kariobangii
JF-Expert Member
- Jul 21, 2023
- 515
- 671
How Big Is the Islamic State Threat in Israel? How Big Is the Islamic State Threat in Israel?Sababu Israel sio nchi ya Kiislamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How Big Is the Islamic State Threat in Israel? How Big Is the Islamic State Threat in Israel?Sababu Israel sio nchi ya Kiislamu
Ndugu yangu yaani Marekani na Israel zipange mauaji kwa njia ya suicide mission kwenye anniversary ambayo inafanyika kwenye cemetery area( makabulini) ili iue watu wasio hata na visu mkononi!!!!!!!!!????? Katikati kabsa ya mgogoro unaotishia kusambaa middle East 🙄🙄🙄🙄. Kwani lazma mtu ufikilie ki sheikh Ponda Ponda wakati mwingine tumieni na akili zenu za kuzaliwa( common sense). Weka kando akili za kuwaza bikira 72Ndio njia pekee kwa United Shits Of Americant na israhell wanayoweza kupambana na iran
Sababu kutuma jeshi likaivamie kama walivyo fanya kwengineko kote hawathubutu
Mkuu nimesoma sijaona ISIS ila kule kuna vikundi vingi vya waasiHujui lolote kuhusu haya makundi soma hii kutoka kwa Waisrael wenyewe wanakubali kuwasaidia Isis huko Syria na makundi mengine.
Assume ni kweli wanafanya hivyo, kama wanavuna ngozi kwa Hamas fighters, kwanini wasivune ngozi kwa Al Nusra Front?Hahaha mahaba niue. Nchi ambayo inaua mpaka vitoto visivyojua kusema mama au baba, Leo hii eti itibu kundi hatari zaidi Duniani la Al Qaeda na iwe sawa tu.
Pia mkuu Wapalestina wanaotibiwa Israel haimaanishi kwamba ni msaada ama huruma ila
1. Israel wanavuna Ngozi za binadamu
2. Israel wanakata Pipe za moyo na Kuvuna
3. Israel wanavuna organs nyengine kama Figo, maini etc.
Duniani Kuna Nchi kubwa kibao China, India na wengineo Wana Raia zaidi ya Bilioni, ila Kuna Ka Nchi kadogo watu hawafiki hata milioni 10 ila Wana storage kubwa ya Ngozi za binadamu na organs nyengine kuliko Nchi yoyote Duniani. Kifupi Hawa ni mashetani waliokubuhu Kila aina ya uovu unaoujua wewe wanafanya.
Huyu Dokta wa Sweden aliekua Israel alisema kama mbwai na iwe mbwai akatoa siri za Israel anavyo Harvest organs za Wapalestina.
![]()
Doctor admits Israeli pathologists harvested organs without consent
Interview in 2000 with former head of Abu Kabir forensic institute reveals pathologists engaged in practice during 1990swww.theguardian.com
Hakuna ambapo official yeyote wa Israel alikiri Israel kuanzisha ISIS. Hivyo kama huo ndio ushahidi wenu basi claim zenu ni za uongo.Waziri wa ulinzi wa wa wakati ule aliye kuwa ana itwa Lebaman akili wazi wazi kabisa kuwa Israel ana ushirika na Al nusra na kusema kuwa adui wa fulani sio razima awe adui yetu ,sasa nawashangaa sijui mnacho bisha ni kitu gani.
Hakuna mahala Hillary Clinton alidai ISIS imeanzishwa na Marekani.Clinton yeye mwenyewe kwenye mahojiano kuwa Marekani ndo muanzilishi wa ISS kwa lengo la kumtoa Asad ila likaja baadae likakiuka lengo la kuanzishwa kwake na ndio maana Marekani akaanza kupigana nalo ila nyinyi mnabisha.
Ndugu yangu yaani Marekani na Israel zipange mauaji kwa njia ya suicide mission kwenye anniversary ambayo inafanyika kwenye cemetery area( makabulini) ili iue watu wasio hata na visu mkononi!!!!!!!!!????? Katikati kabsa ya mgogoro unaotishia kusambaa middle East 🙄🙄🙄🙄. Kwani lazma mtu ufikilie ki sheikh Ponda Ponda wakati mwingine tumieni na akili zenu za kuzaliwa( common sense). Weka kando akili za kuwaza bikira 72
It’s interesting how ISIS pops up after being dormant just to attack on Iran the moment that John Bolton and the neocons are ramping up calls for war against that country.Hakuna ambapo official yeyote wa Israel alikiri Israel kuanzisha ISIS. Hivyo kama huo ndio ushahidi wenu basi claim zenu ni za uongo.
Hakuna mahala Hillary Clinton alidai ISIS imeanzishwa na Marekani.
Umetunga uongo
n fact, the statement that ISIS published belatedly in accepting responsibility for the terrorist attack in Kerman was orchestrated by the Zionist regime's intelligence service. ISIS merely took charge of disseminating it through its official media channels."Hiyo source ulitarajia nn?
Wanaukumbi.
BREAKING:
⚡ 🇮🇷ISIS sasa imedai Kuwajibika kwa Mlipuko wa Kujitoa mhanga jana kwenye Njia ya Kumbukumbu ya Mauaji ya Qasem Soleimani nchini Iran.
ISIS na Israeli tena wana adui sawa na huko Syria. Ajabu sana..
View: https://x.com/megatron_ron/status/1742946718025486797?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Pitia post zangu huko juu nimeweka ushahdi mpaka wa video na Israel wamekiri wanawapa silaha makudi hulo Syria acha uvivu.Weka ushahidi wanashirikiana na hao wauaji. Kama huna wewe ni muongo tu na mzushi. Iran ina upinzani mkubwa ndanj ya nchi, wanaonyesha wapo na wanaweza kufanya jambo. Unajua kwa nini iran amejizuia kujiingiza katika mgogoro wa gaza, anahofia hayo makundi kutumika katika nchi yake
Mkuu hakuna aliyesema US ameshirikiana na Alqaeda.Kwamba USA akubali kushirikiana na alielipua 9/11 sababu ya Syria? Hebu pause sekunde kadhaa fikiria, pentagon, vita Afghani vyote ni sababu ya Al Qaeda then fikiria scale ya ule Ugomvi then compare na Syria, kweli wasahau vile sababu ya Syria tu?
www.google.com
Wahusika wameshakiri.Ndio njia pekee kwa United Shits Of Americant na israhell wanayoweza kupambana na iran
Sababu kutuma jeshi likaivamie kama walivyo fanya kwengineko kote hawathubutu
Wanaukumbi.
BREAKING:
⚡ 🇮🇷ISIS sasa imedai Kuwajibika kwa Mlipuko wa Kujitoa mhanga jana kwenye Njia ya Kumbukumbu ya Mauaji ya Qasem Soleimani nchini Iran.
ISIS na Israeli tena wana adui sawa na huko Syria. Ajabu sana..
View: https://x.com/megatron_ron/status/1742946718025486797?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Yaani wahangaike na mahujaji wnaokwenda kumuabudu Marehemu Qassim Soleiman!? Ili iweje!? Kwa umuhimu gani waliokuwa nao hao mahujaji!? Mashia wa Iran hawakubaliki kwa maSunni wa ISIS. Wapambane wenyewe .Ndio njia pekee kwa United Shits Of Americant na israhell wanayoweza kupambana na iran
Sababu kutuma jeshi likaivamie kama walivyo fanya kwengineko kote hawathubutu