Ritz JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 51,303 Reaction score 40,190 Jan 6, 2024 Thread starter #201 MJESHI mwingine wa Israel anayeshikiliwa huko #Gaza aliuawa kwa shambulio la bomu la Israel. Ikiwa Israeli itaendelea hivi, hakutakuwa na mfungwa wa Israel atakayesalia hai. Anza kujadili, nyie wapenda mada.
MJESHI mwingine wa Israel anayeshikiliwa huko #Gaza aliuawa kwa shambulio la bomu la Israel. Ikiwa Israeli itaendelea hivi, hakutakuwa na mfungwa wa Israel atakayesalia hai. Anza kujadili, nyie wapenda mada.