Usicho kijua ni kwamba kwa upuuuzi na dhurma waliooifany aUSA na washirika wake kwa miaka mingi waathirika waliapa wapo radhi kupoteza chochote ili wapate amani maaana wanaihitaji amani na ustawi sio tu kwa vizazi vya Sasa unavyovionea wewe huruma ni kwaajili ya vizazi na vizazi rejea Vita ya KAGERAUnaionyesha kwa kuua ndugu zako. Nadhani tunahitaji tishio la viumbe kutoka sayari nyingine ili tukumbuke kuwa sisi ni wana wa dunia.
Walishawahi kutaka kufanya hiyo kitu, ila Russia akawa na mbadala ambayo itawaathiri West zaidi ndo maana watafanya kila kitu, ila huko hawawezi.Ujerumani kuna kitu anakiogopa hatujui ni nini [emoji23][emoji23]
The German Chancellor said that cutting off #Russia from the #SWIFT global interbank payment system should not be part of the second #EU sanctions package against Russia.
#Ukraine
#NATO https://t.co/Z45YfPi9Ju
Nakusistiza acha Mrusi afanye alichoamua anajua mwenyewe anachokikusudia kila mtu hapo anawashirika wake na ubaya was mataifa ya mbali unaweza jua puttin Yuko peke yake au wenzake ni wadhaifu kumbe Yuko mamba mmoja kageuka kenge.Kwa hiyo unataka kujionyesha una nguvu huku unaangamiza familia yako. Hii vita italeta upinzani mkali sana ndani ya Russia. Unajua hizo benki kubwa zilizofungiwa zinapata loss kiasi gani?
Sasa dhuluma za USA zinahusiana vipi hapa. Dhuluma za USA ni upumbavu na huu ni upumbavu. Mapumbavu mawili yamefanya upumbavu.Usicho kijua ni kwamba kwa upuuuzi na dhurma waliooifany aUSA na washirika wake kwa miaka mingi waathirika waliapa wapo radhi kupoteza chochote ili wapate amani maaana wanaihitaji amani na ustawi sio tu kwa vizazi vya Sasa unavyovionea wewe huruma ni kwaajili ya vizazi na vizazi rejea Vita ya KAGERA
... unajitia upofu huwajui maadui wa Israel au? Tena wametamka waziwazi malengo yao dhidi ya Israel au hujui hilo?Akiwemo bwana wako Israel
Hapo kwenye Vita ya KAGERA nimekutolea mfano tu kwakua ulisema wanateketeza watu wake kwenye Vita wahusika hukubali kupoteza kila kilicho chao hata kuweka nafsi zao rehani kwa manufaa ya baaadae uliiona kweli Ile video ya kumbukumbu ya Vita ya kagera...Kama ni mfuatiliaji wa Mambo unaweza jua USA wapoje Ila Kama ni shabiki tu kheri.Sasa dhuluma za USA zinahusiana vipi hapa. Dhuluma za USA ni upumbavu na huu ni upumbavu. Mapumbavu mawili yamefanya upumbavu.
Vita vya kagera ilikuwa sawa kwa upande wa kumfukuza asichukue kipande chetu cha ardhi. Ila kuingia nchini kwake na kumpindua ilikuwa pride isiyo na faida yoyote kwetu kama anavyofanya Russia sa hii.
Umemaliza kila kitu mkuu, alafu watu wanafikiri Russia ni kama Zimbabwe sjui, Russia ni nchi ya vita kimsingi, miundo mbinu yoooote na hata life style lao ni kama uko vitani kifupi wale jamaa wako na war mode muda wote. Hakuna raia asiejua matumizi basic ya silaha nyepesi, kwenda Jeshi ni lazima hata kama utaenda kisha ukaedelea na mishe zako.Usisahau nusu ya Ulaya gas inatoka Russia ambayo ni cheap ndio sababu kwa nini ujerumani haiingii kwa nguvu.
Ukiiwekea vikwazo Russia ni kama umeiipiga vikwazo Ulaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Croatia na Hungary zimeshasema vita haiwahusu wataendelea kushirikiana na Urusi kama kawaida.
Ufaransa anakumbuka maumivu ya kugeukwa na Marekani kwenye mradi wao wa submarine na Marekani na Uingereza kuhusu Australia yupo neutral.
Unajaribu sana kuitaja USA, USA hana anapoumia moja kwa moja kwa Russia kumtandika mwenzake. Mwenyewe ananachochea hivyo vita ila yeye hapigani. Raia wake wapo na rimonti wanaangalia majirani wawili wanavyopambana na vita na vikwazo kama wewe tu.Hapo kwenye Vita ya KAGERA nimekutolea mfano tu kwakua ulisema wanateketeza watu wake kwenye Vita wahusika hukubali kupoteza kila kilicho chao hata kuweka nafsi zao rehani kwa manufaa ya baaadae uliiona kweli Ile video ya kumbukumbu ya Vita ya kagera...Kama ni mfuatiliaji wa Mambo unaweza jua USA wapoje Ila Kama ni shabiki tu kheri.
Kumbe unajua USA nimchochezi na kila mchochezi tambua anaupande wake.Sasa USA na Russia kumtandika mdogo wake vinahusiana vipi? Wewe huipendi USA na unachofanya hapa ni kujiaminisha kuwa Ukraine anavyotandikwa USA anaumia. USA mwenyewe ananachochea hivyo vita ila yeye hapigani. Raia wake wapo na rimonti wanaangalia majirani wawili wanavyopambana na vita na vikwazo.
Sasa akiwa upande wa Ukraine, Ukraine akapigwa halafu Russia akawekewa vikwazo yeye kapoteza nini?Kumbe unajua USA nimchochezi na kila mchochezi tambua anaupande wake.
Kashinda Vita.Sasa akiwa upande wa Ukraine, Ukraine akapigwa halafu Russia akawekewa vikwazo yeye kapoteza nini?
Russia akishinda vita na Eukrain kisha Russia akawekewa vikwazo USA anapoteza nn wakati yupo kwake huko hapigani?Kashinda Vita.
Russian mpaka sasa anaamini USA sio kila kitu kwake kwa vikwazo vyake atafute pa kuvipelekaRussia akishinda vita na Eukrain kisha akawekewa vikwazo USA anapoteza nn?
Vikwazo kawekewa, vita kapigana, anayepigwa si USA, atakayetumia nguvu kudeal na vikwazo si USA. Sasa imani yake juu ya USA inamuathiri vp USA?Russian mpaka sasa anaamini USA sio kila kitu kwake kwa vikwazo vyake atafute pa kuvipeleka
USA sionni muathirika ni kiherehere alietukukaVikwazo kawekewa, vita kapigana, anayepigwa si USA, atakayetumia nguvu kudeal na vikwazo si USA. Sasa imani yake juu ya USA inamuathiri vp USA?
Mm naona kujaribu kuonyesha kuwa USA anaathirika moja kwa moja na hivi vita ni ujuha.
Sawa ana kiherehere ila sio muathirika😂😂.USA sionni muathirika ni kiherehere alietukuka
Mkuu Hakuna mafuta ya gari je kama gari zao zinatumia mafuta ya kula weka details ni aina gani ya mafuta na je ni crude oil, gasoline, diesel