adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
ISIS sio Masalafi ni Makhawariji miongoni mwa makundi maovu kabisa katika Uislamu..Uongo mtupu....
Masalafi ya kisuni ya Isis ni maadui wa Iran kwa sababu wanaamini Washia sio waislamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ISIS sio Masalafi ni Makhawariji miongoni mwa makundi maovu kabisa katika Uislamu..Uongo mtupu....
Masalafi ya kisuni ya Isis ni maadui wa Iran kwa sababu wanaamini Washia sio waislamu.
Nchi nyingi tu zilifadhili uasi huko Syria ila vinara ni Uturuki, Saudia, Qatar, Marekani na nchi nyingine za Ghuba....
Soma hii itakusaidia...
![]()
The rise and fall of ISIL explained
Three years after Mosul takeover, here is a breakdown of ISIL’s path from its very beginnings to its current decline.www.google.com
Hili pia linahitaji utafiti kuthibitisha hilo....Soma vizuri mleta mada hoja yake, ameuliza kwanini Israel akiwa na adui Isis anampiga huyo adui? Kwanini ana Common Enemy na Isis? Mfano hao Qatar, Uae etc nao ni washirika wa Israel Isis hana time nao,
Unaumiza kichwa chako hajui chochote huyo toka lini Masalafi wakapigana vita Manahaji ya Salafi hawataki kabisa vita. Sasa huyu anakuambia Isis na Masalafi😂ISIS sio Masalafi ni Makhawariji miongoni mwa makundi maovu kabisa katika Uislamu..
Siyajui mkuu, ila makala nilizosoma zimesema ni makundi 12.Unaweza kunitajia hayo makundi majina yao ambao walikuwa wanapewa silaha na Israel? Niimekuweka na video ya Netanyahu.
Makala nilizosoma ndio zimewaita hivyo, kuwa Isis ni masalafi wa Kisuni wenye misimamo mikali.ISIS sio Masalafi ni Makhawariji miongoni mwa makundi maovu kabisa katika Uislamu..
Unaumizq kichwa chako hajui chochote huyo toka lini Masalafi wakapigana vita Manahaji ya Salafi hawataki kabisa vita. Sasa huyu anakuambia Isis na Masalafi😂
Any Middle East observer would find a question about the basic posture of Israel vs. ISIS a practical no brainer. Such an observer would confidently state that these two entities are staunch enemies, currently engaged in multiple types of warfare and destined to continue on that path. For Israel, according to this intuitive rational, ISIS is but another link in a long chain of terror entities sworn to its destruction, much like Hamas, Hezbollah, Palestinian Islamic Jihad, and many others. For ISIS, the narrative would continue to claim, Israel is a natural primary target.Siyajui mkuu, ila makala nilizosoma zimesema ni makundi 12.
Mkuu nishaeka ushahidi mara kibao ila nyie huwa mnasahau, kutokea huko juu video aliyoeka mtoa mada waasi wa Syria ni Al Nusra Front ambao ndio Branch ya Al Qaeda video hii hapaHizi ni nadharia njama tu ambazo hazina uthibitisho wa moja kwa moja mpaka sasa
Ungeweka link kusapoti hii hoja..... Israel iliwahi kukiri kuwatibu waasi wa Syria waliojeruhiwa enzi za Vita Ila sio Isis.
Silaha nyingi za Isis zilizotoka China Ila zilinunuliwa na US na Saudia kwa ajili ya waasi wa Syria wapinzani wa Assad Ila ziliishia mikononi wa Isis baada ya kuwazidi hao waasi.
![]()
ISIL weapons traced to US and Saudi Arabia
Arms used by ISIL in battle were supplied by the US and Saudi Arabia to Syrian opposition fighters, new report finds.www.google.com
Alqaeda na Taliban ni washirikina toka enzi za Osama mpaka leo hivyo hawapigani.
Isis na Taliban ni maadui toka Marekani akiwa na askari huko Afghanistan na walishapigana mara nyingi tu na sababu ni kutofautiana itikadi.
![]()
Taliban kills 6 ISIL fighters in overnight raid in Balkh province
A police spokesman says an ISIL hideout in Nahri Shahi district was targeted and six fighters were killed.www.google.com
Isis na Alqaeda ni maadui wakubwa.
![]()
Comparing Al Qaeda and ISIS: Different goals, different targets
Read Daniel Byman's analysis of the differing goals and threat profiles of Al Qaeda and ISIS.www.google.com
Hakuna uthibitisho kuwa kuondoka kwa Ufaransa kumeleta utulivu West Africa, hili linahitajika utafiti maana tumeshuhudia kuvunjika kwa mkataba wa amani Kati ya waasi wa Tuareg na utawala wa kieshi wa Mali, pia kumeripotiwa mashambulizi mapya ya kigaidi huko Niger.
![]()
France's withdrawal from Niger could jeopardize counterterrorism operations in the Sahel
The French troops who are being forced out of Niger were seen as a key line of defense in efforts led by the West, particularly the U.S. and France, to fight against jihadi violence in Africa’s hard-hit Sahel region.www.google.com
dilyana.bg
Ndio njia pekee kwa United Shits Of Americant na israhell wanayoweza kupambana na iran
Sababu kutuma jeshi likaivamie kama walivyo fanya kwengineko kote hawathubutu
Mkuu nishaeka ushahidi mara kibao ila nyie huwa mnasahau, kutokea huko juu video aliyoeka mtoa mada waasi wa Syria ni Al Nusra Front ambao ndio Branch ya Al Qaeda video hii hapa
View: https://m.youtube.com/watch?v=vweHtxqnh-Y
Kwamba Wanakuwa supplied silaha na USA
Ushahidi huu
![]()
US fuels Syrian war with new arms supplies to Al Qaeda terrorists - Dilyana.bg
The Pentagon is buying $2.8 billion worth of weapons for conflict zones around the world. Most of the weapons are destined for Syria.dilyana.bg
Na Syria ni Shia!?.. Libya?Uongo mtupu....
Masalafi ya kisuni ya Isis ni maadui wa Iran kwa sababu wanaamini Washia sio waislamu.
Hizo ni geresha mkuu, Kampuni kibao za West Zina fund isis, Juzi juzi hapa Kuna Scandal Ericson wamewapa hela Isis, Laforge ya Ufaransa pia ilipigwa Fine kuwapa hela Isis. Nimekuwekea juu Uzi mrefu sana Wa Dilyana akichambua namba Gani USA anawapa silaha kaweka Ushahidi wa Kila step.Hili pia linahitaji utafiti kuthibitisha hilo....
Kama ndio hivyo mbona Marekani, UK etc walishambulia Isis kule Syria na Iraq ?....badala ya kumuacha rafiki wa Israel yaani Isi atambe.
Mkuu usibadili gia na kunitoa Nje ya Mada naongelea specific Al Nusra front, kiongozi wa Mossad kaongea specific Al Nusra na mwandishi wa Habari alimhoji specific Al Nusra hakuna kikundi Chochote si Cha wakurdi Wala waasi wengine waliongelewa hapo, je Al Nusra ni branch ya nani? Si Al Qaeda Syria wanaitwa Al Nusra? Iweje Israel iwatibu?Syria Kuna makundi mengi sana ya waasi, waasi wa kikurdi (PYG) na FSA ndio waliofadhiliwa Sana na wamagharibi ila Uturuki, Qatar ndio wafadhili wa Al nusra.
Moja ya sababu ya ule mgogoro Kati ya Saudia UAE,Misri dhidi ya Qatar ni ufadhili wa Qatar kwa Al nusra na Muslim brotherhood.
Uturuki hawakuwa wanafadhili directly kama kufadhili bali walikuwa wananunua mafuta ya magendo kutoka kwa ISIS ila kwa bei ndogo sana.Nchi nyingi tu zilifadhili uasi huko Syria ila vinara ni Uturuki, Saudia, Qatar, Marekani na nchi nyingine za Ghuba....
Soma hii itakusaidia...
![]()
The rise and fall of ISIL explained
Three years after Mosul takeover, here is a breakdown of ISIL’s path from its very beginnings to its current decline.www.google.com
ISIS kitabu chao bukhari na Muslim Kama wanavyotumia salafi,Ila ISIS ni genge la magharibi,walitumika Iraq na Libya,na viongozi wahuni tu,wahalifu waliokua magerezani mudaISIS sio Masalafi ni Makhawariji miongoni mwa makundi maovu kabisa katika Uislamu..
Hata huko Washia wapo, pia Saudia, Bahrain hata huko Kuna mashia.Na Syria ni Shia!?.. Libya?