othiambo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2014
- 1,995
- 2,795
Usicho kijua ni kwamba kwa upuuuzi na dhurma waliooifany aUSA na washirika wake kwa miaka mingi waathirika waliapa wapo radhi kupoteza chochote ili wapate amani maaana wanaihitaji amani na ustawi sio tu kwa vizazi vya Sasa unavyovionea wewe huruma ni kwaajili ya vizazi na vizazi rejea Vita ya KAGERAUnaionyesha kwa kuua ndugu zako. Nadhani tunahitaji tishio la viumbe kutoka sayari nyingine ili tukumbuke kuwa sisi ni wana wa dunia.