiyo wataenda kuabudu lile jiwe linaloitwa kahaba kule Saudi Arabia.
 
Waarabu wanaficha sana maovu yao, sema wazungu ni wawazi na sio wanafiki sana kama waarabu. Ukitaka kujua mwarabu ni mtu wa namna gani basi muulize msichana aliyewahi kwenda kufanya kazi za ndani huko uarabuni ndio utajua. Mwarabu sio mtu bwana.
 

Hassan alisema anawakaribisha Hamtramck, ILA wanapaswa kuheshimu uhuru wa kidini
 
Na akina Osama, Al Zawahiri na Al Baghdadi wenyewe wako kundi gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…