Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Nani kakudanganya? Waarabu wengi sasa hivi akili ishaanza kuwaingia hawataki kusikia tena ujinga wa dini,nenda Dubai,Saudia, Morocco, Tunisia,Egypt,Qatar nk. Hakuna tena huo ujinga wa kufa kwa ajili ya upumbavu wa mwingine eti kisa dini.Kama vita ikitokea Israel itaumia zaidi.
Maana itakua ni religious war kitu ambacho USA hatoweza kuingilia.
Acha utani kaka.Atatiaje mguu na wakati yeye mwenyewe anaomba na kusaidiwa Silaha na Iran,China na Korea
Mdanganye aingie kwenye mfumo wa TomahawksAyatollah mtu wa dini,mtume kasema kuahidi Kisha hutimizi ni dalili ya unafiki, ayatollah hawezi kuwa mnafiki,maana mnafiki Allah kasema atamuweka chini kabisa ya moto wa jahannam,tegemea lizombe kuchezwa Israel
Mkuu jidanganye vivyo hivyo.Nani kakudanganya? Waarabu wengi sasa hivi akili ishaanza kuwaingia hawataki kusikia tena ujinga wa dini,nenda Dubai,Saudia, Morocco, Tunisia,Egypt,Qatar nk. Hakuna tena huo ujinga wa kufa kwa ajili ya upumbavu wa mwingine eti kisa dini.
Tomahawks ni manati ya kale, unafikiri hajui!?Mdanganye aingie kwenye mfumo wa Tomahawks
Hata marekani bila myahudi ni mwepesiBila Marekani myahudi ni mwepesi sana
Fanatics wa ushoga au?!Ayatolah safari hii ndio mwisho wake,Iran inaenda kuwa Secular Republic.
Iran ni Taifa kongwe sana haliwezi kuendeshwa na Fanatics.
Iran sio Syria mkuu.Mdanganye aingie kwenye mfumo wa Tomahawks
Kama alivyorusha makombora mwezi June basi atarusha na sasa hivi tena.Hahahaha nilikuwa nausubiri sana huu muda,kwanza nasubiri Iran aanze kuputa mchanga kwa kurusha mabomu Israel.
Hata Norway aliyehusika na huo mchakato alizungumza hili kwa kusema tatizo litaisha kama Palestina itapewa uhuru wake.Yah hapa ndio kwenye shida yangu, kama haya yalifanyika na mmoja akaanza chokochoko basi dunia ilipaswa kumuangukia huyu aliyeanza chokochoko na sio kumpa mandate yakufanya atakavyo maana hali hii ndio inampa kiburi
Kama hakuna usawa, amani haiwezi kupatikana, dunia irudi mezani iweke usawa kila mtu awe huru na Taifa lake huru.
Waarabu washatoka kwenye utegemezi wa mafuta.Na bila mafuta ardhini Mwarabu ni mwepesi kuliko Bundi
Ndo maana hata Mnyazi mungu bila mudi ujumbe usinge upataWayahudi bila hao mabwana zao hawawezi kutoboa hata kwenye operesheni zao lazima wapate usaidizi wa US ndiyo wafanikishe.
Mambo jombaa. Unawajua familia ya Rostchil mzee baba. Kwa taarifa yako jamaa wameshililia mifumo yote ya kiuchumi kijasusi na kimaamuzi. Na sio marekan tu karibu ulaya yote na hata russia . Wenzio hicho unachofikiria leo walishakifiria miaka mia 2 nyumaAcha kudanganya Watu,historically IRISHMEN ndio wamejenga USA kuwa pale ilipo.
Hao wayahudi wako walikuja kunufaika kwa kuunda biashara ambazo zimekua kwa MISINGI NA MIFUMO BORA iliyojengwa na IRISHMEN.
Fuatilieni mambo msidanganye Watu.
Bundi huyu huyu aliezima mpaka train ya SGR? Awe mwepesi ๐Na bila mafuta ardhini Mwarabu ni mwepesi kuliko Bundi
Hizi kauli za Rostchild family ni STUPID CONSPIRACY ambazo kijana asiyeweza kufikiria out of box ndio anaweza akaziamini.Mambo jombaa. Unawajua familia ya Rostchil mzee baba. Kwa taarifa yako jamaa wameshililia mifumo yote ya kiuchumi kijasusi na kimaamuzi. Na sio marekan tu karibu ulaya yote na hata russia . Wenzio hicho unachofikiria leo walishakifiria miaka mia 2 nyuma