URUSI Jana wamesitisha uuzwaji Gas Kwa Poland na Bulgaria .
Nchi 10 zmekubali Kulipa Kwa sarafu ya Urusi.
Ulaya wamejaa kikao Leo, wameamua, wataendelea kununua Gas kupitia nchi z Ulaya zilizokubali kulipia Gas Kwa sarafu ya Urusi
Maana yake, Poland, wamekataa kununua Gas ya Urusi Kwa bei ndogo, Sasa watanunua Gas hiyohiyo ya Urusi kupitia Taifa la Ujerumani na Kwa bei Kuna zaidi.
Ni akili au matope???????
Nyie waukraine kichwan hampo vizuri
HIII VITA, MWISHO WAKE UNAJULIKANA NAO NI URUSI ITASHINDA TU .