kabisa kabisa mkuuu!yaani wakati wapalestina wanaua waisrael wao walikua wanashangilia, leo kibao kimegeuka wanalalamika!upumbavu mtupuHawakukaa kimya, walikuwa wanashangilia kama wale wapalestina waliokuwa wanapokea mateka wa Israel kwa nderemo na vidijo....mambo ya isreal sijui palestina ukraine ni issues zao huko, wacha waonyshane makali