Hapo mtetea hujauona tuu? Hata mchonyo wake huuoni?....Marekani huwa ni jeuri wa kurudi nyuma, na macho madogo huwa hawapendi dharau hasa kwenye masuala yanayohusu usalama na maslahi yao. Tusubiri tutaona nani JOGOO na nani Mtetea.
Muda utasema, China akishindwa kumzuia Bi Pelos, muda wowote kuanzia hapo hata alshabab wanaweza tangaza nia ya kutia timu Taiwani na wao wakajimegee kidogo.Hapo mtetea hujauona tuu? Hata mchonyo wake huuoni?
Ikulu ime confirm anakwenda we mmanyema tulia.Hataenda Taiwan si kwa woga ila kwa kuepuka madhara yake kwa dunia
Wavaa kobazi wameingiaje mbona una chuki za kithenge sana pambana na hoja usitaje watu fulani kwani ukimtaja baba ako au mama ako Kuna shida gani mpaka utaje wavaa kobaziUtakua mvaa kobazi tu ndo maana una reasoning ya hovyo... akitua Taiwan nakufwata hapo mtambani na mlinzi wangu akupakue kidogo akili itulie.
Hata watume bomu la nuclear hawataishambulia hiyo ndege labda waizuie isitue lakini kuishambulia hawawezi.Wametuma ndege na meli 👇
Nawe unavaa kobazi?Wavaa kobazi wameingiaje mbona una chuki za kithenge sana pambana na hoja usitaje watu fulani kwani ukimtaja baba ako au mama ako Kuna shida gani mpaka utaje wavaa kobazi
Weka akiba ya manenoIkulu ime confirm anakwenda we mmanyema tulia.
Sasahivi dunia zima macho kodo, wanamwangalia supa pawa wa zamani za kale anavyoweweseka na biti alilochimbiwa. Aibu nyingine hizi ni za kujitakia🤣🤣🤣Hata watume bomu la nuclear hawataishambulia hiyo ndege labda waizuie isitue lakini kuishambulia hawawezi.
Ila huyo spika naye ana roho ngumu maana ni sawa na kurudha rudha shilingi juu ya tundu la choo.
Ni siri.Hivi ni saa ngapi anatua,kwa saa za huku Afrika Mashariki?
Kwa marekani kunyweni maji tu kupooza machungu ila haitafika huko mnakotaka. USA ni super power ukitaka meza ukitaka tema.Sasahivi dunia zima macho kodo, wanamwangalia supa pawa wa zamani za kale anavyoweweseka na biti alilochimbiwa. Aibu nyingine hizi ni za kujitakia🤣🤣🤣
Anaona aibu kuback off watamwona kaogopa, kwenda pia hana hakika na yajayo, basi yuko njia pandaSasahivi dunia zima macho kodo, wanamwangalia supa pawa wa zamani za kale anavyoweweseka na biti alilochimbiwa. Aibu nyingine hizi ni za kujitakia🤣🤣🤣
Yeah. Sasahivi ni kiwewe tu kwenda mbeleAnaona aibu kuback off watamwona kaogopa, kwenda pia hana hakika na yajayo, basi yuko njia panda
Anatua wapi? Kwanza toa maelezo uwelewekeHivi ni saa ngapi anatua,kwa saa za huku Afrika Mashariki?
Hahaaaa😉😉Serikali ya Marekani kupitia msemaji wa Ikulu, imesema kuwa haiogopi, wala haitafuata maelekezo ya China.
Pia China haipaswi kujawa gadhabu kwa ziara ya Spika wa Bunge, kwani Marekani kjna mgawanyo wa Madaraka na Serikali haiwezi ingilia maamuzi ya Spika
Spika wa Marekani atasafiri kwa ndege ya jeshi, na jeshi la Marekani na serikali imesema itahakikisha usalama wa Nancy wakati wa kutua na kupaa, na akiwepo Taiwan.
Pia imesema kuwa inategemea China kugadhabishwa na kujaribu fanya lolote.
Imesema itaendelea kufanya mawasiliano na China ila Nancy hatazuiwa kwenda Taiwan
Je, nini kimebadilika ghafla, maana kwenye ratiba Taiwan haikuwepo, ila imekuja ghafla badala ya kwenda South Korea kutokea Singapore, ataenda kulala Taiwan.
Hahahaha eti mvaa kobazi hahahaahUtakua mvaa kobazi tu ndo maana una reasoning ya hovyo... akitua Taiwan nakufwata hapo mtambani na mlinzi wangu akupakue kidogo akili itulie.