Marekani, Israel wanashirikiana na ISIS kufanya ugaidi Iran. Huu ni uoga wa hali ya juu

Marekani, Israel wanashirikiana na ISIS kufanya ugaidi Iran. Huu ni uoga wa hali ya juu

ISIS Inadai Lawama kwa Mashambulizi ya Kigaidi nchini Iran - Uchambuzi

Ingawa nina hakika sana kwamba hii ni kazi ya Mossad, kama sehemu ya vita vya sasa vya kisaikolojia na kikomo kati ya Iran na Israeli, kukiri huku kwa ISIS ni dalili nyingine ya ISIS ni nani na ni nani aliyeiunda.

ISIS ni bidhaa ya Waisraeli na Wamarekani, ambayo ilitumika kuvuruga majimbo ya Kiislamu karibu na Israeli ambayo yalikuwa tishio kwa Israeli. ISIS haikuwahi kushambulia Israeli, na ilikuwa na silaha nyingi za Israeli na Amerika.

Wakati ISIS ilikuwa inazunguka Syria na Iraq na kupigana vita vikali dhidi ya vikosi vya Assad na Hezbollah (adui mkubwa wa Israeli), Jeshi la Wanahewa la Israeli mara kwa mara na kwa ukali lilishambulia maeneo ya Assad na Hezbollah, likitoa msaada wa anga kwa ISIS. Na sasa katika nyakati zenye joto kali kati ya Iran na Israel, ISIS inaishambulia Iran.

Idara za siri za Marekani zilikuwa za kwanza kutangaza kuwa ISIS ndiyo iliyohusika na shambulio hilo nchini Iran. Walijuaje kuwa ISIS ilikuwa ikijiandaa kwa shambulio la kigaidi dhidi ya Iran?

Wengine watasema ndio, lakini Marekani ilimuua kiongozi wa ISIS, Abu Bakr Al-Baghdadi, baada ya Hezbollah, Iran na Assad kumshinda. Je, Marekani ilijua wapi pa kumpata al-Baghdadi mara moja?

Jibu liko wazi, waliliondoa, baada ya ISIS tayari kushindwa kabla ya kuangukia mikononi mwa Iran. Swali lingine muhimu sana ni kwa nini wakati huu wapiganaji wenye itikadi kali za Kiislamu, ISIS, waliishambulia Iran na si Israel, ambayo mpaka sasa imewaua kwa umati raia takriban 25,000 wa Kiislamu?

Kwa nini ISIS inawaua Waislamu kila mara katika Mashariki ya Kati? ISIS imekuwa ikifanya kazi nzuri hadi hivi karibuni ya kuziweka nchi ambazo ni tishio kwa Israeli katika machafuko na vita, lakini sasa ni wazi kuwa ISIS ni bidhaa ya Mossad na CIA kulinda Israeli.

t.me/megatron_ron
 
Huyu mwanamke mjinga anatetea ndoa za mashoga na wasagaji nimsikilize mimi? yaani huyu ndiyo unamkubali daah kwanza anapenda sana ushoga pia ni mkimbizi wa Lebanon kakimbilia Us ni mkiristo pia ana chuki kali sana na Waislam.
Brigitte Gabriel ndiye mwanzilishi wa ACT for America, shirika kubwa zaidi la chuki dhidi ya Uislamu nchini, ambalo linaendeleza nadharia za njama za kupinga Uislamu ambazo mara nyingi hufuata..

Halafu ana roho mbaya hataki wakimbizi waingie US wanaleta TB na magonjwa.

Gabriel said refugees are bringing in “eradicated diseases like tuberculosis, which is now mushrooming all over the United States.” “Colorado has 16 cases, Ohio, 11 cases. Vermont, 35 cases. Wisconsin, 117 cases,” she added. In fact, the Center for Disease Control (CDC) reports that the total number of cases in 2016 represents an all time low of TB cases in the United States and an almost 3 percent decrease from the previous year. Moreover, it’s impossible to make a direct correlation between refugee resettlement and cases of TB per state.

Siku ingine usiniletee hawa mashoga. Au na wewe 🌈
Sikiliza hapo jinsi ALLAH wenu alivyo SHETANI MKUBWA
 
Mbona Sasa waliishambulia badala ya kuiacha wammalize Assad ?
Hakuna proof yoyote ya Marekani kushambulia ISIS achana na propaganda za media za mazayuni , Marekani ni tool inayotumika na mazayuni kupambana na maadui wa mazayuni , Asad alikuwa mhanga wa hili ,
Majeshi ya Asad , Russia na brigades za Hezbollah na Iran Republic guards na Wakurdi ndio waliosaidia kupambana na kuwatokomeza ISIS na si vinginevyo
Marekani na genge lake ndio waanzilishi na wafadhili wa ugaidi
 
Vita ya kuwatokomeza ISIS pale Aleppo ni Vikosi vya Asad , Hezbollah na Russian air force Ndio waliotveza kisago pale na kufanikisha kuwatokomeza wale washenzi .
Uturuki naye ilitumika kama njia ya wapiganaji wa ISIS kuingia Syria na kuanzisha huo ushenzi wao ,ikumbukwe ISIS ilitengenezwa na watu kutoka mataifa mbalimbali na wengi ni kutoka nchi za magharibi waliokuja pale wakidai wanaenda Syria na Iraq kumuondoa Asad na kutengeneza caliphate
Kuna overwhelming evidence ya kuhudu hilo ,na hata huyu Edorgan alikiri hilo kwamba waliachia border kuruhusu hao watu kutoka mataifa mbalimbali kuingia kinyemela kule Syria
Na ikumbukwe Uturuki alifanya hivyo ili kuwaruhusu wale washenzi kwa sababu Turkey ana uadui mkubwa na Wakurdi wale PKK upande wa Syria ambao anadai wanataka kumega kipande chao na kujitenga ndani ya Uturuki ,kwani kuna Wakurdi pia ndani ya Uturuki na imekuwa ni uhasama wa miaka mingi so aliruhusu hivyo ili ISIS waingie kule na kwenda kuleta instability kwenye miji ya Wakurdi ,na walifanikiwa kufanya hivyo kwa muda ,ila baadaye walishindwa ,
 
Fuatilia mkuu, utaona wanapenda sana kupindisha ukweli
umeambiwa baadhi wasio na uelewa we vp! uislam upo mbali na conspiracies ni dini ya facts na reality not otherwise.
usichukue mfano wa wachache ikawa ndio hoja
 
Hakuna proof yoyote ya Marekani kushambulia ISIS achana na propaganda za media za mazayuni , Marekani ni tool inayotumika na mazayuni kupambana na maadui wa mazayuni , Asad alikuwa mhanga wa hili ,
Majeshi ya Asad , Russia na brigades za Hezbollah na Iran Republic guards na Wakurdi ndio waliosaidia kupambana na kuwatokomeza ISIS na si vinginevyo
Marekani na genge lake ndio waanzilishi na wafadhili wa ugaidi
Hao Wakurdi bila msaada wa Marekani wasingeishinda Isis.
 
Wanaukumbi.
BREAKING:

⚡ 🇮🇷ISIS sasa imedai Kuwajibika kwa Mlipuko wa Kujitoa mhanga jana kwenye Njia ya Kumbukumbu ya Mauaji ya Qasem Soleimani nchini Iran.

ISIS na Israeli tena wana adui sawa na huko Syria. Ajabu sana..

View: https://x.com/megatron_ron/status/1742946718025486797?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

As long as wanakomesha ugaidi mimi sioni shida.
Kwako wewe Iran kuwasaidia Hamas ni sawa ila Israel kuwasaidia Isis si sawa hebu acha double standards
 
As long as wanakomesha ugaidi mimi sioni shida.
Kwako wewe Iran kuwasaidia Hamas ni sawa ila Israel kuwasaidia Isis si sawa hebu acha double standards
Wewe lazima huoni shida unafananisha Isis na Hamas?

Hamas ni chama cha ukombozi kinachapigania taifa lao ardhi yao kuchukuliwa na Mazayauni Marekani na Israel ndiyo wanawaita magaidi wajinga kama nyie mlioshikiwa akiil mnaingia mkenge ndiyo maana unaona hata Umoja wa Mataifa hawawaiti Hamas magaidi maana wanajua wanachiofanyiwa. Nifahamishe Isis wao walivyo nasubiri jibu.
 
Lori la fundi bomba wa Texas liliishiaje mikononi mwa ISIS? Labda zaidi ya malori 8500 ya ukubwa wa kati yalinunuliwa kwa wingi katika mnada nchini Marekani na kusafirishwa hadi Bandari ya Aqaba huko Jordan na kuendeshwa kuvuka jangwa ili kukabidhiwa kwa Al-Bagdadi and Co. Huu ni ukweli si hadithi.
 

Attachments

  • IMG_8773.jpeg
    IMG_8773.jpeg
    35.4 KB · Views: 1
Kuna kitabu kinaitwa ISIS is US.
Dunia Ina unafki Sana.
 
Some weapons bought by the U.S. military in 2015 ended up in the hands of Islamic State fighters within two months, according to a report released Thursday.

The findings, by Conflict Armament Research(CAR), an independent arms-tracking organization, are based on three years of meticulous documentation of weapons recovered from ISIS on the battlefields of Iraq and Syria.



CAR used serial numbers or key markings on the weapons to trace them back to their origin and try to piece together how they were obtained by the militants.

Some of the weapons found on the front lines after ISIS was driven out also include Chinese-manufactured machine guns laced with amphetamines, drones modified in sophisticated terrorist factories and even a rifle made in Nazi Germany.

CAR found that one anti-tank missile sold to the U.S. Army made its way to ISIS in just 59 days.

 
Bado kuna raia hawakubali kuwa Isis wanafanya kazi na US na Israel?
 
Israeli newspaper Haaretz:

The army has not yet achieved any of the war's goals in the Gaza Strip.
 
Back
Top Bottom