Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuizi anaviweka na VITABAKIA HAPO HAPO, Labda Biden avitengue. Ndio Usa ilivyo hivyo. Wanafanya mambo mengi dkk za mwisho, na itachukua muda kuuvitengua IF EVER. Visipotenguliwa kwenye orders za nchi, manake vinabakia tu na ni lazma viwe enforced.Huyu kibarua chake kinakwisha kesho, itakuwaje kuhusu haya matamko yake?
Amuwekee Joe Biden, ndie raisi wa USAMpumbavu huyu, angemuwekea kwanza Rais wake hivyo vikwazo kwa kutoitii democrayz yao
Mbona unachokiongea hakihusiani na comment yangu? Kuna tatizo gani kwa kichwa yako 🤔Mnahangaika kweli kweli na mabeberu mkitegemea watawapa urais wa TZ kitu ambacho ni ndoto ya mchana kweupe!
Hivyo vikwazo na visiache wake zao, watoto wao, ndugu zao na wote wenye vinasaba na msababishi wapigwe total ban kuingia USA na Europe. Maana wakicheza na nyani wao ndio uingia gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi usababishwao na watu wachache waliokosa malezi Bora utotoni.Vizuizi anaviweka na VITABAKIA HAPO HAPO, Labda Biden avitengue. Ndio Usa ilivyo hivyo. Wanafanya mambo mengi dkk za mwisho, na itachukua muda kuuvitengua IF EVER. Visipotenguliwa kwenye orders za nchi, manake vinabakia tu na ni lazma viwe enforced.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa akili yako hivo vizuio Mahela vitamuthiri vipi?Wapumbavu tu ndio mnaobeza hatua hii. Nchi imechafuka na ina doa baya sana sasa.
Ulikua ni ujinga mkubwa kuharibu uchaguzi bila faida yoyote sio ndani au nje.
We are badly smeared by wasukuma wajinga.
Ujinga uliobarikiwa na viongozi wa dini walioamua kumuasi Mungu kwa ajili ya tumboSafi sana. Ubabe uliotumika kwenye uchaguzi uliopita unakera.
Haiwezekani watu wachache kwa manufaa na ubinafsi wao, wavuruge mchakato halali kwa wapiga kumchagua mgombea wampendaye. Huu ujinga ukiendekezwa, utaleta madhara makubwa sana siku za baadae.
Kwani demokrasia yetu lazima ifanane na yao? Nyerere alisema, democracy is not like a bottle of Cocacola that you can just import from some other place, democracy should be self grownto suite the needs of our country, they can shove their sanctions up their stinky azz holes
Mungu wabariki WazunguHakuna lolote hapo Dada mnaendeshwa kama peer tu nyinyi
Huwa ni pamoja na familia yake huwa ni totally ban kuviondoa huwa sio rahisi, means USA wataiona kwenye youtube Kama bashite.Bashite hawezi ondolewa vikwazo eti kwa sababu ni raia ambae hawezi muamrisha mambo sasa au kutumia wanajeshi kuvamia cloud,vile ni vyake milele.[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa akili yako hivo vizuio Mahela vitamuthiri vipi?
Kwanza kuna mtu anataka kwenda kwenye hilo li nchi siku hizi?
Je Mahera atakosa ugali wake mezani kisa kazuiwa kwenda USA?
mambo mengine ni ujinga tu, vile ICC imeishia wapi?
Tatizo la hawa wakubwa sio wao , watakaoumia ni WATOTO wao ....wengi wana watoto na ndugu wanaoishi ..huko , na marekani hapao ndio huwa wankomoa , washirika wao wa kibishara etc[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa akili yako hivo vizuio Mahela vitamuthiri vipi?
Kwanza kuna mtu anataka kwenda kwenye hilo li nchi siku hizi?
Je Mahera atakosa ugali wake mezani kisa kazuiwa kwenda USA?
mambo mengine ni ujinga tu, vile ICC imeishia wapi?
Acha mlinywe, nyie wezi wa hata rambirambi, mtaacha kuiba kura kweli!!?Kwani demokrasia yetu lazima ifanane na yao? Nyerere alisema, democracy is not like a bottle of Cocacola that you can just import from some other place, democracy should be self grownto suite the needs of our country, they can shove their sanctions up their stinky azz holes