Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida mhuni nanaona yeye ndio mwerevu na hakuna mwingine anayeweza kumsumbua kwa chochote na lolote.Marekani ndio mdhamini mkuu wa operesheni chinja chinja inayofanywa na Israel ukanda wa Gaza. Ndio balozi wake anatufundisha jinsi ya kuongoza taifa letu? Dunia haiishiwi maajabu
Marekani ndio mdhamini mkuu wa operesheni chinja chinja inayofanywa na Israel ukanda wa Gaza. Ndio balozi wake anatufundisha jinsi ya kuongoza taifa letu? Dunia haiishiwi maajabu
Marekani ndio mdhamini mkuu wa operesheni chinja chinja inayofanywa na Israel ukanda wa Gaza. Ndio balozi wake anatufundisha jinsi ya kuongoza taifa letu? Dunia haiishiwi maajabu
Ndiyo, kwa sababu nchi yako ni ombaombaMarekani ndio mdhamini mkuu wa operesheni chinja chinja inayofanywa na Israel ukanda wa Gaza. Ndio balozi wake anatufundisha jinsi ya kuongoza taifa letu? Dunia haiishiwi maajabu
Tujikanye Sisi wenyeweKwa hiyo ni Bora kuendelea uovu wa kuteka watu na kuua Kwa sababu anayetuambia tuache huo uovu ni muovu?
Wavaa kobasi..na midera ..hamna kitu wanajua zaidi ya alimu Dunia..na mijini kibao wacha wachapwe tu mpaka siku watakapo staarabikaHamuoni aibu.
1.Palestina
2.IRAN
3.LEBANON
4.SIRIA
AGAINST ISREL bado anawachapa
Nakazia
Kwamba asitie neno wakati CCM ikiendelea kuwachinja watanzania wanayoikosoa?Marekani ndio mdhamini mkuu wa operesheni chinja chinja inayofanywa na Israel ukanda wa Gaza. Ndio balozi wake anatufundisha jinsi ya kuongoza taifa letu? Dunia haiishiwi maajabu
Endeleeni kumwaga damu za Watanzania wasio na hatia "kifo ni kifo tu"Marekani ndio mdhamini mkuu wa operesheni chinja chinja inayofanywa na Israel ukanda wa Gaza. Ndio balozi wake anatufundisha jinsi ya kuongoza taifa letu? Dunia haiishiwi maajabu
Hiki ni kile ulichokidhihirisha imagine ulichokificha moyoni mwako. Ulichokificha moyoni mwako ni kikubwa zaidi.Kama wazazi wao waliona hawana umuhimu wakawaweka kama Human Shield wapigwe tu mbwa hao.
Hamas wako Gaza. West Bank mazayuni wanafuata nini? Halafu wanawake na watoto wanaouawa kwa wingi nao ni Hamas? Kwa kisingizio cha kuwamaliza Hamas watu wengi wasio na hatia wauwawe, sasa kuna faida gani ya hizo sheria za kimataifa?Unaona kweli Palestina Hamas ni watu wa kuacha kweli?
Hakuna kuandamana tarehe 23. Hatutaki mtuharibie amani. Nawanasihi ndugu zangu Waislam wasitumike kuharibu amani ya nchi kwa maslahi ya kisiasa ya baadhi ya watu. Tusiharibu amani na utulivu wa nchi.Wavaa kobasi..na midera ..hamna kitu wanajua zaidi ya alimu Dunia..na mijini kibao wacha wachapwe tu mpaka siku watakapo staarabika
Hamas ndio waliochokoza mambo na kila wakati wanafanya hivyo.Hamas wako Gaza. West Bank mazayuni wanafuata nini? Halafu wanawake na watoto wanaouawa kwa wingi nao ni Hamas? Kwa kisingizio cha kuwamaliza Hamas watu wengi wasio na hatia wauwawe, sasa kuna faida gani ya hizo sheria za kimataifa?
Kwahivyo wapalestina wakiua waisrael wao wapigiwe makofi??