Marekani: Sherehe za uzinduzi wa msikiti zazua gumzo baada ya kualikwa wanaume pekee

Nyepesi kufahamika kwa anayetaka kujua na mwenyemoyo mlaini.
WEWE UNA MOYO MGUMU HUWEZI KUIFAHAM QURAN
 
Usiandike maneno mengi alafu point natafuta kwa tochi
Jibu hapa kwanza alafu tuendelee
Kosugi says "Quran haitegemei hadith wala vitabu vya wanazuoni mkuu ili uielewe."
Nimekupa mfano wa haya hizi
  • Koran 66:1 1. Ewe Muhammad! Kwa nini unaharimisha alicho kuhalilishia Allah?...
    • Bila kutumia Hadith wala Tafsir niambie ni nini Muhammad aliharimisha ambacho Allah alimuhalalishia?
  • Koran 36:14 Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. -
    • Bila kutumia Hadith na Tafsir nipe majina ya hawa watu watatu?
 
Hiyo surah imeshuka makkah kipindi ambacho hata miaka ya hijriyah haijaanza.
Ndio kwanza mtume alikuua nabii hakupewa utume.
Makuraish walimfata wakamwambia km anataka abaki makkah na aishi kwa amani wagawane leo wote waabudu masanam na kesho wote waabudu msikitini.
Allah ndio akashusha hiyo surah akamwambia mtume waambie huwezi kuabudu wanachoabudu na wao hawawezi kuabudu unachoabudu wao wana dini yao na ww una dini yako.
😂😂😂😂😂😂😂😂UNA MENGI YA KUJIFUNZA.
HALAFU HATA UISLAM UPO NA BADO UNADUNDA HAKUNA ALOTAKA KUUA UKRISTO BALI WAKATOLIKI MLIWACHOKOZA WAARABU ILA WAKAWAFANYA KITU MBAYA.
REJEA VITA ZA DOLA YA KIISLAM YA OSMAN NA WAROMAN CATHOLIC AU WACATHOLIC NA WAAYUBI.
WAKATOLIKI WALIPIGIKA UKAMTAJIA MUITALIANO HAO WATU KTK HISTORIA ANAWAHESHIMU VIBAYA
 
Mbona unajichanganya?
Halaf pia mbona haujibu maswali yangu?
Hadith na tafsir na vitabu vya wanazuoni ni vitu vitatu tofauti.
Mie napinga Quran haitegemei hadith wala vitabu vya wanazuoni.
Bali inategemea tafsir na ufafanuzi wa mtume Muhammad(s.a.w).
Kwasababu Quran ilishuka kwake na yey ndiye mwalimu wa Quran.
USICHANGANYE HADITH,VITABU VYA WANAZUONI NA TAFSIR.
Hao wanazuoni pasi na kufundishwa na mtume wasingeweza kujua Quran na ufafanuzi wake.
 
Mimi nimekupa Al -Jalalalyn kasema ni kubaka maria na nimeweka ushahidi , je wewe unawezeza kuweka ushahidi wa asali? na hapa inathibitisha huwezi elewa koran kirahisi maana ata scholar wanaitilafiana

Hadith -narration of the sayings, doings or approvals of Muhammad
Tafsir -attempts to provide elucidation, explanation, interpretation, context or commentary for clear understanding
 
MIE NAZUNGUMZIQ NABII ISSA AMBAYE UTOTONI ALIISHI KWA AMANI NA UKUBWANI ALITAKA KUULIWA NDIPO AKAOKOLEWA.
SIMZUNGUMZII YESU AMBAYE NI MUNGU ALOSULUBIWA MSALABANI NAMZUNGUMZIA NABII ISSA MTUME WA ALLAH.
SAWA KIJANA?
 
Ili uweze kujibu haya maswali utategemea nini? twende taratibu kabisa
Unapo jibu weka ushahidi wa utegemezi ulipo utoa
Kosugi says "Quran haitegemei hadith wala vitabu vya wanazuoni mkuu ili uielewe."
Nimekupa mfano wa haya hizi
  • Koran 66:1 1. Ewe Muhammad! Kwa nini unaharimisha alicho kuhalilishia Allah?...
    • Bila kutumia Hadith wala Tafsir niambie ni nini Muhammad aliharimisha ambacho Allah alimuhalalishia?
  • Koran 36:14 Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. -
    • Bila kutumia Hadith na Tafsir nipe majina ya hawa watu watatu?
 
MIE NAZUNGUMZIQ NABII ISSA AMBAYE UTOTONI ALIISHI KWA AMANI NA UKUBWANI ALITAKA KUULIWA NDIPO AKAOKOLEWA.
SIMZUNGUMZII YESU AMBAYE NI MUNGU ALOSULUBIWA MSALABANI NAMZUNGUMZIA NABII ISSA MTUME WA ALLAH.
SAWA KIJANA?
Issa ni huyu hapa, history yake fupi kutoka Koran
  • Tunaona kwenye koran inamtaja Issa, Babu yake ni Imran na Uncle zake ni Haruni na Mussa
    3;35.
    Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu........
    36.
    Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke(Maryamu)
    19:28 “Ewe dada yake Haruni. Baba yako hakuwa mtu mbaya.
    66;12. Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake,
  • Tunaona Huyu Isa wa Allah alikimbia msalaba , na Allah akatengeneza Issa mwingine ambae anafanana na Isa original ili Isa clone (cloning) asulubiwe(Hiki kitendo hakipo kwenye historia yoyote kabla ya Muhammad)
    • Koran 4:157. ................................ - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu...........
    • Cloning -is the process of producing individuals with identical or virtually identical DNA, either naturally or artificially.
 
Waafrika tuna njia zetu, hatupaswi kufuata au kunakili za wageni, wao mbona hawanakili za kwetu.

We Africans should not be the blind followers of foreign cultures, let us uphold our values. We should stop being the laughingstock of the world.
 
MIE NAZUNGUMZIQ NABII ISSA AMBAYE UTOTONI ALIISHI KWA AMANI NA UKUBWANI ALITAKA KUULIWA NDIPO AKAOKOLEWA.
SIMZUNGUMZII YESU AMBAYE NI MUNGU ALOSULUBIWA MSALABANI NAMZUNGUMZIA NABII ISSA MTUME WA ALLAH.
SAWA KIJANA?
Katangaze msikitini Yesu sio isa!;
Halafu uje humu utupe mrejesho [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hoyo hizo ayat zime-expire??
na hii!
[emoji116][emoji116]
فَمَنْ حَاجَّكَ فِيهِ مِن بَعْدِ مَا جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ فَقُلْ تَعَالَوْا نَدْعُ أَبْنَاءَنَا وَأَبْنَاءَكُمْ وَنِسَاءَنَا وَنِسَاءَكُمْ وَأَنفُسَنَا وَأَنفُسَكُمْ ثُمَّ نَبْتَهِلْ فَنَجْعَل لَّعْنَتَ اللَّهِ عَلَى الْكَاذِبِينَ

[ AL I'MRAN - 61 ]
Watakao kuhoji katika haya baada ya kukufikilia ilimu hii waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu, na wake zetu na wake zenu, na sisi wenyewe na nyinyi wenyewe, kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie waongo.
 
Nyepesi kufahamika kwa anayetaka kujua na mwenyemoyo mlaini.
WEWE UNA MOYO MGUMU HUWEZI KUIFAHAM QURAN
Wapi kwenye hii ayat allah kasema wenye moyo mgumu hawawezi kuifahamu kolan??
[emoji116][emoji116]

وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ

[ AL-QAMAR - 22 ]
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani nyepesi kufahamika; lakini yupo anaye kumbuka?

ww ni kafir kwa kujiona mjuzi allah hamnazo[emoji13][emoji13]

Kama ndivyo anzisha deen yako bro!; kuliko kumdhalilisha allah!
 


Wapi Wayahudi wamesema isa ni mwana wa mungu na mungu mtu??
Unazusha mwana kuzua ww[emoji706][emoji706]

Na ndio sababu natumia lugha hii ili ufunguke!
[emoji116][emoji116]
TIT. 3:10-11 Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, mkatae; ukijua ya kuwa mtu kama huyo amepotoka, tena atenda dhambi, maana amejihukumu hatia yeye mwenyewe.
 
Hiyo khutba peleka msikitini kwenye watu kama ww ukazawadiwe takbir!

Jibu hapa!
[emoji116][emoji116]
Aliye waumbia maadui na mashetani watu nani??
 
Kuna haja ya kuulizwa hao waloandaa hiyo sherehe kwanini hawakualika wanawake, kwani kitendo cha wao kutokualika wanawake bado hakifanyi kuwa ni somo ama ishara ya dini ya uislamu kumkandamiza mwanake, hija wanahija wanaume na wanawake, misikitini wanakutana wanaume na wanawake, hao jamaa wana lao jambo si bure.
 
Ila uzuri wa US ukija na culture zako za ajabu ajabu lazima wakushughulike vizuri sana , nakumbuka one time in Minneapolis wasomali madereva wa TAX wakaanza kukataa kupakia walevi eti dini yao hairuhusu pombe basi wanyamwezi hawakuongea kitu wakawa wanatuma walevi kamili kutumia TAX za wasomali, sasa chagua upakie uendelee na biashara au kataa wachukue licence yao for discrimination....wasomali ilibidi tuu wasalimu amri
 
Yesu ni nani kwa nyie wakristo?
Mnamtambua Yesu km nani?
Embu nipe jibu.
Utarukaruka sana tuu.
Nyie si ndio mnasema kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu?
Hiyo ilianzia wapi km siyo kwa hao wana wa israel?
😂😂😂😂😂😂😂 unachekesha ww.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…