Marekani kupigana vita na China 2025, Jenerali wa Marekani bw. Mike

Marekani kupigana vita na China 2025, Jenerali wa Marekani bw. Mike

Sitaki kuamini kama US hajipangi ipasavyo kwa Taiwan. Na hii itakuwa tofauti kabisa na kule kinachotokea Ukraine. Hii huenda ikawa ni piga nikupige, China ni lazima akubali ardhi yake pia imwage damu. Lazima vyuma vitue Hong Kong.

Hiki ni kipindi ambacho ambacho Taiwan atajisuka sana kiulinzi eneo la anga na majini. Marekani hanaga show mbovu kwenye masuala ya hujuma kama hizi.
Tatizo la Taiwan ni eneo dogo. China inaweza ita artillery strike kubwa na naval bombardment ikisaidiwa na air raids to overwhelm Taiwan. Bila msaada wa Marekani wanaweza hold for few days ndio maana nasema maamuzi ya kupindua meza pale ni je Marekani itaingia kati au haiingii. Taiwan always haina confidence 100% kwamba Marekani itakuja no matter what. Marekani inatoa assurance kwamba itasaidia ndio kama ile ziara ya Speaker Pelosi. Na China inabeti maamuzi, Marekani itahusika kweli au itaghairi.

Na muda mzuri wa China kuvamia ni pale Marekani inakuwa occupied na vita nyingine. Mfano ingeingia direct pale Ukraine ikawa ni vita ya ukweli dhidi ya Russia. Wakati huo Israel ikapigana na Iran, ndipo China inaweza tumia nafasi hiyo. Ila China sio wajinga muda Marekani iko iddle eti ndio wavamie Taiwan.
 
Fuatilia ujue Ukraine anatumua silaha kiasi gani kwa siku urudi hapa
Hata kama anatumia Baruti Tani tilioni moja kwa siku ilo kwangu si hoja. Hoja yangu ni kuwa" hizo silaha anazipata kwa kuomba omba". Mara anyimwe, mara asipewe.
Yaani hata we leo ukichukua panga lako ukalipeleka kwa Ubalozi wa Ukraine litapokelewa kwa shukrani kubwa.
 
Marekani imeshapoteza ramani, ule usupa pawa wake unatia sana mashaka. Na mchina amemkalia kooni kwenye maendeleo ya kiuchumi na kitekinolojia. Afrika sasahivi bidhaa zake wanachukua china
Nadhani marekani ameona njia ya kutumia vita ndio njia pekee aliyo nayo ya kumzuia China kwenye uchumi kwake imeonekana kuwa njia ngumu sana.
 
Kwahyo kashindwa kupambana kiuchumi,anataka watumie chuma

Yaan hata huwa yakitokea maandamano ya raia lazima mUSA aingilie hasa akisikia raia ya china wananyanyaswa na wana usalama
U.S.A wapo kutetea kiti chao cha usuperpower wasi pokonywe na China.
 
Mkuu hapo kwenye Korean wars. China hataki kabisa Marekani amsogelee zaidi, China anazungukwa na bases za Marekani na washirika wake kina South Korea, Japan na Taiwan kisha anazungukwa na adui wakubwa wa Marekani hao Russia na North Korea. Hivyo China anakuwa karibu na Marekani kwa namna mbili, sasa hataki kuzungukwa kuzidi. Ndio maana kufa na kupona atahakikisha North Korea iko chini ya influence yake, jaribio lolote la kuleta demokrasia ndani ya North Korea ni kuifanya ifunguliwe duniani na kuwa wazi kwa mataifa ya kigeni ikiwemo Marekani. China ndio maana alikomalia North Korea kwenye vita ile, na hata sasa inamsaidia Kim Jong kiusalama, kifedha na kukwepa sanctions ya vitu muhimu. Ikitokea North Korea imepigwa na Marekani majeshi yakakaa hapo kutakuwepo na build up ya Marekani kujipanga dhidi ya Russia na China kwa vile N. Korea ina land border na nchi hizo mbili. China na Russia wako tiyari kulipa gharama yoyote N. Korea ikae hivihivi, waliipotezea South Korea si unaona hakuna land border nao

Urafiki wa Russia na China ni "the enemy of my enemy is my friend" hauna nguvu sana kama tunavyodhani. Kadri siku zinavyoenda Russia anapungua vitu vya kuoffer kwa China. China kafanya reverse engineering na licence production ya silaha za Urusi kamaliza sasa yuko na concepts zake mpya, kashapata kila kitu kwa Urusi kama nuclear program na fighter jet ila kanyimwa jet engine technology ambayo sioni kama atakaa hii miaka mitano bila kuwa sawa na Russia.

Haya mataifa yapo kimaslahi, ukikosa umuhimu unachukuliwa kawaida. Miaka ya 1980s Marekani iliiuzia Black Hawk helicopters China na ikaisaidia kutengeneza J-8 fighter jet hapo Wachina wakiwa na mawazo muda wowote vita na USSR itaanza. Na miaka hii, Russia inaiuzia silaha India wakati huo inaziuza kwa China tena na hao wawili ni maadui. Kinachowaweka pamoja China na Russia ni tishio la Marekani, sio upendo wao. China angalau inataka mshirika anayejiweza ila wale sio kufa na kupona kwamba ukivamia Ukraine nakuunga mkono, China inafanya assessment yake indepently inatafuta maslahi yake.

Na China kugombana na majirani ni sawa na Russia. Ila China kuamua sasa ifanye uvamizi kwa Marekani ni sawa na hakuna, wanagombea nini? Labda iwe preemptive strike.
At the right time China inazo sababu za kuivamia Urusi, haikutokea tu kwamba Urusi ina uwanda wa Siberia mkubwa vile.

Na Marekani ina uwezo wa kubadilisha adui kuwa rafiki ndani ya muda mfupi sana, inavyo vitu vya kuoffer. Na inaweza mfanya rafiki awe adui umuhimu wake ukiisha. Russia iliiuzia Marekani ile Alaska kipindi kile Uingereza na Marekani ni maadui wakubwa
China hata pigana na rusia kwa miaka 50 ata 60 mbele na ata iyoo miaka 60 ikifika ata kama labda atakuwa ameushika ukiranja wa dunia bado hataweza tna kupigana vita na russia maana ataaribu kila kitu alichonacho lazima tujue china ana migogoro ya kimipaka na karibia nchi zote jirani saivi kaongeza mgogoro wa visiwa vya kusini na nchi zaidi ya tatu tena, Russia hanaga rafiki wa kudumu kila rafiki wa kudumu wote alionawo yuko nawwo sababu wote wanatapata kitu pamoja russia ana kila kitu anachotafuta yeye ni ushawishii na kutanua nguvu zake,

Rusia ni mfupa ulioshindikana kupigana naye vita ni kujitafutia balaa jingine anayetamani kupigana na rusia ni marakani labda na uingereza tu ila wote wanajua dhahama itakayowapata

Sent from my Infinix X571 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hapo kwenye Korean wars. China hataki kabisa Marekani amsogelee zaidi, China anazungukwa na bases za Marekani na washirika wake kina South Korea, Japan na Taiwan kisha anazungukwa na adui wakubwa wa Marekani hao Russia na North Korea. Hivyo China anakuwa karibu na Marekani kwa namna mbili, sasa hataki kuzungukwa kuzidi. Ndio maana kufa na kupona atahakikisha North Korea iko chini ya influence yake, jaribio lolote la kuleta demokrasia ndani ya North Korea ni kuifanya ifunguliwe duniani na kuwa wazi kwa mataifa ya kigeni ikiwemo Marekani. China ndio maana alikomalia North Korea kwenye vita ile, na hata sasa inamsaidia Kim Jong kiusalama, kifedha na kukwepa sanctions ya vitu muhimu. Ikitokea North Korea imepigwa na Marekani majeshi yakakaa hapo kutakuwepo na build up ya Marekani kujipanga dhidi ya Russia na China kwa vile N. Korea ina land border na nchi hizo mbili. China na Russia wako tiyari kulipa gharama yoyote N. Korea ikae hivihivi, waliipotezea South Korea si unaona hakuna land border nao
Ni kweli kabisa China hataki kuipoteza North Korea na ndio maana wana mkataba wa kiulinzi walio saini 1961, China na Korea zimepakana.
 
Marekani hawezi thubutu kuingia vitani na China,angekuwa na hizo guts angeshaipiga Iran siku nyingi
Kuna nchi zinajua kukoromea nchi na kuvimbisha kifua lakini wenye mauwezo huzidharau saana!

Hivi ni kweli hata wewe mwenyewe unaamini Irani inaweza kuingia uwanjani na Marekani?

Nchi ambayo ndio kwanza inarutubisha mitambo ya siraha za nyukilia? Wakati mwenzake tangu vita vya kwanza huko anavyo?

Marekani ambayo inazichungulia siraha za Irani kila inapotaka na Irani hawezi kufanya hivyo!

Acha basi mkuu haya mambo!

Uchokozi nchi inaweza kuwa nao! Licha ya uchokozi ukaachwa tuu kwa sababu ukipigwa itakuwa ni kama kudhalilishwa! Nchi zote za kiarabu huwa zinaingiliwa kwa muda wowote na Marekani! Bora ibakie hiyo angalau nyinyi warabu wa madale mjisifu kuwa mko imara kumbe ndo hovyo kabisa
 
Urafiki wa Russia na China ni "the enemy of my enemy is my friend" hauna nguvu sana kama tunavyodhani. Kadri siku zinavyoenda Russia anapungua vitu vya kuoffer kwa China. China kafanya reverse engineering na licence production ya silaha za Urusi kamaliza sasa yuko na concepts zake mpya, kashapata kila kitu kwa Urusi kama nuclear program na fighter jet ila kanyimwa jet engine technology ambayo sioni kama atakaa hii miaka mitano bila kuwa sawa na Russia.
Ni kweli urafiki wa China ni wa kimachale sana baina yao licha kuwa watu wengi hawa fahamu ili ugomvi mkubwa baina yao unaanzia kipindi cha unyang'anyi wa ardhi alio fanya Russia toka kwa China jambo lililo mkera sana China na ndio maana miaka ya 1970 mpaka 1971 baada ya mgogoro wao wa mpakani wa mwaka 1969 China alijenga urafiki mkubwa sana na U.S.A jambo lililo pelekea yeye kushinda kiti cha uwakilishi cha UN kutoka ROC/Taiwan urafiki ulipelekea miaka hiyo hiyo ya 70 China kumtupa USSR na kufanya ufunguzi wa nchi kiuchumi kwenda magharibi jambo lililo wafanya watu kusema kuwa China imefanya usaliti wa ujamaa na kufuata Ubepari jambo ambalo halikuwa sahihi bali alifanya usaliti kwa USSR kutokana na ugomvi wao na kwenda na nchi za magharibi ili ajiimarishe zaidi kiuchumi.

Urafiki wao wa kimachale ulifufuka miaka ya 2000s jambo lililo pelekea kuzaliwa kwa hii BRICS iliyo wahusisha Brazil, India,na S.A pia kwa sasa wamekuwa na urafiki zaidi kutokana kwa sasa Russia ana muhitaji China zaidi kutokana na swala la vikwazo alivyo wekewa na mataifa ya magharibi.
 
Hayo ni maoni binafsi ya huyo General. Kasema hisia zake zinamtuma hivyo, foreign policy haiendeshwi na hisia za mtu mmoja hata angekuwa ndiye Rais wa Marekani.
Na China hawashangai juu ya hilo, nani asiyejua jeshi la Marekani linajipanga kuikabili China. Kila mwaka Pentagon hutoa assessment na kuelezea advancement ya jeshi la China. China hawakurupuki kwenye sera zao za kigeni, wanaonekana wapole kwa nje ila muda wao kuonyesha ubabe bado.

Huwa naona it's very likely Marekani kuanzisha vita na China kuliko kuanzisha na Urusi. Na vilevile uwezekano wa China kuishambulia Russia ni mkubwa kuliko kuishambulia Marekani.
🤣🤣🤣 Mkolofi wewe kwa mrusi umefikaje?
 
wale muslim wa xianjing....au umesahau
Unafuatilia mambo vizuri!?...Kama wanataka kutumia proxy kwa nini waandae air force yao!?..hao Muslims si wamefungwa kwenye makempu huko china!!
 
Jenerali wa jeshi la anga la marekani Bw. Mike Minihan ameliandikia ujumbe jeshi la marekani kuwa tayari kwa ajili ya kupambana na China mwaka 2025.

Vyanzo vya habari:
View attachment 2499957View attachment 2499958View attachment 2499959View attachment 2499960View attachment 2499961

Swali kutoka kwa lieutenant katika jeshi la marekani hili hapa :
View attachment 2499962
Maswali yangu:
1. Ipi ni athari kubwa ya ujumbe wa jenerali huyu kwa marekani na China ?

2. Yapi ni matokeo ya ujumbe huu katika siasa za kimataifa kati ya China na Marekani ?

3. Je tutegemee kuona mgogoro mkubwa katika Indo- Pasific ?

: Karibuni kwa maoni yenu na maswali ya ziada.
Vita ya kirafiki
 
Kuna nchi zinajua kukoromea nchi na kuvimbisha kifua lakini wenye mauwezo huzidharau saana!

Hivi ni kweli hata wewe mwenyewe unaamini Irani inaweza kuingia uwanjani na Marekani?

Nchi ambayo ndio kwanza inarutubisha mitambo ya siraha za nyukilia? Wakati mwenzake tangu vita vya kwanza huko anavyo?

Marekani ambayo inazichungulia siraha za Irani kila inapotaka na Irani hawezi kufanya hivyo!

Acha basi mkuu haya mambo!

Uchokozi nchi inaweza kuwa nao! Licha ya uchokozi ukaachwa tuu kwa sababu ukipigwa itakuwa ni kama kudhalilishwa! Nchi zote za kiarabu huwa zinaingiliwa kwa muda wowote na Marekani! Bora ibakie hiyo angalau nyinyi warabu wa madale mjisifu kuwa mko imara kumbe ndo hovyo kabisa
Jielimishe, Iran siyo waarabu,pili Iran ndiyo nchi yenye makombora mengi ya Masafa marefu,na si kwa bahati mbaya,lengo ni hao wachokozi wakianzisha zogo basi nyumbani kwao Nako kuwake moto,pili Kambi za marekani Arabian peninsula hazitokua salama,Iran alidungua drone ya marekani aliyodai ni stealth,Iran angekuwa bwege Kama unavyodhani basi Israel angeshaingia akisaidiwa na ma Wana zake.....mwisho ni silaha na si siraha,jifunze kuandika
 
Back
Top Bottom