Marekani, Israel wanashirikiana na ISIS kufanya ugaidi Iran. Huu ni uoga wa hali ya juu

Marekani, Israel wanashirikiana na ISIS kufanya ugaidi Iran. Huu ni uoga wa hali ya juu

MJESHI mwingine wa Israel anayeshikiliwa huko #Gaza aliuawa kwa shambulio la bomu la Israel. Ikiwa Israeli itaendelea hivi, hakutakuwa na mfungwa wa Israel atakayesalia hai. Anza kujadili, nyie wapenda mada.
 
Back
Top Bottom