Wakati hata wewe umeliona...Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
Marekani imeionya Iran : βkwakweli hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia Israel wasifanye maajabu dhidi ya Iran endapo Iran wakithubutu kulipiza kisasi, tunajua na tunaelewa nini Israel walikuwa wamepanga na haikuwa kazi rahisi kuwazuia wasifanye hivo, wakati huu hatutakuwa na uwezo si tu wa kuwazuia Israel bali hata kuwashauri itakuwa ngumuβ
Ndo hapo wakati wewe mmwera jasusi umeng'amuaKwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
Kwani aliwatuma Mmarekani October 7? Aliyewatuma ndo azuieHao Wamarekani wameshindwa kuzuia watoto na wamama masikini wa Palestina kuuliwa kwa maelfu leo ndio uwaone wanauwezo wa kuzuia vita? hebu tumia akili yako Vizuri
Vita ni pamoja na washirika, mbona Russian imeagiza majeshi ya Korea kuisaidia kupambana na Ukraine hali kadhalika IRAN imeipa silaha RussiaKwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
Inaonekana wewe ni mweupe wa masuala ya kimataifa.Kama Iran shida yake ni kuingia "head to head war" na mmarekani si atupe kombora moja pale Pentagon?
Anarandaranda tu ila kidizaini anamuogopa mmarekani... Maana km wamarekani ndo wanafanya operation ya kumkanda nchini kwake kwanini naye asiwakande kulekule kwao kuliko kukomaa na Israel ambaye mnasema ni kibaraka tu wa mmarekani?
Iran atapigwa akijaribu kuleta ujinga tenaHivi we kiongozi uliyeandika Uzi huu unafikiria Nini??
Yaani marekan iwazuie Israel kufanya mashambuliz Iran na wawaruhusu kuyafanya Gaza??
Iran sio kama hao wengine, yaan wale ni viburi wenzao na hawaelew Chcht kama unavofikiria ww
Hakuna taifa linalopigana vita pekee yake ila kwenye vita huwa kuna taifa husika ambalo linakuwa mbele mataifa mengine yanakuwa nyuma yake lakini ushindi na kushindwa ni wa taifa ambalo liko kwenye mstari wa mbele.Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
nyie ndo mnajua kuwa USA ndio anapigana au atapigana wkt Iran alishasema Makamanda wakuu wa jesh la marekani wapo Telaviv na ndio wanaendesha vita kwaniaba ya israel tena kitambo tu mwanzo mwanzo wa vita ya Gaza so Tunaposema Muairan amuogopi mmarekani sijui amuelewi au nyie ndio mnamuogopa mmerekani Iran kashachapa kambi za jeshl marekani kaitwa njoo kwenye vita na mm si wote umu mashaidi Tramp alikimbia vita. Iran kashafanya mengi kuiyatalisha Israel lkn wameufyata Wairan washawapigisha magoti na mikono juu wanajeshi wa marekani akuna nchi nyengine imewai fanya aya IRAN ndio anamtafuta uyo mmarekani lkn marekani akai kwenye mfumo anarukaruka IRAN anajua anapigana nanani ndio icho anakitaka akuna aja kuvaa koti la Israel inafanya waIsrael w mchamba wima leo matumbo joto mana muIran washamjua ni mtendaji mzuli ana maneno yeye ni kuchapa tu so sisi tunajua maumivi ya wapalestina ayaishi adi JOKAA KUUU life kwaiyo anavutwa aje kwani nyinyi amjui kinachoendelea marekani anaepigwa mtungo mchina mrusi muIran iyo Israel chambo tuuu someni vizuli picha. Anaetakiwa ni USA
UYO MMEREKANI ndio wakumtishia IRAN iyo USA nikama jokaaa linatakiwa likatwe kichwa mbele ya macho y Dunia na duniani yote itashangilia kufa jokaa kuuu. Vitoto vichanga vinauwawa na ndio analatibu achagui hospital msikiti kanisa umeme maji chakula sheria zote zinakiukwa kwa amri yake UN inadhalilishwa kwa amri yake ile jokaaa kuuu WaIRAN wataikomboa dunia kushilikiana nawashilika wao.lkn jokaaa mla watoto wachanga litoke shimoni likamtetea mtoto wake anaechapwa na pramis3 atatoka kama bado atoki shimoni promis4 inakuja iyo lazima itoke mana kila tem inakuwa pana kuliko iliopita mwisho atakuja tu uwanjani maumivu akiwa shimoni yatamzidi.ππππππ