Tetesi: Marekani Kuishambulia Iran muda wowote kutoka sasa

Kuwa na akili basi mkuu, alieshambulia meli ni haothi, Acha avivu fuatilia habari vizuri thn jiongeze, IRANI ANAOFANYA ANAVYOTAKA MASHARIKI YA KATI NA AKUNA NGURUE WA KUMGUSA
Houthi ndo watege sea mine bila kuonekana hata na satellite?! Watege katikati ya bahari!!! Na ile Boti ya IRGC Je?!
Halafu Iran ina uhusiano mzuri na Japan unadhani wangekubali hao Houthi washambulie meli za Japan wakati Shinzo yupo Iran.
Na kwann shambulio litokee wakati Abe yupo ziarani tena kwa meli ya Japan?!
Endelea kua gizani
 
Kuwa na akili basi mkuu, alieshambulia meli ni haothi, Acha avivu fuatilia habari vizuri thn jiongeze, IRANI ANAOFANYA ANAVYOTAKA MASHARIKI YA KATI NA AKUNA NGURUE WA KUMGUSA
Iran angekua anafanya anavyotaka kule middle East si angekua kashafunga ule mlango wa Hormuz kama alivyotishia awali.

Kila uchwao Israel anawaua kule Syria lakini hamna inachowafanya
Endelea kujidanganya
 
Ww unataka Dunia nchi zote ziweko sawa? Hio ndio Dunia ilivyo Mrusi hawezi kuwa marekani, wala Tz haiwezi kuwa South Africa [emoji288]
 
hivi Tanganyika lote huna mahali pa kula mpaka uje uudhi watu Zanzibar wakati wa Ramadhani ?? Hata hujui Irani ni nani na waarabu ni nani unameza ulicholishwa na Mchungaji wako tu bila kuuliza , KONDOO KAZI
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
KONDOO WA BWANA NASKIA UNALIWA KIBOGA SANA, NASKIA MNA MPAKA VIDEO SKUIZI ZA MCHUNGAJI NA KONDOO WAKE [emoji1787][emoji1787]
 
MM NIMEKUULIZA SWALI, NDIO MISA YA LEO HIO KANISANI, HUJANIJIBU UNAANZA KUONGEA MANENO MEENGI
 
Ww unadhani hao houthi wanajua hii meli ni ya nani, eti mosad[emoji1787][emoji1787]
 
Iran angekua anafanya anavyotaka kule middle East si angekua kashafunga ule mlango wa Hormuz kama alivyotishia awali.

Kila uchwao Israel anawaua kule Syria lakini hamna inachowafanya
Endelea kujidanganya
IRAN KWA SASA HAWEZI KUFUNGA MLANGO WA HORMUZ COZ BADO ANAENDELEZA BIASHARA YA KUUZA MAFUTA KAMA KAWAIDA, JUZI CHINA [emoji630] KAENDA KUCHUKUA MAFUTA NA MMELI WAKE UMEONEKANA, HUYO IRAN USIFANANIZE NA UPUUZI, HAO IZRAILI WAWAMALIZE HAMAS KWANZA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…