Marekani: Iran imehusika kuangusha ndege ya Ukraine

Huoni hapo "ghafla "Hiyo ghafla ndo inaleta sababu mtu uweze fikiria kuwa ni missle ilihit ndege. Maana kungekuwa na tatizo Pilots wangepiga simu kwa contrôler. Inaonekana ni kitu cha ghafla hata Pilots hawakushangaa. Means kwenye cockpit kila kitu kilikuwa bien.
 
Mimi huwa nasimama na ukweli ,Stuation ninavyoiona. Nadhani mimi ni mchambuzi. Sinaga upande. Sema uchambuzi wangu unamfavor one of them.
Yah kwel tena hua unachambua vyema mnooo

Ila unahisi katika hali yakawaida TEHRAN Ingeweza Kuripua Ndege Ambayo Ilikua Naraia Wengi Kiasi Kile Tena Wengi Wao Wakiwa RAIA Wake ?!

Unahisi IRAN Hakujua Kama Ile Ndege Sio Ya Abiria Na Je Makombora Yalofyatuliwa Yalikua Yanatokea wapi Kuelekea Wapi Na Ndege Ilikua Imetokea wapi 2 wap ?!


US Anaficha Madhaifu Ya Ndege Zake Ambazo Zinazidi Kupoteza Sifa Maana Kwa Sasa Mdege Ya Boeing Ya US Yanakiwango Chajuu Cha Ajali+Mauaji...m

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo cha Iran kukubali Kuwashirikisha Ukraine ktk uchunguzi,naamini 90% Iran hajaitungua hii ndege ,hapa inaonekana US anataka kuzuia aibu ya Boeing.
 
UKRAINE Wenyewe Waisha Comfirm Kama Kulikua Na Dharura Tayari ?!....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good questions. Iran hakudhamiria Kuangusha ndege. Hiyo ni bahati mbaya imetokea. Ukiangalia muda .Pia hii habari ambayo Iran wamekuja nayo kuwa box ipo damaged. Inaleta wasiwasi.
 
Good questions. Iran hakudhamiria Kuangusha ndege. Hiyo ni bahati mbaya imetokea. Ukiangalia muda .Pia hii habari ambayo Iran wamekuja nayo kuwa box ipo damaged. Inaleta wasiwasi.
Yah kua boxlipo damaged linaweza kua lakutia shaka

Lakini nasuala la UKRAINE Kusema Kama Tatizo Lakiufundi Unalichukuliaje

Inawezekana ikatokea bahati mbaya sijakataa ila kwa hili napingana nalo kama hii ndege imeripuliwa kwa makusudi ama bahati mbaya.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja niingie chimbo kama nitapata direction ya ndege na path ya missles. Tatizo zilitumwa nyingi. Inawezekana nyingine ilikutana na path ya ndege .
 
Someni kwa makini habari yenyewe ndio mje kutoa maoni, sio mnaleta ushabiki kila sehemu, inasemekana ndege ilidondoshwa kwa bahati mbaya na makombora ya ulinzi wakizani ni ndege ya kivita au drones za marekani, sio kwa kwa makombora yaliyokuwa yanashambulia kambi za Marekani Iraq

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sheria za investigation za hizo black box unazifahamu mkuu? Me ninachojua US wanachohoji ni kwanini Iran wanapindisha utaratibu na sheria zilizopo za kuinvestigate black box.
 
Sheria za investigation za hizo black box unazifahamu mkuu? Me ninachojua US wanachohoji ni kwanini Iran wanapindisha utaratibu na sheria zilizopo za kuinvestigate black box.
Niambie ww hizo sheria zinasemaje?

Kwangu mm naamini Iran anashika kile Kibox ili US hasipike habari za uzushi na ndio maana anamshirikisha Ukraine ktk uchunguzi.

I
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…