Marekani, Israel wanashirikiana na ISIS kufanya ugaidi Iran. Huu ni uoga wa hali ya juu

Marekani, Israel wanashirikiana na ISIS kufanya ugaidi Iran. Huu ni uoga wa hali ya juu

Hili pia linahitaji utafiti kuthibitisha hilo....

Kama ndio hivyo mbona Marekani, UK etc walishambulia Isis kule Syria na Iraq ?....badala ya kumuacha rafiki wa Israel yaani Isi atambe.
Wakati huo ISIS walikuwa na Muingereza mmoja aliyesilimu akiitwa "jihad John" aliyekuwa akiwachinja sana mateka. Kabla ya kuja kuuawa na milipuko ya Wamarekani hapo Syria . Ni wazi hakuna urafiki kati ya Marekani au Israel na ISIS.

WaIran wanauawa Kwa tofauti ya Itikadi. Mashia wa Iran hawakubaliki kama Waislamu n ISIs.
 
Wakati huo ISIS walikuwa na Muingereza mmoja aliyesilimu akiitwa "jihad John" aliyekuwa akiwachinja sana mateka. Kabla ya kuja kuuawa na milipuko ya Wamarekani hapo Syria . Ni wazi hakuna urafiki kati ya Marekani au Israel na ISIS.

WaIran wanauawa Kwa tofauti ya Itikadi. Mashia wa Iran hawakubaliki kama Waislamu n ISIs.
Unaongea fikra zako hujui chochote wewe.
 
Mashia wa Iran Sio Waislamu Kwa mujibu wa ISIS.
Silaha ambazo Marekani ilitoa awali kwa waasi wa Syria zimeishia mikononi mwa Islamic State nchini Iraq na Syria (ISIS), kulingana na utafiti uliotolewa Alhamisi.

Ripoti ya kurasa 200 ya Utafiti wa Silaha za Migogoro ilichambua zaidi ya silaha 40,000 zilizochukuliwa kutoka kwa ISIS katika miaka mitatu iliyopita, na kupata kesi ambazo silaha hizo zilitolewa na Marekani, Saudi Arabia, Sudan na Libya.

"Kwa muhtasari, ushahidi uliokusanywa na [Utafiti wa Silaha za Migogoro] unaonyesha kwamba Marekani imeelekeza mara kwa mara silaha na risasi zinazotengenezwa na Umoja wa Ulaya kwa vikosi vya upinzani katika mzozo wa Syria," ripoti hiyo inasema. Vikosi vya "[ISIS] vilipata uhifadhi wa idadi kubwa ya nyenzo hii."

{mosads}

Kundi hilo la utafiti lilieleza kwa kina visa 12 vya silaha ambazo zilinunuliwa na Marekani na hatimaye kumilikiwa na kundi hilo la kigaidi.

Marekani, chini ya Rais wa zamani Obama, ilikuwa imevipatia vikundi vya waasi vinavyopigana na utawala wa Assad silaha kupitia mpango wa siri wa CIA ambao Rais Trump aliripotiwa kuumaliza mapema mwaka huu. Mpango huo ulitofautiana na mpango wa treni na vifaa wa Pentagon chini ya Obama, ambao ulilenga tu kupigana na ISIS.
 
Hivi kwa nini ISIS haijawahi kupiga waisrael au Israel?
Screenshot_20231108-213027.png
 
Sijui kwanini hii dini ya akina Ritz inaamini sana kwenye conspiracy theories ... It is so disgusting
 
Assume ni kweli wanafanya hivyo, kama wanavuna ngozi kwa Hamas fighters, kwanini wasivune ngozi kwa Al Nusra Front?

Kwahiyo kutibu Al Nusra Front ni kushirikiana na magaidi wa Al Qaeda. Ila kutibu Hamas ni kuchuna ngozi na kuvuna organs nyingine 😂😂
Al Nusra treatment yao ipo tofauti, umeona mdau hapo juu alipost Video Netanyahu anaenda kuwaona Hospitali? Show something same as that, Netanyahu kaenda kumjulia Hali Hamas Hospitali.

Pia Kuna Video mbalimbali (Sina kwa sasa ila nitazitafuta, ama kama Kuna mwenye nazo aziweke) Force ya Israel ndani ya Syria ikiwaokoa majeruhi wa Al Nusra kuwapeleka Israel kutibiwa.

Unahitaji kushusha IQ Yako hadi 0.0001 ili kuamini hili kundi halishabihiani na Israel.
 
NAANGALIAAAAA MAJENEZA AL JAZIRAAAAÀ...DAH BABAAAKEEE ISISDIDY N..KOOO KAHAAA
 
Ndio njia pekee kwa United Shits Of Americant na israhell wanayoweza kupambana na iran

Sababu kutuma jeshi likaivamie kama walivyo fanya kwengineko kote hawathubutu
Vita vina mbinu nyingi muhimu ushindi TU.kuunda makundi ya kigaidi ni moja ya mbinu

Kf🥱🦎
 
Mkuu hakuna aliyesema US ameshirikiana na Alqaeda.

Ila kumbuka Alnusra ni adui mkubwa aliyekuwa akipigana pia na Iran huko Syria, huenda sababu ya Israel kuwapa silaha ni moja ya makubaliano yao ili wasiishambulie Israel badala yake waendelee kupigana na Iran na Assad.

Halafu geopolitics ina mengi mno, US anaweza asishirikiane na Alnusra ila anaweza kuacha kuwashambulia ili waendelee kupigana na Iran (ni raha kuona maadui zako wakimalizana).

Acha hizo mkuu za kujitoa ufahamu, kwamba Israel anamuogopa sana Al Nusra kiasi kwamba ampe silaha ili asipigane nae? What kind of logic is that.

Mfano Mimi na wewe tuna Ugomvi miaka nenda miaka Rudi ili Mimi na wewe tusipigane unipe silaha?

Na issue sio USA kuacha kuwashambulia, tunaongelea USA kuwapa silaha tena kwa wakati na sio silaha tu, masilaha makubwa makubwa, Umesoma Link ya Dilyana niliokupa?


Hebu isome vizuri halafu fikiria hili

1. Ukraine Nchi kubwa ina budget na masilaha ya Kila aina walivyovamiwa na Urusi ku operate hizo silaha ilibidi wanajeshi wapelekwe Uingereza na USA kufundishwa kutumia hizo silaha tena inachukua Miaka

2. Al Nusra kundi la waasi ambalo halina Mahusiano yoyote na west ila Wana silaha za kisasa sio tu Wana silaha Bali wanajua kuzitumia ipasavyo kuliko jeshi kamili la Ukraine.

Convince me mkuu, hii ni Coincidence.
 
Wanaukumbi.
BREAKING:

⚡ 🇮🇷ISIS sasa imedai Kuwajibika kwa Mlipuko wa Kujitoa mhanga jana kwenye Njia ya Kumbukumbu ya Mauaji ya Qasem Soleimani nchini Iran.

ISIS na Israeli tena wana adui sawa na huko Syria. Ajabu sana..

View: https://x.com/megatron_ron/status/1742946718025486797?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Inajulikana zamani ISIS ni mchezo wa America, Uingereza na Israel walitengeneza kama ni kikundi cha kulinda Israel we uliwahi kuona Israel akaipiga ISIS hata Amrica ana act tu anawapiga ni uwongo Mtupu.

 
Saddam aliondolewa na shia!?..kawavalishe Pedi nguruwe mushi,wapo hedhi
Nani walioshirikiana na Marekani kumuondoa na kuunda serikali mpya? Nani waliwapa wamarekani taarifa zote kuhusu kinachoendelea Bhagdad? Unadhani ni Sünni?

Halafu chunga kauli zako wewe.
 
Back
Top Bottom