Marekani, Israel wanashirikiana na ISIS kufanya ugaidi Iran. Huu ni uoga wa hali ya juu

Marekani, Israel wanashirikiana na ISIS kufanya ugaidi Iran. Huu ni uoga wa hali ya juu

Salafi ndio Hawa Tanzania wanaitwa Answari
1. Ulamaa mkubwa wa salafi anaitwa Sheikh Al Bani alitoa fatwa Wapalestina wahame waondoke lile eneo, view za salafi nyingi zipo kwenye imani na kutoa elimu kuliko kuwa active kwenye siasa

2. Katika Makundi ambayo yapo mbali kabisa na Jihadi ni Answari hao salafi.

Kifupi mkuu salafi ni kundi ambalo halina hata time na siasa, kwa Mrengo wao hata kumcriticise kiongozi public kwao ni dhambi

Ndio maana hujasikia awamu yoyote ile Ugomvi wa Serikali na Salafi, Masheikh kama kina Kishki, Barahiyani na wengineo ni vipenzi vya watawala sababu hawakosoi uongozi hadharani.

Saudi na wenzake kina Israel na USA wanatumia upenyo huo kuaminisha watu ni Makundi ya kisalafi, ila ukiwa Muisilamu na unawafahamu Hawa jamaa utaona ni kamba.
 
Wamejitenga after comments za kiongozi wa Mossad kusave face, Alivyobwatuka huyo kiongozi ni 2016 mwaka 2017 kundi likawa disolved


Hivi mkuu kundi ambalo limelipua 9/11 Kuna ambao limetoa Osama, kundi ambalo kwa miaka nenda miaka Rudi tunaaminishwa ndio hatari kushinda yote Duniani, Kuna Excuse yoyote ya Israel kushirikiana nao?
Kumbuka pia Alnusra ni adui mkubwa wa Iran, huenda Israel alilenga kumuimarisha adui wa Iran ili aizuie Iran isijitanue zaidi huko Syria.
 
Salafi ndio Hawa Tanzania wanaitwa Answari
1. Ulamaa mkubwa wa salafi anaitwa Sheikh Al Bani alitoa fatwa Wapalestina wahame waondoke lile eneo, view za salafi nyingi zipo kwenye imani na kutoa elimu kuliko kuwa active kwenye siasa

2. Katika Makundi ambayo yapo mbali kabisa na Jihadi ni Answari hao salafi.

Kifupi mkuu salafi ni kundi ambalo halina hata time na siasa, kwa Mrengo wao hata kumcriticise kiongozi public kwao ni dhambi

Ndio maana hujasikia awamu yoyote ile Ugomvi wa Serikali na Salafi, Masheikh kama kina Kishki, Barahiyani na wengineo ni vipenzi vya watawala sababu hawakosoi uongozi hadharani.

Saudi na wenzake kina Israel na USA wanatumia upenyo huo kuaminisha watu ni Makundi ya kisalafi, ila ukiwa Muisilamu na unawafahamu Hawa jamaa utaona ni kamba.
Kwa hiyo salafi sio Wasuni ?
 
Nilimaanisha uweke hiyo Aya inayoelekeza hivyo!?
Aya ya 5 kwenye sura ya 9 ISIS wanaelekezwa kuwaua waisoamini, wanafanya hivyo. Na wajilipuaji wengine wanaitumia hii, ama ni sahihi ama sio sahihi wanajua wenye dini yao.

Saudi Arabia hasa Saudi Royal family mbele ya ISIS ni Waislamu wanafiki, na mafundisho ya Uislamu yanakataza unafiki ambao ISIS walidai hawataki. Sijui ni aya gani inausema unafiki ila mojawapo ya malengo ya ISIS ni kuikomboa Saudi Arabia kutoka kwa wanafiki Royal family. Bila kuwakata kichwa au kuwalipua hawawezi tekeleza azma yao.
 
Nimetazama video nzima. Ni wapi liliwahi kuwa kosa kimataifa kumtibu adui?

Kulingana na uelewa wako wa kitabibu, majeruhi akiletwa kama ni gaidi hutakiwi kumtibu? Wale magaidi wa Hamas ambao Israel inakimbiza hospitali na kuwafanyia upasuaji napo Israel inashirikiana na Hamas?

View: https://twitter.com/DonKlericuzio/status/1712240382996574272?t=YAKn662tDbaGE43o6gSMkQ&s=19

Waziri wa ulinzi wa wa wakati ule aliye kuwa ana itwa Lebaman akili wazi wazi kabisa kuwa Israel ana ushirika na Al nusra na kusema kuwa adui wa fulani sio razima awe adui yetu ,sasa nawashangaa sijui mnacho bisha ni kitu gani.
Clinton yeye mwenyewe kwenye mahojiano kuwa Marekani ndo muanzilishi wa ISS kwa lengo la kumtoa Asad ila likaja baadae likakiuka lengo la kuanzishwa kwake na ndio maana Marekani akaanza kupigana nalo ila nyinyi mnabisha.
 
Nimetazama video nzima. Ni wapi liliwahi kuwa kosa kimataifa kumtibu adui?

Kulingana na uelewa wako wa kitabibu, majeruhi akiletwa kama ni gaidi hutakiwi kumtibu? Wale magaidi wa Hamas ambao Israel inakimbiza hospitali na kuwafanyia upasuaji napo Israel inashirikiana na Hamas?

View: https://twitter.com/DonKlericuzio/status/1712240382996574272?t=YAKn662tDbaGE43o6gSMkQ&s=19

Hahaha mahaba niue. Nchi ambayo inaua mpaka vitoto visivyojua kusema mama au baba, Leo hii eti itibu kundi hatari zaidi Duniani la Al Qaeda na iwe sawa tu.

Pia mkuu Wapalestina wanaotibiwa Israel haimaanishi kwamba ni msaada ama huruma ila

1. Israel wanavuna Ngozi za binadamu
2. Israel wanakata Pipe za moyo na Kuvuna
3. Israel wanavuna organs nyengine kama Figo, maini etc.

Duniani Kuna Nchi kubwa kibao China, India na wengineo Wana Raia zaidi ya Bilioni, ila Kuna Ka Nchi kadogo watu hawafiki hata milioni 10 ila Wana storage kubwa ya Ngozi za binadamu na organs nyengine kuliko Nchi yoyote Duniani. Kifupi Hawa ni mashetani waliokubuhu Kila aina ya uovu unaoujua wewe wanafanya.

Huyu Dokta wa Sweden aliekua Israel alisema kama mbwai na iwe mbwai akatoa siri za Israel anavyo Harvest organs za Wapalestina.
 
Sal
Salafi ndio Hawa Tanzania wanaitwa Answari
1. Ulamaa mkubwa wa salafi anaitwa Sheikh Al Bani alitoa fatwa Wapalestina wahame waondoke lile eneo, view za salafi nyingi zipo kwenye imani na kutoa elimu kuliko kuwa active kwenye siasa

2. Katika Makundi ambayo yapo mbali kabisa na Jihadi ni Answari hao salafi.

Kifupi mkuu salafi ni kundi ambalo halina hata time na siasa, kwa Mrengo wao hata kumcriticise kiongozi public kwao ni dhambi

Ndio maana hujasikia awamu yoyote ile Ugomvi wa Serikali na Salafi, Masheikh kama kina Kishki, Barahiyani na wengineo ni vipenzi vya watawala sababu hawakosoi uongozi hadharani.

Saudi na wenzake kina Israel na USA wanatumia upenyo huo kuaminisha watu ni Makundi ya kisalafi, ila ukiwa Muisilamu na unawafahamu Hawa jamaa utaona ni kamba.
Mwanazuoni wao ibn taymiyya alishiriki Vita kuwazuwia wa mongoli wasiingie levante,vitabu vya salafi ni vile vile vya wanaoitwa wahabi/answar Sunna,yaani bukhari na Muslim na imam hanbal,wote watu wa niqab na suruali/kanzu njiwa
 
Wanaukumbi.
BREAKING:

⚡ 🇮🇷ISIS sasa imedai Kuwajibika kwa Mlipuko wa Kujitoa mhanga jana kwenye Njia ya Kumbukumbu ya Mauaji ya Qasem Soleimani nchini Iran.

ISIS na Israeli tena wana adui sawa na huko Syria. Ajabu sana..

View: https://x.com/megatron_ron/status/1742946718025486797?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Sasa mkuu hapo unashangaa kitu gani na wakati Iraq na Iran (Shia vs Sunni), walipigana vita kwa miaka nane na wote ni Muslims?

Hata Saudi na Iran wamepigana “through proxies” ie Houthi ambao wako supported na Iran.

Na ISIL/ISIS, ambayo ni branch ya Alqaeda, chini ya Müsab Al Zarqawi haikuwa pamoja na Muktadhar Al Sadar wa Sadri Brigade kule Iraq Bush alipovamia, ambao ni pro Iranian pale Iraq walipokuwa wakipambana na mmarekani.

Shida zao za kubaguana zinatumika kuwaangamiza wao wenyewe..

Kısa tu ni hao wahabi ambao hawawapendi Shia/Shiites ambao inasemekana ndo kizazi cha Muhammad.

Na kushangaa unavyoshangaa.
 
Aya ya 5 kwenye sura ya 9 ISIS wanaelekezwa kuwaua waisoamini, wanafanya hivyo. Na wajilipuaji wengine wanaitumia hii, ama ni sahihi ama sio sahihi wanajua wenye dini yao.

Saudi Arabia hasa Saudi Royal family mbele ya ISIS ni Waislamu wanafiki, na mafundisho ya Uislamu yanakataza unafiki ambao ISIS walidai hawataki. Sijui ni aya gani inausema unafiki ila mojawapo ya malengo ya ISIS ni kuikomboa Saudi Arabia kutoka kwa wanafiki Royal family. Bila kuwakata kichwa au kuwalipua hawawezi tekeleza azma yao.
Mbona Aya inaeleza vitu tofauti?!..hata ukianzia nyuma,umepata wapi kwamba ISIS wanatumia hiyo?..una manifestation yao!?
 
Kumbuka pia Alnusra ni adui mkubwa wa Iran, huenda Israel alilenga kumuimarisha adui wa Iran ili aizuie Iran isijitanue zaidi huko Syria.
Kwamba USA akubali kushirikiana na alielipua 9/11 sababu ya Syria? Hebu pause sekunde kadhaa fikiria, pentagon, vita Afghani vyote ni sababu ya Al Qaeda then fikiria scale ya ule Ugomvi then compare na Syria, kweli wasahau vile sababu ya Syria tu?
 
Uislam hauna Usunni wala Ushia, hizo ni sisaa za kuwagawa na kuwatawala.

Mimi ni Muislam. Siyo sunni, siyo shia, siyo upuuzi mwengine wowote ule. Mimi ni Muislam tu.
 
Uislam hauna Usunni wala Ushia, hizo ni sisaa za kuwagawa na kuwatawala.

Mimi ni Muislam. Siyo sunni, siyo shia, siyo upuuzi mwengine wowote ule. Mimi ni Muislam tu.
Wacha kujitoa ufahamu huku ukijidai unafahamu.

İran na Iraq walipigana kwasababu gani?

Iran na Saudia kwasababu gani tena huku mmarekani akimsaisia Saudia dhidi ya Iran?

Unadhani ni kwanini Saddam ambaye ni Sünni aliweza kuondolewa madarakani na Shia ambao ndo wengi Iraq na ambao waliuwawa na Saddam kwasababu ya kutaka kusapoti ndugu zao Iran.

Pole sana.
 
Unatumia Qur'an tu Kama Mimi!?
Natumia Qur'an kama msingi wa Uislam wangu na vingine vyote vya Waislam, kama Hadith isiyopingana na Qur'an na inayoniingia akilini, kuna vigezo navifata

Visivyoniingia akilini nauliza, nafanya tafiti nikiona haviniingii akilini sikubaliani navyo.

Mfano mzuri huu hapa, naweka link chini, nimewahi kuandika hapahapa JF, hakuna anae challenge mpaka leo:

 
Back
Top Bottom