eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
- Thread starter
-
- #81
Mwanamke wa kikristo anahubiria watu injili na kadhalika ila wa kiislamu ameambiwa ajifungie ndani tu kama kitandaIna maana tangu ukatoliki umeanzishwa hakuna Mwanamke Mwenye uwezo wa Kuwa Papa?, lini mtaacha ubaguzi, Hata Uaskofu Bado hamuwaamini Wao wanaishia kwenye u sister tu?
Mbona unapaniki au hii sio kweli mkuu na hamfundishi hivi ndani ya uislam wenu na mtume wenuNyie Mungu wenu kawaahidi kukutana Na Mabasha?
Kukuuliza swali maana yake Ni ku paniki?Mbona unapaniki au hii sio kweli mkuu na hamfundishi hivi ndani ya uislam wenu na mtume wenu
Hapana, hujajibu hoja, wewe inaonekana hauna jibu ila tu uko "Desperate". Kubali yaishe kwani hakuna dini duniani inayonyanyasa wanawake kama uislam.Kwa hiyo kutokualikwa wanawake Ni ishara ya ubaguzi ?
Ukigundua hakuna Mwaliko Kwa Wanaume warefu maana yake warefu wamebaguliwa?
Wanawake, Wanaume, weupe, weusi , Wazee, wavulana zote hizo Ni features tu za population zisikubabaishe sana
Wabaguzi hilo halikwepekiKwa hiyo kutokualikwa wanawake Ni ishara ya ubaguzi ?
Ukigundua hakuna Mwaliko Kwa Wanaume warefu maana yake warefu wamebaguliwa?
Wanawake, Wanaume, weupe, weusi , Wazee, wavulana zote hizo Ni features tu za population zisikubabaishe sana
Papa mwanamke alipatikana lini!?padri mwanamke je!?..jibuWabaguzi hilo halikwepeki
Hapana, hujajibu hoja, wewe inaonekana hauna jibu ila tu uko "Desperate". Kubali yaishe kwani hakuna dini duniani inayonyanyasa wanawake kama uislam.
Kuna nchi majuzi ndio wameanza kuruhusiwa kuendesha gari na kwa enzi na enzi wanakuwa treated kama " Second Class Citizens". Amkeni mubadilike la sivyo muda utawabadilisha.
Tuseme Ile Haqi launkana chungu...allah amewabagua sana wanawake...duniani hadi peponi Hawana raha [emoji31] Tafakari kidogo moja wapo ya zawadi za allah kwa muumini aliyefuzu ni mabikra.72 jiulize mwanamke naye aliye fuzu atapewa wanaume rijali 72?? Haya dhakar ya mmewe itakuwa updated kuwa pima.4 na haita sinyaa [emoji123] jee mkewe farjaha itakuwa nayo updated ili ihimili vishindo vya mumewe??....tukubaliane kwamba allah amembàgua sana mwanamke [emoji4]Acha propaganda Kwa issue ambazo zipo real hii dini imetafsir vizuri nature ya kila kumbe na kuwa group eti imewabaguwa unaujua ubaguzi vizuri wewe waulize black amerka na wafrika kusini huone ubaguzi upoje
Hadi kichapo kumbe wanatakiwa kupigwaHuyu Mama lazima atiwe adabu [emoji117] View attachment 776506 [emoji4]
Kwenye swali la msingi umekimbia unaleta porojo mm nilijua nimjuze wa maandiko kumbe ni mtu wa matukio narudia wap kwenye Maandiko ya kikristo mwanamme na mwanamke ni sawa ndugu kimario jikite hapa kashfa the azijengiMwislamu anapohamia kwa Yesu Kristo lazima akutwe na mapepo
Hii dini yenu inaonekana ni ya kipepo na mungu mnaemtaja ni mungu batili kabisa
Ilo mbona dogo kaka kubwa ni Mungu Yesu kupigwa makofi na viumbe wake ili viumbe walewale waokolewe ukistaajabu ya mussa mbona yafirauni yatakushindaTuseme Ile Haqi launkana chungu...allah amewabagua sana wanawake...duniani hadi peponi Hawana raha [emoji31] Tafakari kidogo moja wapo ya zawadi za allah kwa muumini aliyefuzu ni mabikra.72 jiulize mwanamke naye aliye fuzu atapewa wanaume rijali 72?? Haya dhakar ya mmewe itakuwa updated kuwa pima.4 na haita sinyaa [emoji123] jee mkewe farjaha itakuwa nayo updated ili ihimili vishindo vya mumewe??....tukubaliane kwamba allah amembàgua sana mwanamke [emoji4]
Ilo mbona dogo kaka kubwa ni Mungu Yesu kupigwa makofi na viumbe wake ili viumbe walewale waokolewe ukistaajabu ya mussa mbona yafirauni yatakushinda
Pole sana Mungu wakutiwa vijiti na kupigwa makofi na aliowafinyanga bado unamuamin ? kweli imani ni kitu cha ajabuTatizo Mwalimu wako wa somo la kumjua MWENYEZI ni pofu Mungu hamjui [emoji12] Mimi Mungu wangu Atakalo Huwa na Hana Mshauri...sasa ona mungu wako anaapia hata kwa aliye umba dhakar na Kile cha kike [emoji117] View attachment 778458 hebu kasome hiki Kitab uone abdul qathem anavyo mueleza allah [emoji117] View attachment 778461 [emoji117] View attachment 778465 utabisha lakini Habari ndio hiyo [emoji15] [emoji45] usije ukasema hukuambiwa, wakti hata allah Mwenyewe hakukuficha [emoji117] View attachment 778474 hivi unaona ni maskhara eeh [emoji15] [emoji45] allah Hana maskhara na mtoto wa mtu dogo [emoji38]
Mun
Pole sana Mungu wakutiwa vijiti na kupigwa makofi na aliowafinyanga bado unamuamin ? kweli imani ni kitu cha ajabu
daaah bila shaka dishi lako limeyumba Mungu wako Yesu kakosa plan B za kuwaokoa viumbe wake mpaka aje mwenyewe atemewe mate,atobolewe kwa mikuki na atundikwe kama mbuzi alafu bado umetoka mishipa kumuita Mungu pole sana kijana Mungu awezi kuwa dhariri kwa udongo alioufinyanga mwenyewe Huyo ni Mungu wa kuchoramimi naamini Yesu. Ni Mungu Kamili na Mwanadamu Kamili [emoji123] [emoji106] ushahidi wa Maandiko huo [emoji117] View attachment 778547 [emoji117] View attachment 778552 hatujadili Uungu wa Yesu toka kichwani ilaha ni Maandiko ambayo yalikuwepo kabla ya abdul qathem hajazaliwa, Yapo na yatakuwepo mpaka mwisho wa dahari View attachment 778563 [emoji123] [emoji106] na allah amekuagiza uyaamini [emoji117] View attachment 778574
daaah bila shaka dishi lako limeyumba Mungu wako Yesu kakosa plan B za kuwaokoa viumbe wake mpaka aje mwenyewe atemewe mate,atobolewe kwa mikuki na atundikwe kama mbuzi alafu bado umetoka mishipa kumuita Mungu pole sana kijana Mungu awezi kuwa dhariri kwa udongo alioufinyanga mwenyewe Huyo ni Mungu wa kuchora
https://i.onthe.io/0fgjhs3og866pr3oa.r320.fec86987.png aah Mme wa mtu, hebu uwelewe uislamu Kwanza ndio baadae uweze kukosoa mambo yendapo kombo, nakuombea Mungu akuongoze njia ya haki. Uione haki na uweze kuifuata, na uione baatili na uweze kuiepuka, Aamin Aamin Aamin.Hii ndio dini ya mnyaaaazi mungu iliyojengwa ktk misingi ya matabaka
Nyama yake poponundu kule kwa balahau gado kwa sana [emoji39] [emoji38]I support "poponundu"