Marekani na mataifa mengine ya magharibi yaiwekea vikwazo mbalimbali vikiwemo vya kiuchumi nchi ya Urusi

Marekani na mataifa mengine ya magharibi yaiwekea vikwazo mbalimbali vikiwemo vya kiuchumi nchi ya Urusi

Unaionyesha kwa kuua ndugu zako. Nadhani tunahitaji tishio la viumbe kutoka sayari nyingine ili tukumbuke kuwa sisi ni wana wa dunia.
Usicho kijua ni kwamba kwa upuuuzi na dhurma waliooifany aUSA na washirika wake kwa miaka mingi waathirika waliapa wapo radhi kupoteza chochote ili wapate amani maaana wanaihitaji amani na ustawi sio tu kwa vizazi vya Sasa unavyovionea wewe huruma ni kwaajili ya vizazi na vizazi rejea Vita ya KAGERA
 
Warussia wengi hawataki hii vita na hata Ukraine walijua kabisa hakuna vita. Ila huyu binadamu mwenye kichwa kama cha paka Puttin anataka kujionyesha kuwa yeye ni mbabe. Kumbe mshamba sana.
FB_IMG_1645774960331.jpg
 
Ujerumani kuna kitu anakiogopa hatujui ni nini [emoji23][emoji23]

The German Chancellor said that cutting off #Russia from the #SWIFT global interbank payment system should not be part of the second #EU sanctions package against Russia.

#Ukraine
#NATO https://t.co/Z45YfPi9Ju
Walishawahi kutaka kufanya hiyo kitu, ila Russia akawa na mbadala ambayo itawaathiri West zaidi ndo maana watafanya kila kitu, ila huko hawawezi.

Nahisi ndo maana Putin hata hajali
 
Kwa hiyo unataka kujionyesha una nguvu huku unaangamiza familia yako. Hii vita italeta upinzani mkali sana ndani ya Russia. Unajua hizo benki kubwa zilizofungiwa zinapata loss kiasi gani?
Nakusistiza acha Mrusi afanye alichoamua anajua mwenyewe anachokikusudia kila mtu hapo anawashirika wake na ubaya was mataifa ya mbali unaweza jua puttin Yuko peke yake au wenzake ni wadhaifu kumbe Yuko mamba mmoja kageuka kenge.
 
Haujui mambo ya migogoro wewe. Sasa unaleta mambo ya vita ya Kagera na propaganda ya zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti. Tanzania hatukupaswa kabisa kupigana ile vita ya urafiki ya Nyerere na Obote. Mtu anaenda kutangazia vita Ruvuma. Soma migogoro ya kivita ndio tujadili mambo.
 
Usicho kijua ni kwamba kwa upuuuzi na dhurma waliooifany aUSA na washirika wake kwa miaka mingi waathirika waliapa wapo radhi kupoteza chochote ili wapate amani maaana wanaihitaji amani na ustawi sio tu kwa vizazi vya Sasa unavyovionea wewe huruma ni kwaajili ya vizazi na vizazi rejea Vita ya KAGERA
Sasa dhuluma za USA zinahusiana vipi hapa. Dhuluma za USA ni upumbavu na huu ni upumbavu. Mapumbavu mawili yamefanya upumbavu.

Vita vya kagera ilikuwa sawa kwa upande wa kumfukuza asichukue kipande chetu cha ardhi. Ila kuingia nchini kwake na kumpindua ilikuwa pride isiyo na faida yoyote kwetu kama anavyofanya Russia sa hii.
 
Sasa dhuluma za USA zinahusiana vipi hapa. Dhuluma za USA ni upumbavu na huu ni upumbavu. Mapumbavu mawili yamefanya upumbavu.

Vita vya kagera ilikuwa sawa kwa upande wa kumfukuza asichukue kipande chetu cha ardhi. Ila kuingia nchini kwake na kumpindua ilikuwa pride isiyo na faida yoyote kwetu kama anavyofanya Russia sa hii.
Hapo kwenye Vita ya KAGERA nimekutolea mfano tu kwakua ulisema wanateketeza watu wake kwenye Vita wahusika hukubali kupoteza kila kilicho chao hata kuweka nafsi zao rehani kwa manufaa ya baaadae uliiona kweli Ile video ya kumbukumbu ya Vita ya kagera...Kama ni mfuatiliaji wa Mambo unaweza jua USA wapoje Ila Kama ni shabiki tu kheri.
 
Usisahau nusu ya Ulaya gas inatoka Russia ambayo ni cheap ndio sababu kwa nini ujerumani haiingii kwa nguvu.

Ukiiwekea vikwazo Russia ni kama umeiipiga vikwazo Ulaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Croatia na Hungary zimeshasema vita haiwahusu wataendelea kushirikiana na Urusi kama kawaida.

Ufaransa anakumbuka maumivu ya kugeukwa na Marekani kwenye mradi wao wa submarine na Marekani na Uingereza kuhusu Australia yupo neutral.
Umemaliza kila kitu mkuu, alafu watu wanafikiri Russia ni kama Zimbabwe sjui, Russia ni nchi ya vita kimsingi, miundo mbinu yoooote na hata life style lao ni kama uko vitani kifupi wale jamaa wako na war mode muda wote. Hakuna raia asiejua matumizi basic ya silaha nyepesi, kwenda Jeshi ni lazima hata kama utaenda kisha ukaedelea na mishe zako.


Alafu, watu inapaswa wajue Urusi ameishi na vikwazo miaka mingi sana, mpk imepelekea thamani ya pesa yake kushuka sana, lkn maisha yanaendelea, wana kila kitu, in terms of medical facilities, n.k.
 
Hapo kwenye Vita ya KAGERA nimekutolea mfano tu kwakua ulisema wanateketeza watu wake kwenye Vita wahusika hukubali kupoteza kila kilicho chao hata kuweka nafsi zao rehani kwa manufaa ya baaadae uliiona kweli Ile video ya kumbukumbu ya Vita ya kagera...Kama ni mfuatiliaji wa Mambo unaweza jua USA wapoje Ila Kama ni shabiki tu kheri.
Unajaribu sana kuitaja USA, USA hana anapoumia moja kwa moja kwa Russia kumtandika mwenzake. Mwenyewe ananachochea hivyo vita ila yeye hapigani. Raia wake wapo na rimonti wanaangalia majirani wawili wanavyopambana na vita na vikwazo kama wewe tu.
 
Sasa USA na Russia kumtandika mdogo wake vinahusiana vipi? Wewe huipendi USA na unachofanya hapa ni kujiaminisha kuwa Ukraine anavyotandikwa USA anaumia. USA mwenyewe ananachochea hivyo vita ila yeye hapigani. Raia wake wapo na rimonti wanaangalia majirani wawili wanavyopambana na vita na vikwazo.
Kumbe unajua USA nimchochezi na kila mchochezi tambua anaupande wake.
 
Kumbe unajua USA nimchochezi na kila mchochezi tambua anaupande wake.
Sasa akiwa upande wa Ukraine, Ukraine akapigwa halafu Russia akawekewa vikwazo yeye kapoteza nini?
Russia na Eukrain wangemalizana bila vita halafu Eukrain akamsikiliza Russia hapo labda kungekuwa na hoja kuwa USA amefeli.
 
Russian mpaka sasa anaamini USA sio kila kitu kwake kwa vikwazo vyake atafute pa kuvipeleka
Vikwazo kawekewa, vita kapigana, anayepigwa si USA, atakayetumia nguvu kudeal na vikwazo si USA. Sasa imani yake juu ya USA inamuathiri vp USA?

Mm naona kujaribu kuonyesha kuwa USA anaathirika moja kwa moja na hivi vita ni ujuha.
 
Vikwazo kawekewa, vita kapigana, anayepigwa si USA, atakayetumia nguvu kudeal na vikwazo si USA. Sasa imani yake juu ya USA inamuathiri vp USA?

Mm naona kujaribu kuonyesha kuwa USA anaathirika moja kwa moja na hivi vita ni ujuha.
USA sionni muathirika ni kiherehere alietukuka
 
Mkuu Hakuna mafuta ya gari je kama gari zao zinatumia mafuta ya kula weka details ni aina gani ya mafuta na je ni crude oil, gasoline, diesel

Fuel [emoji618]️ mkuu iwe Petrol au diesel
Ingawa chakula kilipanda mda ila sasa bei ni juu zaidi

Nisamehe kwa hilo
 
Back
Top Bottom