Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel

Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel

Dunia inapaswa sasa kuitambua haki ya wapalestina na kuacha kutoa upendeleo kwa Israeli, Wapalestina nao ni binadamu wanahitaji kuishi na kuwa na Taifa lao.

Dunia ijitahidi kubalance mambo ili amani ipatikane na Wapalestina wawe na Taifa lao pia.

Leo Wangoni wakiamua kutengeneza kitabu Chao na kusema ardhi yao ya ahadi ni South Africa Kwa Babu zao maana yake tutawaacha waende pale SA.
WaAfrica tunapigia kelele za uvamizi wa Boers pale SA, tutakuwa tayari kuwaunga mkono wakituambia pale ndio nchi yao ya ahadi kupitia kitabu chao?
Wachaga watoke Kilimanjaro waende kwao Ethiopia sijui na Mbilikimo wa DRC warudi kwao Kilimanjaro kwenye ardhi ya Babu zao aka nchi yao ya ahadi.

Dunia ilisimamia Timor mashariki wanapata nchi na kumeguka kutoka Indonesia na mpaka Leo hii amani imepatikana pale.
Leo hii Dunia inaisaidia Ukraine na kumuita Russia mvamizi na hata kumpa silaha Ukraine.

Kwanini ni Ngumu Palestina kuwa na Taifa lao na ilikuwa rahisi kuanzisha Taifa la Israeli miaka hii ya 1900 ilihali Wapalestina walikuwepo hapo na waisraeli waliondoka mahala hapo?.
Wapalestina kwao ni wapi? na asili yao ni wapi? Mbona tunaambiwa Ibrahim Baba wa Imani alitokeo Kaldayo (inasema ni Saudia) kwanini sasa Waisraeli wasiende kwenye asili ya Babu yao Ibrahim Kaldayo na kuamua kubaki kwenye maandiko ya kitabu ambacho kimsingi wanakiamini wao kwa Imani yao?
Kesho Hinduz wakiamka wakatuambia kwao ni USA kwa mujibu wa kitabu Chao basi tunaamini, Kesho ikizuka dini pale Buza na wakazi wa Buza wakatuambia kiasili na kiimani Kwa mujibu wa kitabu Chao na mitume yao ni UK nayo tuseme sawa wapishwe.

Wapalestina nao ni binadamu na wanapenda kuishi Kwa amani ndani ya Taifa lao kama Israeli na wengine wanavyoweza kuishi ndani ya mataifa yao.

Mwenyezi Mungu awabariki wote na kuwapa hekima yakuleta amani mashariki ya kati na watu wote pale wakaishi kwa amani kama kwingineko duniani.
Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi wengine walio kwenye mtaziko wa vita na kutesa maisha yao mfano DRC, CAR, nk.
 
Dunia inapaswa sasa kuitambua haki ya wapalestina na kuacha kutoa upendeleo kwa Israeli, Wapalestina nao ni binadamu wanahitaji kuishi na kuwa na Taifa lao.

Dunia ijitahidi kubalance mambo ili amani ipatikane na Wapalestina wawe na Taifa lao pia.

Leo Wangoni wakiamua kutengeneza kitabu Chao na kusema ardhi yao ya ahadi ni South Africa Kwa Babu zao maana yake tutawaacha waende pale SA.
WaAfrica tunapigia kelele za uvamizi wa Boers pale SA, tutakuwa tayari kuwaunga mkono wakituambia pale ndio nchi yao ya ahadi kupitia kitabu chao?
Wachaga watoke Kilimanjaro waende kwao Ethiopia sijui na Mbilikimo wa DRC warudi kwao Kilimanjaro kwenye ardhi ya Babu zao aka nchi yao ya ahadi.

Dunia ilisimamia Timor mashariki wanapata nchi na kumeguka kutoka Indonesia na mpaka Leo hii amani imepatikana pale.
Leo hii Dunia inaisaidia Ukraine na kumuita Russia mvamizi na hata kumpa silaha Ukraine.

Kwanini ni Ngumu Palestina kuwa na Taifa lao na ilikuwa rahisi kuanzisha Taifa la Israeli miaka hii ya 1900 ilihali Wapalestina walikuwepo hapo na waisraeli waliondoka mahala hapo?.
Wapalestina kwao ni wapi? na asili yao ni wapi? Mbona tunaambiwa Ibrahim Baba wa Imani alitokeo Kaldayo (inasema ni Saudia) kwanini sasa Waisraeli wasiende kwenye asili ya Babu yao Ibrahim Kaldayo na kuamua kubaki kwenye maandiko ya kitabu ambacho kimsingi wanakiamini wao kwa Imani yao?
Kesho Hinduz wakiamka wakatuambia kwao ni USA kwa mujibu wa kitabu Chao basi tunaamini, Kesho ikizuka dini pale Buza na wakazi wa Buza wakatuambia kiasili na kiimani Kwa mujibu wa kitabu Chao na mitume yao ni UK nayo tuseme sawa wapishwe.

Wapalestina nao ni binadamu na wanapenda kuishi Kwa amani ndani ya Taifa lao kama Israeli na wengine wanavyoweza kuishi ndani ya mataifa yao.

Mwenyezi Mungu awabariki wote na kuwapa hekima yakuleta amani mashariki ya kati na watu wote pale wakaishi kwa amani kama kwingineko duniani.
Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi wengine walio kwenye mtaziko wa vita na kutesa maisha yao mfano DRC, CAR, nk.
Allah atatushindia.
 
Mkuu hakuna haja ya Israel kumegewa ardhi Jordan wala Syria wala Lebanon.
1947 Ramani ilichorwa na ISRAEL alipewa ardhi kubwa sana inayotosheleza.
Ila shida ilianza 1948 Israel alipoanza territory expansion na UN under USA kukataa kuitambua Palestina kama taifa huru.Utata ulianza hapa.
Mipaka ipo cha kufanyika ni kurudiwa mipaka ya 1947 wala hakuna haja ya kukatwa mipaka upya.

Yah hapa ndio kwenye shida yangu, kama haya yalifanyika na mmoja akaanza chokochoko basi dunia ilipaswa kumuangukia huyu aliyeanza chokochoko na sio kumpa mandate yakufanya atakavyo maana hali hii ndio inampa kiburi

Kama hakuna usawa, amani haiwezi kupatikana, dunia irudi mezani iweke usawa kila mtu awe huru na Taifa lake huru.
 
Aaaagh wapi.
Hao wanajeshi buku nne sawa na bei ya kunywea supu ya kuku hawatatisha lolote.
Ile dozi ya makombora 300 itaongezeka,pia kule kaskazini Galilaya Wazayuni hamisheni hadi kuku na Bata maana Hizbollah ikishaanua matanga ya msiba kazi mnayo.
Wewe utakua ni muigizani wa Kaole!!

Huijui vita wewe Kobaz!! Soon utakuja na kilio Kwa Mahakama ya Kimataifa
 
Muda huu Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel

BREAKING: The U.S. has sent 12 warships, including the USS Theodore Roosevelt, with over 4,000 Marines and sailors to the Middle East!

A senior Pentagon official confirms.

Huwa hawana maajabu kwenye mtu kwa mtu,wapo Gaza muda tu,wakizidiwa kidogo huita ndege,Sasa Israel nchi ni uchochoro,ndege zitapata tabu,taifa teule limeomba msaada
 
Bila Marekani myahudi ni mwepesi sana
Nadhani aliyelengwa kuchakazwa aliyegusa mslahi ya Marekani moja kwa moja hapo ni Yemen.

Vita vya Israel na Hamas/Hisbuallar Marekani hawezi kupeleka vifaa na wanajeshi ku support direct.

Msaada unaotolewa na Marekani kwa Israel ni wa 'nyuma ya pazia'.
 
Ayatollah mtu wa dini,mtume kasema kuahidi Kisha hutimizi ni dalili ya unafiki, ayatollah hawezi kuwa mnafiki,maana mnafiki Allah kasema atamuweka chini kabisa ya moto wa jahannam,tegemea lizombe kuchezwa Israel
Ayatolah safari hii ndio mwisho wake,Iran inaenda kuwa Secular Republic.

Iran ni Taifa kongwe sana haliwezi kuendeshwa na Fanatics.
 
Back
Top Bottom