Dogo analyse vitu kama economist.Hakuna mtu atakupa mkopo Mara 3 zaidi ya Bajeti yako ya nchi uendeshe mradi.Huo ni mradi wa Barabara ambao ulikwama Toka enzi za Uhuru Kenyatta,na ni Mkopo Sasa hapo Kuna nini?
Wewe hujaona hapo nimekuwekea mradi wa gesi ya LNG Lindi ambao Marekani inabembeleza tuukamilishe haraka wa Trilioni zaidi ya 100?($42bln)
Tanzania tuna miradi Mingi ya hizo pesa kushinda Kenya.Huo ukifauku ndio utakuwa mradi mkubwa pekee Kenya wakati Tanzania tunayo ya kutosha.
Binafsi napendekea kuona mradi wa gesi unafaulu manaa utatufanga kuwa economic powerhouse wa Afrika Mashariki yote Hadi huko Ethiopia.
Umeona mbali balaa hili tunaletewa,Uganda hawana minerals resources kama Tanzania, itakuwa Tanzania time itaongea ,wanafukuzwa huko West Africa sasa wanakuja huku kwa majuha,tizama michango ya watu humu utajuwa waafrika kazi tunayo.Nilifikiria hili suala baada ya kuona Kenya ilivyo tambuliwa na USA kwenye hii ziara, nilijipatia hitimisho kuwa inawezekana ndani ya miaka 20 - 30 ijayo Kenya inaweza kuingia vitani na nchi mojawapo hapa Afrika mashariki, kama sio Uganda inaweza kuwa Tanzania
naona kuna issue ya serikali kupromote sana tutumie Gas asa baada ya raisi kutoka kwenye mikutano ya mabadiliko ya Tabia ya nchi ivi hakuna fungu lolote serikali imepata kwa ajili ya kuhamasisha wananchi tutumie nishati mbadalaHuo ni mradi wa Barabara ambao ulikwama Toka enzi za Uhuru Kenyatta,na ni Mkopo Sasa hapo Kuna nini?
Wewe hujaona hapo nimekuwekea mradi wa gesi ya LNG Lindi ambao Marekani inabembeleza tuukamilishe haraka wa Trilioni zaidi ya 100?($42bln)
Tanzania tuna miradi Mingi ya hizo pesa kushinda Kenya.Huo ukifauku ndio utakuwa mradi mkubwa pekee Kenya wakati Tanzania tunayo ya kutosha.
Binafsi napendekea kuona mradi wa gesi unafaulu manaa utatufanga kuwa economic powerhouse wa Afrika Mashariki yote Hadi huko Ethiopia.
Wewe ni mbumbumbu na huelewi unachoongea.Dogo analyse vitu kama economist.Hakuna mtu atakupa mkopo Mara 3 zaidi ya Bajeti yako ya nchi uendeshe mradi.
Dont be a fool.LNG haihitaji pesa nyingi hivyo kufika dar.
Una copy copy tu vidata mtandaoni huko in real sence they are not working out.
Ndio kwanza juzi Samia alizindua mkakati wa matumizi ya Nishati safi.naona kuna issue ya serikali kupromote sana tutumie Gas asa baada ya raisi kutoka kwenye mikutano ya mabadiliko ya Tabia ya nchi ivi hakuna fungu lolote serikali imepata kwa ajili ya kuhamasisha wananchi tutumie nishati mbadala
Mi sijui nazungumza na kitoto cha darasa la ngapi.Wewe ni mbumbumbu na huelewi unachoongea.
Kwa hiyo alipokuja Kamala akasema Marekani itawekesa kwenye viwanda vya Betri ilikuwa ni Mkopo?
Punguani mkubwa,huo sio Mkopo ni mradi wa kiuwekezaji na sio hela zinatolewa Kwa Tanzania kuwa na akili badala ya kukurupuka.
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1792499817639297241?t=khbCOK_iZgeSe06_AAHz8g&s=19
Ni wewe ulichelewa kujua hili. Ila Nashukuru kizazi kipya kitaelewa utofauti wetu na Kenya unapotokea. Ndio maana hii nchi inahitaji mwanaume. Kikosi cha mashangazi kitatupeleka pabaya. Kila siku kuzunguka kuomba unategwa na kukamatwa kirahisiMarekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.
Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.
thecitizentz
US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.
Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.
The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.
Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.
Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania
Utapata kimaendeleo wakati wakenya wanalia na hali mbaya kiuchumi.wakulima wa miwa west kenya wanalalamika kuongezewa ushuru kwa kila lori linalochukuwa miwa kwa wakulima kwenda viwandani?Kenya itapaa sn kimaendeleo
Futa huu ujinga mkuuKenya itapaa sn kimaendeleo
Narudia kukwambia wewe ni mbumbumbu na sijui unangea utumbo gani hapa.Mi sijui nazungumza na kitoto cha darasa la ngapi.
Serikali ya marekani Haifanyi biashara so they will not invest in your industry.
Tegemea ni kampuni ya uwekezaji ije hapa iwekeze kwenye hiyo sekta so it’s not your 100 percent profit na ulivyo na viongozi mbumbumbu hata 10% hawatapata zaidi watagawa Tax releief.
Nakuuliza nani akupe mkopo wa Trilioni 100? Hapo hujanijibu una ruka ruka tu
Ukweli Tanzania ni upuuzi! tunabaki na uchawa tu wenzetu wanafanya vitu sio kufikiria matumbo kama hawa wadauUpuuzi
Wapo wajinga wachache mkuu ila wapo.hivi bado kuna watu wapo ambao wanaamini ushirika wa marekani ni wakufaidika tu?
Tanzania tuko mbali zaidi Ya hao vibaraka.Ukweli Tanzania ni upuuzi! tunabaki na uchawa tu wenzetu wanafanya vitu sio kufikiria matumbo kama hawa wadau
Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.
Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.
thecitizentz
US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.
Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.
The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.
Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.
Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania
Hawanaga urafiki hao ni wanafiki kishenzi.Watasogea sana maana wa US hawanaga shida ukiwa rafiki yao
Marekani akuache unavuna matrilioni,Narudia kukwambia wewe ni mbumbumbu na sijui unangea utumbo gani hapa.
Nani au wapi nimesema Serikali ya Marekani inawekeza? Wanaowekesa ni kampuni za Marekani usiwe popoma.
Kwamba hatupati ngapi sijui nini ni uijinga wako tuu,sheria zinazotumika ni sheria za madini za Tanzania na zinaipa advantage ya Hadi 30% ya hicho kitakachowekezwa.
Pia Kodi zitakazokuws zinalipwa hapo ni matrilioni Nchi itakuwa inavuna.
Huyu ni ladboy mwingine kwenye jamiiforums. Huyu Dada ni chawa mkubwa sanaMarekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.
Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.
thecitizentz
US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.
Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.
The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.
Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.
Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania
Kwahiyo unawaonea Kenya wivu ulitamani Tanzania ndio iitwe na marekani ikapewe "Uchawa " wa Afrika mashariki?Subiri June uone
Tunapata kwenye share agreement na tunapata kwenye Kodi nk.Marekani akuache unavuna matrilioni,
Ile Twiga mineral sijui upuuzi gan wa magufuli unawapa bei gan saivi?