Marekani: Sherehe za uzinduzi wa msikiti zazua gumzo baada ya kualikwa wanaume pekee

Ina maana tangu ukatoliki umeanzishwa hakuna Mwanamke Mwenye uwezo wa Kuwa Papa?, lini mtaacha ubaguzi, Hata Uaskofu Bado hamuwaamini Wao wanaishia kwenye u sister tu?
Mwanamke wa kikristo anahubiria watu injili na kadhalika ila wa kiislamu ameambiwa ajifungie ndani tu kama kitanda
 
Kwa hiyo kutokualikwa wanawake Ni ishara ya ubaguzi ?

Ukigundua hakuna Mwaliko Kwa Wanaume warefu maana yake warefu wamebaguliwa?


Wanawake, Wanaume, weupe, weusi , Wazee, wavulana zote hizo Ni features tu za population zisikubabaishe sana
Hapana, hujajibu hoja, wewe inaonekana hauna jibu ila tu uko "Desperate". Kubali yaishe kwani hakuna dini duniani inayonyanyasa wanawake kama uislam.


Kuna nchi majuzi ndio wameanza kuruhusiwa kuendesha gari na kwa enzi na enzi wanakuwa treated kama " Second Class Citizens". Amkeni mubadilike la sivyo muda utawabadilisha.
 
Kwa hiyo kutokualikwa wanawake Ni ishara ya ubaguzi ?

Ukigundua hakuna Mwaliko Kwa Wanaume warefu maana yake warefu wamebaguliwa?


Wanawake, Wanaume, weupe, weusi , Wazee, wavulana zote hizo Ni features tu za population zisikubabaishe sana
Wabaguzi hilo halikwepeki
 

'Kuna Nchi Duniani wameanza kuruhusiwa kuendesha gari...' Hapa tunajadili Nchi Au dini!
Inaonekana. Hujawahi kumiliki akili tangu uzaliwe

Swali rahisi nitajie dini 'isiyobagua wanawake' Kwa definition yako ya ubaguzi nikupe Mifano ya ubaguzi with respect to ur definition!
 
Mwislamu anapohamia kwa Yesu Kristo lazima akutwe na mapepo
Hii dini yenu inaonekana ni ya kipepo na mungu mnaemtaja ni mungu batili kabisa
 
Acha propaganda Kwa issue ambazo zipo real hii dini imetafsir vizuri nature ya kila kumbe na kuwa group eti imewabaguwa unaujua ubaguzi vizuri wewe waulize black amerka na wafrika kusini huone ubaguzi upoje
Tuseme Ile Haqi launkana chungu...allah amewabagua sana wanawake...duniani hadi peponi Hawana raha [emoji31] Tafakari kidogo moja wapo ya zawadi za allah kwa muumini aliyefuzu ni mabikra.72 jiulize mwanamke naye aliye fuzu atapewa wanaume rijali 72?? Haya dhakar ya mmewe itakuwa updated kuwa pima.4 na haita sinyaa [emoji123] jee mkewe farjaha itakuwa nayo updated ili ihimili vishindo vya mumewe??....tukubaliane kwamba allah amembàgua sana mwanamke [emoji4]
 
Mwislamu anapohamia kwa Yesu Kristo lazima akutwe na mapepo
Hii dini yenu inaonekana ni ya kipepo na mungu mnaemtaja ni mungu batili kabisa
Kwenye swali la msingi umekimbia unaleta porojo mm nilijua nimjuze wa maandiko kumbe ni mtu wa matukio narudia wap kwenye Maandiko ya kikristo mwanamme na mwanamke ni sawa ndugu kimario jikite hapa kashfa the azijengi
 
Ilo mbona dogo kaka kubwa ni Mungu Yesu kupigwa makofi na viumbe wake ili viumbe walewale waokolewe ukistaajabu ya mussa mbona yafirauni yatakushinda
 
Ilo mbona dogo kaka kubwa ni Mungu Yesu kupigwa makofi na viumbe wake ili viumbe walewale waokolewe ukistaajabu ya mussa mbona yafirauni yatakushinda

Tatizo Mwalimu wako wa somo la kumjua MWENYEZI ni pofu Mungu hamjui [emoji12] Mimi Mungu wangu Atakalo Huwa na Hana Mshauri...sasa ona mungu wako anaapia hata kwa aliye umba dhakar na Kile cha kike [emoji117] hebu kasome hiki Kitab uone abdul qathem anavyo mueleza allah [emoji117] [emoji117] utabisha lakini Habari ndio hiyo [emoji15] [emoji45] usije ukasema hukuambiwa, wakti hata allah Mwenyewe hakukuficha [emoji117] hivi unaona ni maskhara eeh [emoji15] [emoji45] allah Hana maskhara na mtoto wa mtu dogo [emoji38]
 
Mun
Pole sana Mungu wakutiwa vijiti na kupigwa makofi na aliowafinyanga bado unamuamin ? kweli imani ni kitu cha ajabu
 
Mun

Pole sana Mungu wakutiwa vijiti na kupigwa makofi na aliowafinyanga bado unamuamin ? kweli imani ni kitu cha ajabu

mimi naamini Yesu. Ni Mungu Kamili na Mwanadamu Kamili [emoji123] [emoji106] ushahidi wa Maandiko huo [emoji117] [emoji117] hatujadili Uungu wa Yesu toka kichwani ilaha ni Maandiko ambayo yalikuwepo kabla ya abdul qathem hajazaliwa, Yapo na yatakuwepo mpaka mwisho wa dahari [emoji123] [emoji106] na allah amekuagiza uyaamini [emoji117]
 
daaah bila shaka dishi lako limeyumba Mungu wako Yesu kakosa plan B za kuwaokoa viumbe wake mpaka aje mwenyewe atemewe mate,atobolewe kwa mikuki na atundikwe kama mbuzi alafu bado umetoka mishipa kumuita Mungu pole sana kijana Mungu awezi kuwa dhariri kwa udongo alioufinyanga mwenyewe Huyo ni Mungu wa kuchora
 

dogo tunajadil Maandiko au toka kichwani mwako [emoji15] nimekuwekea John 1:1-3 then Jn 1:14 nitakufundisha tena kwamba Mungu wangu Ana Uwezo, Atakalo Huwa na Hana Mshauri! Na nimekuwekea ayat ya wewe muislamu allah anakuagiza uyaamini Hayo Maandiko [emoji117] kama shababi ogelea kwenye Hayo Maandiko [emoji4] ndio sababu waarabu wenye deen yao wanawaona wasio waarabu kihivyi [emoji117]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…