Marekani inafikiria kuizuia China kutumia mfumo wa Dollar kwenye malipo yoyote yanayohusu Dollar ya Marekani

Marekani inafikiria kuizuia China kutumia mfumo wa Dollar kwenye malipo yoyote yanayohusu Dollar ya Marekani

Ninazo kwenye pdf, ngoja nikutafutie.

Halafu kuna kingine katoa mtoto wa kaka yake Trump anaitwa Mary Trump, huyo ndiye kapiga ua galagaza kabisa, maana yeye katoa zile siri za familia ya Trump za ndanindani kabisa.

Kitabu kinaitwa " "Too Much and Never Enough: How My Family Created the World's Most Dangerous Man"

Nacho pia ninacho. Ninamalizia kazi fulani hapa nikipata muda nitaviweka.

Mary Trump's book breaks record with mammoth sales
Nitashukuru sana nikipata nakala kamanda. Itapendeza
 
Tatizo watu humu mawazo yao juu ya china yamejengwa kwa mtazamo jinsi wanavyoijua china kiafrika afrika,My brothers china ni tofauti kabisa sio kama tunavyoichukulia usione kila siku USA hakomi kumlalimikia china kula kukicha ni skendo kwa skendo dhidi ya china.china ni habari nyingine katika nyanja za uchumi na Technolojia.
countries by GDP (PPP)
1595016422781.png


countries by GDP (nominal)

1595016565676.png
 
Approve ratin hizo ni mawazo ya wachache ambao hata hawana mikono ndan ya Deep state kijana, elewa dunia ile inaendeshwa na wachache wacha kukariri mambo, mara ngap waona kura za maoni ziko hivi na yanatokea yale?

"Approve ratin" ni kitu gani?
What are you? An illiterate analyst?

Unaelewa kwamba unaji contradict?

1. Nakwambia haya maneno si ya Wa Marekani, ni ya Donald Trump.

2 Unaniambia maneno ya Donald Trump ni ya Wamarekani. Maana yake Donald Trump anaendesha serikali kwa ridhaa na dhamana ya Wamarekani wote.

3. Nakwambia approval ratings za Donald Trump hazioneshi kwamba anawakilisha Wamarekani wote.

4. Unaniambia serikali inaendeshwa na Deep State.

Unaelewa kwamba kauli yako hapo namba 4 kwamba serikali inaendeshwa na deep state ina contradict kauli yako namba mbili kwamba Donald Trump anaendesha serikali kwa ridhaa ya wananchi?

Unaelewa kwamba unajipinga wewe mwenyewe?
 
Suluhisho la mwisho ni kutumia Iranian option.

Yeyote atakaefanya biashara na Chinese Communist Party state anawekewa embargo ya kufanya biashara na USA.
Kiuhalisia yaaani
Vikwazo vishakua havina athari tena kama inavyotegemewa kama vikwazo vingekua na athari kama tunavyoaminishwa leo hii tusingekua na IRAN wala KOREA KASKAZINI
 
Utawala wa Bwana Donald Trump unafikiria kuizuia China kutumia mfumo wa Dollar kwenye manunuzi ya aina yoyote au wanaita dollar decoupling.

Dollar ya kimarekani ndio sarafu maarufu inayotumika kufanya malipo Duniani, zaidi ya 60% ya malipo Duniani yanafanyika kwa njia ya Dollar.

Dollar ndio safaru inayotumiwa na nchi nyingi Duniani kuthaminisha sarafu zao.

Trump anasema hii inaitwa financial nuclear option ya kuimaliza China.

US-China decoupling already under way, John Bolton says
Ni kwamba US wanatapatapa. China [emoji630] wakishirikiana na Russia[emoji635], Iran [emoji1130], Syria [emoji1238], Venezuela[emoji1263] wana mikakati ya kujitoa kwenye matumizi ya dollar. Hili litakuwa ni pigo kuu kwa taifa hili kwani gold reserve ndio ilikuwa standard tangu awali mpaka pale Saudi Arabia (waarubu mburura as usual) walipoingia mkataba na US wa "PETROL DOLLAR" na kuiondoa gold.

Kumbuka kifo cha Saddam chanzo ni hiki, kama ilivyo kwa Syria na Iran.
 
Ninazo kwenye pdf, ngoja nikutafutie.

Halafu kuna kingine katoa mtoto wa kaka yake Trump anaitwa Mary Trump, huyo ndiye kapiga ua galagaza kabisa, maana yeye katoa zile siri za familia ya Trump za ndanindani kabisa.

Kitabu kinaitwa " "Too Much and Never Enough: How My Family Created the World's Most Dangerous Man"

Nacho pia ninacho. Ninamalizia kazi fulani hapa nikipata muda nitaviweka.

Mary Trump's book breaks record with mammoth sales
MKUU hizo pdf kama unavyonipatie namimi if inawezekanika
 
"Approve ratin" ni kitu gani?
What are you? An illiterate analyst?

Unaelewa kwamba unaji contradict?

1. Nakwambia haya maneno si ya Wa Marekani, ni ya Donald Trump.

2 Unaniambia maneno ya Donald Trump ni ya Wamarekani. Maana yake Donald Trump anaendesha serikali kwa ridhaa na dhamana ya Wamarekani wote.

3. Nakwambia approval ratings za Donald Trump hazioneshi kwamba anawakilisha Wamarekani wote.

4. Unaniambia serikali inaendeshwa na Deep State.

Unaelewa kwamba kauli yako hapo namba 4 kwamba serikali inaendeshwa na deep state ina contradict kauli yako namba mbili kwamba Donald Trump anaendesha serikali kwa ridhaa ya wananchi?

Unaelewa kwamba unajipinga wewe mwenyewe?
Wewe ndio kilaza huelew maana yeyote unajua Aproval rating wanapataje ama unaropoka tu hapa kama mtu anaita msaragambo kesho???
 
Wewe ndio kilaza huelew maana yeyote unajua Aproval rating wanapataje ama unaropoka tu hapa kama mtu anaita msaragambo kesho???

Wewe ngumbaru unajua tofauti ya "yeyote" na "yoyote"?

Serikali inaendeshwa na deep state au inaendeshwa na wananchi?

Mbona unajipinga mwenyewe?

Mbona unakimbia kujibu hili?
 
Wewe ngumbaru unajua tofauti ya "yeyote" na "yoyote"?

Serikali inaendeshwa na deep state au inaendeshwa na wananchi?

Mbona unajipinga mwenyewe?

Mbona unakimbia kujibu hili?
Wananchi wanaendeshaje serikal pale kweli umepofuka macho wewe sio bure
 
Wananchi wanaendeshaje serikal pale kweli umepofuka macho wewe sio bure
Kwa hiyo kama unakubali kwamba wananchi hawaendeshi serikali, basi unakubaliana nami kwamba maamuzi haya hayana backing ya wananchi?

Unaelewa kwamba huwezi kusema wananchi hawaendeshi serikali, halafu hapo hapo ukasema maoni haya ya serikali ni ya wananchi?

Unaelewa kwamba unaji contradict hapo?
 
Ni kwamba US wanatapatapa. China [emoji630] wakishirikiana na Russia[emoji635], Iran [emoji1130], Syria [emoji1238], Venezuela[emoji1263] wana mikakati ya kujitoa kwenye matumizi ya dollar. Hili litakuwa ni pigo kuu kwa taifa hili kwani gold reserve ndio ilikuwa standard tangu awali mpaka pale Saudi Arabia (waarabu mburura as usual) walipoingia mkataba na US wa "PETROL DOLLAR" na kuiondoa gold.

Kumbuka kifo cha Saddam chanzo ni hiki, kama ilivyo kwa Syria na Iran.
 
Wakati huu wa njaa,tajiri ni yule mwenye mahindi gharani
 
Msijifanye wajuaji kuliko CIA na Vyombo vingine vya Marekani
 
World Bank kama sehemu ya UN hupitisha mambo yanayojadiliwa na kupitishwa na vikao vya UN.

Na hili kupitishwa kwenye vikao vya UN si rahisi.

Kumbuka, China si Iran, nayo ni permanent member wa Security Council UN, na ina ushawishi mkubwa.

Zaidi, ujinga inayoufanya serikali ya Marekani - Trump for the most part-sasa hivi ni kudharau hata rafiki zake, kujifanya inaweza kufanya mambo peke yake.

Sasa hapo ndipo utakapokuja muda wa kupiga kura halafu rafiki za China wote wakapiga kura na China, rafiki za Marekani nao wengine wakapiga kura na China, wengine wasipige kura na wachache wakapiga kura na Marekani.

Kwa hiyo Mmarekani kwa sasa akishindana na Mchina kwenye mambo kama haya, na ikaonekana wazi Mmarekani analeta ubabe, atachinjwa kwenye kura tu hapo UN.
Unaanzaje kumchinja mtu mwenye Android, IOS, ATM software, Facebook, Instagram, Twitter, YouTube, Pinterest, Chanjo za binadamu na mifugo, Whasspu, Wikipedia, Coca-Cola, 4G-System na Bank system software dunia nzima. Mchina anaelewa Threats za USA ndio maana anashindwa kusema naacha Fanya bihashara na USA ambae ndio soko kubwa duniani kuliko masoko
 
Mmarekani uchumi wake upo hivi due to dollarization,naona Trump alijui hili mkuu!! Iwapo mfano Asia,Africa yote na ulaya wakawa wananunua na kuuza bidhaa with China in Yuan ,bila SWIFT kuwepo katikati .......asubuthuuu....
Yani ukute unaishi maramba mawili kwa shemeji yako unajifanya unajua kuliko serikali ya Marekani....


Subiri uone mchezo unavyoenda. Huyo sio Barack Obama kupigana mavita ,Trump ni mzee Wa Vita vya uchumi.
 
Back
Top Bottom