TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
đź’©KULE WANAUAWA MAGAIDI. SO MNATAKA NA NYIE MUACHIWE TU? INA DHAMINI VIPI WEKA USHAHIDI WEWE KINEMBE.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
đź’©KULE WANAUAWA MAGAIDI. SO MNATAKA NA NYIE MUACHIWE TU? INA DHAMINI VIPI WEKA USHAHIDI WEWE KINEMBE.
Uzuri haujawahi kua na akili, mashariki ya kati, faida za bahari, faida za suez canal, mafuta ya kule, makundi ya wanamgambo ambao huondoa mamlaka kamili za kiraia Kwa mfano hamas kuipinga mamlaka ya palestina yote hayo hauwezi kuyafahamu mileleMarekani ndio mdhamini mkuu wa operesheni chinja chinja inayofanywa na Israel ukanda wa Gaza. Ndio balozi wake anatufundisha jinsi ya kuongoza taifa letu? Dunia haiishiwi maajabu
Ataelewa nini? Ibrahim aqil kaliwa kichwa yeye mwenyewe kuna mtoto kafa pale, israel kule anatumia elimination method toka zamani kudhoofisha makundi ya kigaidiKULE WANAUAWA MAGAIDI. SO MNATAKA NA NYIE MUACHIWE TU? INA DHAMINI VIPI WEKA USHAHIDI WEWE KINEMBE.
Huwa nikisoma hoja zako, nahitimisha kwamba kichwani kwako huna ubongo ila una samadi ya mbuzi katoliki iliyoanza kuozaUzuri haujawahi kua na akili, mashariki ya kati, faida za bahari, faida za suez canal, mafuta ya kule, makundi ya wanamgambo ambao huondoa mamlaka kamili za kiraia Kwa mfano hamas kuipinga mamlaka ya palestina yote hayo hauwezi kuyafahamu milele
Haujawahi kua na akili toka uzaliweHuwa nikisoma hoja zako, nahitimisha kwamba kichwani kwako huna ubongo ila una samadi ya mbuzi katoliki iliyoanza kuoza
Is it against Israel or against NATO? Una ulemavu wa akili weweHamuoni aibu.
1.Palestina
2.IRAN
3.LEBANON
4.SIRIA
AGAINST ISREL bado anawachapa
Mtu muovu Hana moral authority ya kuelekeza wengine kuacha uovuSis lazima watuambie ukweli.maana bibi chura Kila siku huenda marekani kulialia kuomba msaada.vilevile wanatuambia ukweli Kwa manufaa yetu.Mfano hawataki serikali yetu ovu kuteka watu wake,hii ni Kwa faida ya tz na siyo marekani
Kama tu CDM chenye hana cha kuifanya nyinyiem, wewe ni jitu jinga kabisaNani alimuanza mwenzake? Until mtakapo acha bakuli na kuomba omba sana. Huna financial power ya kumzidi marekani kwa namna yoyote ile so yes hamna la kuwafanya, hamuwez kumtingisha
USA Hana moral authority ya kutuelekeza cha kufanya juu ya maisha na uhai wa watu,Ni wajibu wa jumuia za kimataifa, ikiwemo Marekani kukemea na kulaani serikali zinazoteka na kuua wananchi wake.
Bila kujali huko Gaza pamekuwaje.
Halafu, kitendo cha Marekani sijui kuwasaidia Gaza haihalalishi serikali yetu kuteka na kuua raia, au kufumbia macho vitendo hivyo.
Nitaenda kuandamana tarehe 23.
Aliyekwambia wale Magaidi Nani? Au huyo huyo USA? Hata hapa kwetu Mwenyekiti kipindi fulani alituhumiwa Kwa Ugaidi?KULE WANAUAWA MAGAIDI. SO MNATAKA NA NYIE MUACHIWE TU? INA DHAMINI VIPI WEKA USHAHIDI WEWE KINEMBE.
Upost picha yako. Na bado.đź’©
Kama wazazi wao waliona hawana umuhimu wakawaweka kama Human Shield wapigwe tu mbwa hao.Watoto wa miaka chini ya kumi ni magaidi?
kuna mahali nimetaja chama? Nakushangaa sanaKama tu CDM chenye hana cha kuifanya nyinyiem, wewe ni jitu jinga kabisa
Je alikutwa Gaidi au Hakukutwa? Magaidi watawahishwa mabikra 72 duniani koteAliyekwambia wale Magaidi Nani? Au huyo huyo USA? Hata hapa kwetu Mwenyekiti kipindi fulani alituhumiwa Kwa Ugaidi?
Kwa hiyo ni Bora kuendelea uovu wa kuteka watu na kuua Kwa sababu anayetuambia tuache huo uovu ni muovu?Mtu muovu Hana moral authority ya kuelekeza wengine kuacha uovu
Unaona kweli Palestina Hamas ni watu wa kuacha kweli? Al shabab na Al kaeda ni watu wa kuacha kweli? Au kwa sababu ya udini unafikiri hawa wanakusaidia chochote?Marekani ndio mdhamini mkuu wa operesheni chinja chinja inayofanywa na Israel ukanda wa Gaza. Ndio balozi wake anatufundisha jinsi ya kuongoza taifa letu? Dunia haiishiwi maajabu
Marekani itaendelea tu kukupangia cha kufanya iwapo tu hutaachana na hii tabia yako mbaya ya kupenda vitu vya bure kutoka kwake.Marekani ndio mdhamini mkuu wa operesheni chinja chinja inayofanywa na Israel ukanda wa Gaza. Ndio balozi wake anatufundisha jinsi ya kuongoza taifa letu? Dunia haiishiwi maajabu