Marekani, Israel wanashirikiana na ISIS kufanya ugaidi Iran. Huu ni uoga wa hali ya juu

Marekani, Israel wanashirikiana na ISIS kufanya ugaidi Iran. Huu ni uoga wa hali ya juu

Ndugu yangu yaani Marekani na Israel zipange mauaji kwa njia ya suicide mission kwenye anniversary ambayo inafanyika kwenye cemetery area( makabulini) ili iue watu wasio hata na visu mkononi!!!!!!!!!????? Katikati kabsa ya mgogoro unaotishia kusambaa middle East 🙄🙄🙄🙄. Kwani lazma mtu ufikilie ki sheikh Ponda Ponda wakati mwingine tumieni na akili zenu za kuzaliwa( common sense). Weka kando akili za kuwaza bikira 72
Huna hoja
 
Hii propaganda umeipata wapi acha kudanganya watu
Wakati mtume kaenda hijjatul wadaa baada ya pale alisema akiondoka viongozi watakao mfuata ni abuu bakar na omar
Uislam ulianza kugawika baada ya kuondoka Sayyidina othman hapa ndio pakaanza kutoka matabaka na yalitoka matabaka manne
Kwenye hayo manne moja ndio likawa ovu kabisa hawa makhawaarij wakatolewa kabisa kua sio waislam wengine....

View: https://www.youtube.com/watch?v=Cbu1MuJ5S60&ab_channel=OBAOnlinetv

Msikilize sheikh wako wa kitanzania
 
Nadharia njama tu hizi, ingekuwa ni kundi la Israel, Marekani asingethubutu kulishambulia.
Hawa jamaa achana nao ni wazuri wa kutengeneza sinema hapa duniani embu fikiria wanawapa hela waasi congo hapo hapo wanatuma wanajeshi wa UN na hela ili walinde amani congo, hivi unajua netanyahu alikuwa anawaginance hadi hamas kwa manufaa yake ya uongozi?
 
The first scenes of Mossad spies who were arrested in Türkiye two days ago
 
BREAKING:

⚡ 🇱🇧🇺🇸 Nasrallah, kiongozi wa Hezbollah kuhusiana na Marekani:

UKRAINE INASHINDWA, NA WAAMERIKA WAKO KWA PRESHA

- Ukraine inashindwa, na Wamarekani wako chini ya shinikizo, na wanasitasita kujibu upinzani kutokana na wao kuwa katika vita vingi.

- Wamarekani wanatumia ISIS kama kisingizio cha kusalia Iraq, lakini ISIS ni uumbaji wa Amerika, Trump alikiri hii.

- Leo, Iraki ina fursa ya kihistoria ya kuwaondoa wanajeshi wa Amerika wanaokalia. Serikali ya Iraq lazima iwaombe Wamarekani kuondoka, na Iraq haihitaji Amerika kupigana na ISIS

-Nchi zilikataa hata kujiunga na muungano wa Marekani dhidi ya Yemen, hii ilisikitisha

t.me/megatron_ron
 
🇱🇧HEZBOLLAH SPEECH: ISIS IS A U.S CREATION

"Today there is an opportunity to get rid of the presence of American forces in Iraq and get rid of the falsehood of the American narrative of fighting ISIS.

The Americans use ISIS as an excuse to stay in Iraq, but ISIS is an American creation, Trump admitted this."
 
⚡️Sayyed Nasrallah: “American forces sponsor ISIS in Syria, provide it with support, and remove its members from prisons.”
 
🇮🇷 MAELEZO MPYA YAMEFICHUKA:

Wizara ya Ujasusi ya Iran ilichapisha maelezo mapya kuhusu shambulio la kigaidi huko Kerman:

• Mmoja wa washambuliaji 2 wa kujitoa mhanga, alikuwa na utaifa wa Tajiki. Utambulisho wa gaidi wa pili bado haujajulikana.

• Baada ya uchunguzi wa mambo yaliyohusika katika kuwaleta magaidi nchini Iran, operesheni ya kwanza maalum ya kuwakamata washirika ilifanyika jioni ya siku ya shambulio hilo.

• Asubuhi ya siku iliyofuata ya shambulio hilo, makazi ambayo yalitumiwa na magaidi 2 waliokufa yalitambuliwa katika viunga vya mji wa Kerman. Vipengele viwili vinavyounga mkono na kusambaza makazi yaliyosemwa vilitambuliwa na kukamatwa.

• Katika muendelezo wa operesheni hiyo, watu 9 kutoka mtandao wa usaidizi wa mtandao wa kigaidi na washirika wake walitambuliwa na kukamatwa katika mikoa 6 nchini kote.

• Katika maficho ya magaidi, vilipuzi vilipatikana, ikiwa ni pamoja na: fulana 2 za vilipuzi, vifaa 2 vya kudhibiti kijijini, vilipuzi 2, risasi elfu kadhaa na vipande vya vipande vilivyotumika katika fulana za vilipuzi, nyaya zilizotayarishwa kwa ajili ya fulana na kiasi cha malighafi ya vilipuzi.

• Operesheni hii itaendelea hadi kukamatwa kwa mtu wa mwisho ambaye alihusika katika kusaidia wahalifu kwa njia yoyote na kwa kiwango chochote.
 

Huyu mwanamke mjinga anatetea ndoa za mashoga na wasagaji nimsikilize mimi? yaani huyu ndiyo unamkubali daah kwanza anapenda sana ushoga pia ni mkimbizi wa Lebanon kakimbilia Us ni mkiristo pia ana chuki kali sana na Waislam.
Brigitte Gabriel ndiye mwanzilishi wa ACT for America, shirika kubwa zaidi la chuki dhidi ya Uislamu nchini, ambalo linaendeleza nadharia za njama za kupinga Uislamu ambazo mara nyingi hufuata..

Halafu ana roho mbaya hataki wakimbizi waingie US wanaleta TB na magonjwa.

Gabriel said refugees are bringing in “eradicated diseases like tuberculosis, which is now mushrooming all over the United States.” “Colorado has 16 cases, Ohio, 11 cases. Vermont, 35 cases. Wisconsin, 117 cases,” she added. In fact, the Center for Disease Control (CDC) reports that the total number of cases in 2016 represents an all time low of TB cases in the United States and an almost 3 percent decrease from the previous year. Moreover, it’s impossible to make a direct correlation between refugee resettlement and cases of TB per state.

Siku ingine usiniletee hawa mashoga. Au na wewe 🌈
 
Back
Top Bottom