Marekani na Israel ni mataifa tofauti yenye baadhi ya siri za pamoja, bila kulijua hilo, Iran au yeyote dhidi yao, ni mfu atembeaye!

Israel ni nini/nani na MOSSAD ni nini/nani?
 
You are wrong. Resistance haitakufa middle East yatabadilika majina tu leo Hezbollah kesho Fatah kesho kutwa jina jingine Hii ni movement ambayo haina kikomo cha msingi inaangaliwa interest kwa kipindi hisika
 
Bila
Iran sio mtegemezi kama alivyo israle . Hizo mishen unazotamba zinakuwa na maana kama nchi ni sole dependant kwenye foreign tech
 
Tarehe 1 Oktoba ulikuwa pangoni?

Israel kipi imefanya ambacho kinaonesha ana dalili ya kumshinda Iran?
Walokole mahabuba kwa israle hauwaambii kitu . Kuna yule professor wao anaitwa marand alisema . Iran inauwwzo wa kurusha 2000 missle in singel wave achana na hizo 180 2000 zikapenye hata 700 si waisrale wataihama hiyo nchi moja kwa moja achillia mbali madhara. Uwezo wa iran hata inch za ulaya hazina huo uwezo kwa sasa
 
Iran apewe tu maua yake ni nchi gani inauwezo ule aiyounyesha iran unarusha makumbora 2000 km na yanafika pale yalipokusudiwa hata nchi za ulaya huo uwezo hawana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…