Marekani kupigana vita na China 2025, Jenerali wa Marekani bw. Mike

Acha kukalili vita sio kitu rahisi kama unavyo fikiri?
Marekani akijaga kujichanganya kuivamia Iran atakumbana na aibu ya karne.
 
Mkuu hiyo bongo yako ipo vizuri sana👏👏
 
Uingereza hana ndoto ya kupigana na Russia kabisa. Marekani hana haja wala nia ya kufanya uvamizi kwa Russia, anazo njia za kumdhibiti Russia mbona USSR ilivunjika bila risasi hata moja kurushwa. USSR ilikuwa tishio kuzidi Russia hii, na walifika hatua hatarishi mara nyingi kupigana ila haikutokea.

Ili Russia ipigane na Marekani inabidi ianze yenyewe, sio ichokozwe. Hakuna kitu ambacho Marekani inaidai Russia wala hakuna tishio lolote Russia inaleta kama haitovamia. Wakati huo, China ina kitu inaidai Russia na ni ya muhimu kwake kuliko Russia ilivyo muhimu kwa China

Data zote zinaonesha China ni muhimu kwa Russia kuliko kinyume chake. Kwahiyo usiseme Russia ina kila kitu
 
Unazungumzia Urus hii hii inayopigana na ukraine mwaka mzima kwa silaha za kuomba omba kutoka kwa nchi za Ulaya na marekani ama kuna Urusi nyingine nje na hii?.
Ukraine ni uwanja wa mapambano tu, wanaopambana ni US na washirika wake nchi 30+ kupambana na jabali moja.
 
Unafuatilia mambo vizuri!?...Kama wanataka kutumia proxy kwa nini waandae air force yao!?..hao Muslims si wamefungwa kwenye makempu huko china!!
Wanataka kufanya mazoezi tu. Sahau habari ya vita hiyo ni mikwala mbuzi tu kama kawaida yake. Marekani hana ubavu wa kuanzisha vita na china
 
Kinachoendelea kwenye uwanja wa mapambano kipo wazi na hakihitaji ujuzi wala ubobezi wa masuala ya kivita.
Kinachondelea kila kitu kipo wazi kwa mujibu wa nini?.
Unajua bomu lililorushwa ndani ya dakika tano zilizopita ndani ya UKRAINE?.
Unataka kusema-: vita hii ya Ukraine ndiyo vita ambayo kila kitu kinawekwa wazi na kila upande?.
Secret,tacts na strategie vyote vipo wazi katika hii vita? Kweli?.
 
Marekani hawezi thubutu kuingia vitani na China,angekuwa na hizo guts angeshaipiga Iran siku nyingi
Kwanini Marekani iipige Iran
Kwa nini iiwekee vikwazo na kutaka kukagua silaha zake Kama Iraq ya Saddam Hussein!?
Vikwazo ni kwa sababu Iran inatumia silaha hizo kuwapatia Hezbollah, Hamas na jihadists wengine.

Kwanini unataka Marekani iipige Marekani
 
Kwanini Marekani iipige Iran

Vikwazo ni kwa sababu Iran inatumia silaha hizo kuwapatia Hezbollah, Hamas na jihadists wengine.

Kwanini unataka Marekani iipige Marekani
Vikwazo Iran imewekewa lini na hizbullah imeanzishwa lini!?..
 
Duh sio mchezo...... Dunia itatawaliwa na vita siku zote kama ndio ivo...... Ni swala la muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…