Marekani na Israel ni mataifa tofauti yenye baadhi ya siri za pamoja, bila kulijua hilo, Iran au yeyote dhidi yao, ni mfu atembeaye!

Nimekuelewa.

Hiyo ni hatua jema.

Haniyeh wa Hamas, Nasrallah wa Hezbollah. Hawa wote ni wadogo sana kulinganisha na Israel, tumekuwa tukiwasapoti kwa chuki zetu tu dhidi ya ubabe wa Israel na USA.

Haipo shaka kuwa hapa pia tuko pamoja.


Mkuu kumbuka Marekani hambondi mtu wazi wazi kwa kuchelea kujiingiza wa saizi yake (Russia au China).

Tambua kwa hii dunia ni wawili hao asioweza kujifanyia lolote atakalo. Wengine wote, ukweli mchungu hayupo mmoja popote anayeweza kuhimili.

Kwamba atafanya je? Si ulisikia kifo ni kifo? Hiyo mbona si kesi? Kwamba CIA, Mossad, nk? Kwani inajali nini? Si wanasema "the end justifies the means."

Marekani anaijua Iran vilivyo tokea angani na amekuwa na wakaguzi physically na cameras zake installed kibabe ndani ya Iran.

Tofauti ya hapa na huko ulikosema atampiga Iran sasa vilivyo, Israel kama proxy tu! Si china wala Russia wataingilia kwa njia hii.

Ndio, vita ni gharama mzee!
Kila taifa linajaribu kuepuka vita kadri inavyowezekana.

Mkuu hawa jamaa wawili kwa yamini yao, kwao muda au gharama si hoja:

"Ukimwua au kujaribu kumwua mwisrael au mmarekani au ukiyatishia mataifa yao au watu wao popote; tokea muda huo, tambua wewe ni mfu unayetembea, na watakuondoa."


Mkuu niliyoandika, umekuwa ndiyo msimamo wangu wa siku zote.

Hakuna cha kufanya hapo na kipigo anachopata Lebanon au Palestina ambapo kwa uhakika ninaumia na wapongeza mno wote wanaowaunga mkono:

Iran, Hezbollah na wenzao mfano mzuri wa upendo wa Yesu Kristo aliyetufia msalabani

Zingatia haya hayako na chembe ya woga wala kukata tamaa kokote:

"Kwa sababu mataifa wawili hawa kwenye haya ya kutishiana nyau ni wamoja, ziko namna mbili tu za kushughulika nao kwa mafanikio:

1. Kusalimu amri kama UAE na Saudi Arabia yaishe kama unataka kuishi. Au:

2. Kupambana nao relentlessly bila pause ukafe mkipigana kama ni nia yako japo kuwagawia nao maumivu ya kutosha kwa kadri iwezekanavyo.


Lione neno "mafanikio" kwenye bold pale kwa maana yake.

Sina hakika ni wapi unasoma wasiwasi wowote kwangu.

"Tofautisha machungu dhidi ya udhwalimu na bazazi, na kuusema ukweli hata kama unauma!"
 
😂😂😂😂
Israel ana nguvu sawa na Russia na China na USA kwenye jambo gani?
Wanasema ana tech ..uje kwenye uhalisia sasa sijawahi kuona hiyo tech zaidi ya kuingizwa na marekane kwa kila mradi ambao unaoneka ni wa kimkakati ili i9nekani na yeye alishiriki
 
Mkongwe, kumuua Ayatollah kwa kutumia dark arts sio ushindi kwa Israel dhidi ya Iran, sijui tunakubaliana katika hili?

Kwanza nikufahamishe kuwa sina taabu na hili.

Pia tambua sijaongelea kuhusu ushindi popote.

Ila nimesema options za kufikia mafanikio yanayohitajika:

1. Kukubali yaishe.

2. Kupigana hadi kufa.

Kumbe tunatofautiana wapi?
 
Unajifariji huku umebana marinda/mkundu ukiwa na maumivu makali
 
Sahihi sana. Ingawaje pia mara zote kama umechunguza, vita za kupigana sijui kwa mabomu, mindege ya kivita is like always USA hajawahi kupata matokeo ya maana, miaka 24 iliopita USA alipeleka kila aina ya silaha pale Afghanistan kwa ajili ya kumtafuta Osama Bin Laden, ali fail; walikufa watu, alipindua serikali ya Taleban na kuweka kibaraka wake but Osama hakupatikana, same as Iraq pia hakufanikiwa, CIA na Mossaid walipoingia kazini we all knows what happened, Sadam Hussein aliuawa while vita ikiwa imekwisha na Osama alikuja kuuawa zaidi ya miaka 10 baadae. Ni same USA aliyeshindwa vita vibaya pale Vietnam; mara nyingi wababe hawa wamefanikiwa kupitia technology na intelligence but again wote kwasasa ni kama wanaziogopa vita cause miaka ya nyuma ilikua ngumu adui wa mbali kuja kupiga nchini mwako bila kupata hifadhi kwa mataifa jirani, hili USA alifaidika nalo sana, kwa technology ya miaka ya nyuma ilikua either uishawishi Canada ili wakupatie viwanja vya ndege ili ufanye yako pale USA, same as yeye alikua akiitumia Saudi Arabia kuwapiga waarabu wengine, now kuna hypersonic, huhitaji nchi jirani ili kumpiga mwingine. Upo nchini mwako na unabonyeza button na kitu kinaitika huko huko kwako. As u said, mambo ya vikwazo kwasasa hayana maana, nchi zenye uchumi mkubwa duniani na hazina uhusiano mkubwa na USA zimekua nyingi; vikwazo vya kiuchumi kwasasa vinaiumiza USA na mataifa rafiki zaidi kuliko maadui zake, refer kinacho tokea Russia kwasasa, walio athirika zaidi ni rafiki zake na hata yeye currency yake imepoteza umaarufu na inaendelea kupoteza cause kwasasa dollar sio currency pekee ya kutuweka mjini, imagine hadi Nigeria nayo inataka kufanya transactions zake kwa local currency na sio USD, hili ni pigo kwa USA and his allies
 

Mkuu labda fafanua zaidi Sina uhakika kama ninakuelewa au kama nimejibu ulichomaanisha.
 
Sio kwa taifa kama Iran mzee!
Hizo mbinu zimefanikiwa kwa wanamgambo tu.

Unadhani hizo mbinu ni kwenye vifaa hivyo tu?

Unadhani Iran alijua hivyo vifaa Lebanon vilikuwa compromised?

Uliwahi kumsikia "Edward Snowden" akiongelea udukuzi na NSA?
 

Tumeonana tena ndugu? Hatukuagana vyema sana last time.

Vipi zile nadhiri nzito nzito hazipo tena ili nijue kwenye majadiliano mahaba si mahala pake ila hoja?

binti kiziwi au nasema uongo ndugu yangu?
 
Unajifariji huku umebana marinda/mkundu ukiwa na maumivu makali
Ona hili bwabwa!!!

Kwasababu mkundu wako una maumivu muda wote kutokana na michezo michafu unayofanyiwa na wanaume wenzako unadhani watu wote tupo hivyo.

ZINGATIA:
Wewe mkundu unakuumaga kwasababu ya michezo ya kishenzi unayofanyiwa na wanaume wenzako, acha michezo ya kishenzi!
 
Osama hajawahi kukamatwa popote
 
Kwa maelezo haya kudumu angekua ni more
 
Hii sio option!

Muda sahihi wa kufanya hivi ukifika watafanya hivyo.

Mkuu hiyo ni option na UAE, Jordan, Saudi Arabia nk huko wameshafika Bei.

Tofautisha option yoyote na option nzuri kwako au Kwa mwingine.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 

Mkuu ya hivyo huwa tuna ignore.

Hayapaswi kukupandisha adrenaline hayo.
 
Mkuu ya hivyo huwa tuna ignore.

Hayapaswi kukupandisha adrenaline hayo.

Nimekuelewa mkongwe!
Ila ukiignore sana watu wa aina hii, watu wengine wanaofanana na yeye watakuletea mazoea ya kidwanzi.
 
Acha uongo,Isarel hajawahi kushinda vita kama yeye.Siku zote anaepigana ni USA.Israel kama yeye hawezi kuwashinda hata hao HAMAS ambao pamoja ni misaada ya silaha zisizo na kikomo bado hajafanikiwa kuwakilisha chini mwaka mzima.
 
Niliwahi kusikia mkongwe!

Hii habari unaizungumziaje mkongwe, najua chanzo sio rasmi. Ila nataka uniambie mtazamo wako kuhusu hii habari, kama ina ukweli unaizungumziaje hii habari?

View: https://x.com/Megatron_ron/status/1844287467135942809

1. Mkuu kuna mambo ya kufahamu kuhusu nuclear weapons:

a) Uwezekano wa kuwa na nuclear weapons.
b) Kumiliki nuclear weapons.
c) Idadi ya war heads za nuclear.
d) Zana za kurushia (makombora).
e) Nk

2. Yapo mengi na yote hayo yanatofautiana moja kwa na jingine pia nchi na nchi. Zingatia nchi zinazojulikana kuwa nuclear weapons ni hizi hapa:

US, Russia, China, UK, France, Pakistani na India.

3. Hapo Pakistan na India ni underdogs.

4. Wengine wanaoweza kuwa nazo ni North Korea, Iran, na Israel. Kundi hili wako kwenye kufurukuta ili kutambulika kuwa nao wamo.

5. Underdogs na hawa wenye kufurukuta wanapigika vizuri tu, pamoja na kuwa na silaha hizo.

7. Zingatia hata Saddam au Gaddafi walipigika Hali wakidhaniwa kuwa wanazo au wamekaribia kuwa nazo.

Si unajua samaki akunjwa akiwa mbichi yakhe?
 
Ni kweli marekani anapambana na hayo makundi kwa jina la Israel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…