Marekani, Israel wanashirikiana na ISIS kufanya ugaidi Iran. Huu ni uoga wa hali ya juu

Marekani, Israel wanashirikiana na ISIS kufanya ugaidi Iran. Huu ni uoga wa hali ya juu

Saudi ni Wasuni, ISIS wanawachukia Saudi kuliko Israel, kwenye Quran wanaelekezwa hivyo.
Duh!... Saudia ni wasuni na Isis wasuni Ila Israel wayahudi wengi, yaani wachukie ndugu zao katika Imani kuliko Wayahudi wanaowanyanyasa Wapalestina?....
 
Mkuu usibadili gia na kunitoa Nje ya Mada naongelea specific Al Nusra front, kiongozi wa Mossad kaongea specific Al Nusra na mwandishi wa Habari alimhoji specific Al Nusra hakuna kikundi Chochote si Cha wakurdi Wala waasi wengine waliongelewa hapo, je Al Nusra ni branch ya nani? Si Al Qaeda Syria wanaitwa Al Nusra? Iweje Israel iwatibu?
Alnusra walidhibiti mpaka Kati ya Israel na Syria kipindi kile cha Vita, huenda walikuwa na makubaliano ya Siri ili wasishambuliane ila tambua mfadhiliwa mkubwa wa Alnusra alikuwa Qatar.

Hapo awali Alnusra walikuwa branch ya Alqaeda ila walijitenga na Alqaeda baadae wakajiita HTS (Hayat tahriri Al sham).
 
Ndio njia pekee kwa United Shits Of Americant na israhell wanayoweza kupambana na iran

Sababu kutuma jeshi likaivamie kama walivyo fanya kwengineko kote hawathubutu
Hayo ni maneno ya kujifariji tu!! Ni mapigo mangapi Iran ameshapigwa kwa njia tofauti tofauti, lakini huwa anaishia kupiga kelele tu?!! Na yeye kila tatizo likimpata lawama ni US?? Sasa US ameshatoa onyo kwa hicho kikundi kilichopo Yemen, kuwa kitakachowakuta wasije laumu.
 
Uturuki hawakuwa wanafadhili directly kama kufadhili bali walikuwa wananunua mafuta ya magendo kutoka kwa ISIS ila kwa bei ndogo sana.
Hivyo wao walikuwa wanafanya nao biashara na ile hela ndio ISIS wanatumia kununua silaha. Uturuki ni Waislamu wenzao.

Hao wengine kina Saudi na wenzake walifadhili uasi Syria kwa sababu zao. Ila kusema walifadhili ISIS haipo, sababu ISIS yenyewe plans zake ilikuwa kushambulia Saudi Arabia ila ndio hawakuweza. Saudi ni Wasuni, ISIS wanawachukia Saudi kuliko Israel, kwenye Quran wanaelekezwa hivyo.
QUR'AN gani inawaelekeza ISIS kuwachukia saudia kuliko Israel!?
 
Nchi nyingi tu zilifadhili uasi huko Syria ila vinara ni Uturuki, Saudia, Qatar, Marekani na nchi nyingine za Ghuba....

Soma hii itakusaidia...

Mkuu unacho bisha ni bure kwa sababu ushilikiano wa Israel na Al nusurafront ambalo ni tawi moja awapo la mtandao wa Alqaida uko wazi na Israel ilikuwa inawapatia msaada wa matibabu kwenye hospital za mpakani mwa Syria na Israel japo sijui kama na silaha ilikuwa ina wapatia .
Tena kuna mahojiano alikuwa ana hojiwa na CNN waziri wa ulinzi wa wakati ule alikuwa ni Lebaman kama sikosei aliulizwa na muandishi kuwa inakuwaje anawasaidia wanachama wa kundi linalo tambulika kama la kigaidi na washirika wake alicho jibu ni adui yao sio razima awe adui yetu na rafiki yetu siyo razima awe rafiki yao
 
Alnusra walidhibiti mpaka Kati ya Israel na Syria kipindi kile cha Vita, huenda walikuwa na makubaliano ya Siri ili wasishambuliane ila tambua mfadhiliwa mkubwa wa Alnusra alikuwa Qatar.

Hapo awali Alnusra walikuwa branch ya Alqaeda ila walijitenga na Alqaeda baadae wakajiita HTS (Hayat tahriri Al sham).
Wamejitenga after comments za kiongozi wa Mossad kusave face, Alivyobwatuka huyo kiongozi ni 2016 mwaka 2017 kundi likawa disolved


Hivi mkuu kundi ambalo limelipua 9/11 Kuna ambao limetoa Osama, kundi ambalo kwa miaka nenda miaka Rudi tunaaminishwa ndio hatari kushinda yote Duniani, Kuna Excuse yoyote ya Israel kushirikiana nao?
 
Video hii hapa

View: https://m.youtube.com/watch?v=vweHtxqnh-Y

Jamaa wazi wazi ana kiri hawana Ugomvi na Al Qaeda na wanawatibu.

Nimetazama video nzima. Ni wapi liliwahi kuwa kosa kimataifa kumtibu adui?

Kulingana na uelewa wako wa kitabibu, majeruhi akiletwa kama ni gaidi hutakiwi kumtibu? Wale magaidi wa Hamas ambao Israel inakimbiza hospitali na kuwafanyia upasuaji napo Israel inashirikiana na Hamas?

View: https://twitter.com/DonKlericuzio/status/1712240382996574272?t=YAKn662tDbaGE43o6gSMkQ&s=19
 
Wamejitenga after comments za kiongozi wa Mossad kusave face, Alivyobwatuka huyo kiongozi ni 2016 mwaka 2017 kundi likawa disolved


Hivi mkuu kundi ambalo limelipua 9/11 Kuna ambao limetoa Osama, kundi ambalo kwa miaka nenda miaka Rudi tunaaminishwa ndio hatari kushinda yote Duniani, Kuna Excuse yoyote ya Israel kushirikiana nao?
Mkuu nchi nyingi hapo awali zilifadhili waasi wa Syria, ila baadae wakati wa vita vikaibuka na vikundi vyenye misimamo mikali ikiwemo Alnusra.

Geopolitics zina mengi mkuu, huenda Israel walikuwa na sababu zao binafsi za kuwasaidia Alnusra siwezi kujua hilo.
 
Back
Top Bottom