Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Marekani imekuwa ikiingia kwenye bahari ya China na anachokifanya China inaisndikiza meli vita za Marekani kisha China inakuja kwenye vyombo vya habari na kulalamika. Huu ni udhaifu mkubwa sana China anaoufanya.

Ikiwa ni kweli Marekani imedhamiria kumsindikiza Pelosi kiubabe nasubiri kuona China itafanya nini! Na ikitokea hilo ndilo litakalokuwa mustakabali wa China kwa wazungu.
China ni muumini mtiifu na muaminifu wa Westerns.
 
Acha ujinga Mkuu, kwani USA ni Malaika hadi aishi milele zote kiushindani kwa kila kitu duniani?
Ujinga unao wewe kiazi usiyejua kwamba Marekani ndio anacontribute more than 40 Percent ya annual budget ya nchi yako interms of handouts na health care subsidies kwenye NGO's , jinga wewe . Huyo Mama yenu Samia hiyo misaada toka IMF na world Bank unafikiri huwa zinatoka kwenye masaburi yako au
 
Mi namshangaa China anafanyiwa kila mbinu chafu na US kuwadhoofisha kiuchumi, sakata la huawei , 5G, tiktok imefanyiwa campaign chafu mpaka US kainunua, ZTE n.k n.k.

Sasa ya nini kumnyenyekea mtu wa namna hio? Kumnyenyekea sio guarantee ataacha upate maendeo na asikufanyie fitina.

Chinese siwaelewi, watoe onyo kali sana ya vitendo.
Bora aendelee kuwa mnyenyekevu hivyo hovyo lakini mambo yake yanaenda.
 
Ana miaka 82 ana historia kubwa sana ya kukwaruzana na wachina hadharani uzuri huyu bibi hakopeshi kwa kifupi wachina hawatomsahau. Anaamini anachokisimamia.
Nahofia maamuzi magumu yanaweza yakafanyika. China imepeleka jeshi na vifaa vingi sana Fujian. Ikiwa hali ndiyo namna hii Taiwan isifanye masihara!

Iwe Pelosi afike kweli au asifike! Kuanzia leo na kuendelea Taiwan atafanywa kitu kibaya. Sidhani aibu waliyoipata China miaka ya 90 walupoamua kukivamia kisiwa cha Taiwan, US kwa kuungana na washirika wake walipiga biti la hali ya juu Mchina akasanda kwa aibu kubwa sana!

Kikao kilichofanyika Alaska baada ya US kumtisha China kinguvu ya kijeshi kimatamko China ikamjibu papo hapo kwenye kikao kwa nguvu iliyokuwa nayo sasa hivi China, west hawana ubavu wa kumtisha.

-China itakubali aibu impate tena?
-China ilimwambia US uwezo wa kupambama nae kijeshi anao.

Nimeona China akisoheza silaha nzito nzito kweli. Nafikiri China atapeleka meli zake za kivita+manowari kuikinga US majini na juu watatumia ndege zao kuizuia isipite juu ya anga na kubaki kutazamana!
 
Ni kweli Kuna muda diplomacy haina nafasi . Hii kitu kitamgharimu China . Pelosi akitua Taiwan leo nitaidharau China Sana tena Sana na nitawatoa kweli list ya mataifa matatu yaliyo huru hapa Duniani[ U.S.A , RUSSIA, CHINA ] na itakuwa [ U.S.A, RUSSIA, NORTH KOREA na IRAN ].

# Hakuna diplomacy kwenye dharau.
Hahaaaa na utapasuka Sana ,ukae ukijua China ni kijaragosi kilichotengenezwa na USA na USA anauwezo WA kukisambaratisha wakati wowote akitaka na Hamna mtakachomfanya . Kama hujui China used to be a shithole before joining WTO under go ahead ya USA 90's basi .
China used to be shit even now it is still shit . Makampuni ya kimarekani na Ulaya ndio yamebeba uchumi WA China na productivity Kule kama hamjui sasa na pia soko la China Kwa industrial commodities ni western world ,primarily USA ,Canada na Europe .

Sasa nyie kaa na kujidanganya hapo mkidhani China (kivuli cha USA ) kinaweza pambana na USA . Mmelogwa
 
Updates.

Ndege ya kijeshi ya Marekani ilombeba bibi nancy Pelosi imeondoka kutoka uwanja wa ndege mjini Manila nchini Philipines dakika 50 zilopita ikielekea upande wa kaskazini huku ikikwepa bahari ya Uchina au China Sea.

Bado ndege hiyo yatarajiwa kutua mjini Taipei huku majeshi ya China yakiwa kwenye "high alert" na pia majeshi ya majini ya Marekani yakisogeza meli na manowari za kivita kuelekea eneo la Okinawa.
 
Bibi Pelosi hana kazi yoyote kwenye hii tour ya Asia ni kutafuta legacy tu kwamba ni mtu ambae amejitokeza kuwachokoza wachina.

Ndo maana hapo juu nikasema Marekani haiwezi kuruhusu ndege ilombeba Pelosi itue Taiwan na wala hana executive order kuamua ndege itue (kumbuka yeye ni mtu wa tatu baada ya Biden).

Isitoshe, kwenye ile" itinerary" hakuna kituo cha Taiwan.

Pelosi anafahamu huu ndo muda wake wa mwisho kwani uchaguzi ujao hatagombea ubunge tena na anatafuta legacy kwa kutaka kuonekana ameiweza China.

Sasa kama kweli ataka aone moto na acheze nao Wachina wanamsubiri.
Eti wanamsubiri ,pumbav
 
Maamuzi yeyote magumu yana hasara upande mwingine. Ngoja tuone China italinda chakula chake (Uchumi) au kulinda mipaka ya nchi yake.

Tusisahau vilevile China ilitangaza vita dhidi ya US na nchi 20 zilipoingia North Korea. Majenerali wa US walipiga mizinga mpaka mengine ikiwa inaingia China. Kufupisha stori China ikatangaza vita na matokeo yake yalikuwa ya kustaajabisha. Wachina history kwao ni wisdom. Muda ni rafiki mzuri ngoja tuone itakuwaje.
 
One China Principle maana yake kuna China moja tu na Taiwan ikiwa ndani yake!! Kwa hiyo China ikisema huruhusiwi kuingia China (ikiwemo Taiwan) huwezi kuja kinguvu!! Ukija kinguvu maana yaka wewe ni mvamizi!! Swali kwa nini Marekani analazimisha kwenda nchi ambayo mwenye nchi amesema HAPANA?
Ni Nani kakwambia Taiwan iko chini ya mamlaka ya China wewe mwehu ?
 
Upo sahihi 100%.dharau Kama hizi hauwezi kumuoneshea Russia hata siku moja. Ata China ya Mao Zedong haya maupumbavu na madharau ya marekani wasingejaribu kufanya.
Acha mihemko ya kipumbav wewe kiazi , China knows what is doing, wewe mchimba chumvi WA shithole country na wenzako mnaaandika ujinga hapa mpaka mate yanakutoka +mapovu na matusi as if kuna unacho gain out of that , Idiots .
 
Back
Top Bottom