Kaka usifikiri US ni kitu cha kawaida, jamaa wapo vizuri haswa. Usisahau US ana washirika wake pia, hasa UK.Chuma Mao Zedong angekuwepo hizi dharau za U.S.A zisinge tokea
View attachment 2311793
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka usifikiri US ni kitu cha kawaida, jamaa wapo vizuri haswa. Usisahau US ana washirika wake pia, hasa UK.Chuma Mao Zedong angekuwepo hizi dharau za U.S.A zisinge tokea
View attachment 2311793
China ni muumini mtiifu na muaminifu wa Westerns.Marekani imekuwa ikiingia kwenye bahari ya China na anachokifanya China inaisndikiza meli vita za Marekani kisha China inakuja kwenye vyombo vya habari na kulalamika. Huu ni udhaifu mkubwa sana China anaoufanya.
Ikiwa ni kweli Marekani imedhamiria kumsindikiza Pelosi kiubabe nasubiri kuona China itafanya nini! Na ikitokea hilo ndilo litakalokuwa mustakabali wa China kwa wazungu.
Ujinga unao wewe kiazi usiyejua kwamba Marekani ndio anacontribute more than 40 Percent ya annual budget ya nchi yako interms of handouts na health care subsidies kwenye NGO's , jinga wewe . Huyo Mama yenu Samia hiyo misaada toka IMF na world Bank unafikiri huwa zinatoka kwenye masaburi yako auAcha ujinga Mkuu, kwani USA ni Malaika hadi aishi milele zote kiushindani kwa kila kitu duniani?
Unajua maana ya kuchokoza wewe ?Tuombe iwe hivyo! Ila Marekani ni mchokozi hadi anakera! Anasafiri maelfu ya maili kwenda kumchokoza China!
Bora aendelee kuwa mnyenyekevu hivyo hovyo lakini mambo yake yanaenda.Mi namshangaa China anafanyiwa kila mbinu chafu na US kuwadhoofisha kiuchumi, sakata la huawei , 5G, tiktok imefanyiwa campaign chafu mpaka US kainunua, ZTE n.k n.k.
Sasa ya nini kumnyenyekea mtu wa namna hio? Kumnyenyekea sio guarantee ataacha upate maendeo na asikufanyie fitina.
Chinese siwaelewi, watoe onyo kali sana ya vitendo.
Ha ha ha ha ha[emoji3]Embu hitimisha kwa kujiuliza Ukraine ina wanajeshi wa kuifanya hii vita ichukue muda mrefu?
Nahofia maamuzi magumu yanaweza yakafanyika. China imepeleka jeshi na vifaa vingi sana Fujian. Ikiwa hali ndiyo namna hii Taiwan isifanye masihara!Ana miaka 82 ana historia kubwa sana ya kukwaruzana na wachina hadharani uzuri huyu bibi hakopeshi kwa kifupi wachina hawatomsahau. Anaamini anachokisimamia.
Hahaaaa na utapasuka Sana ,ukae ukijua China ni kijaragosi kilichotengenezwa na USA na USA anauwezo WA kukisambaratisha wakati wowote akitaka na Hamna mtakachomfanya . Kama hujui China used to be a shithole before joining WTO under go ahead ya USA 90's basi .Ni kweli Kuna muda diplomacy haina nafasi . Hii kitu kitamgharimu China . Pelosi akitua Taiwan leo nitaidharau China Sana tena Sana na nitawatoa kweli list ya mataifa matatu yaliyo huru hapa Duniani[ U.S.A , RUSSIA, CHINA ] na itakuwa [ U.S.A, RUSSIA, NORTH KOREA na IRAN ].
# Hakuna diplomacy kwenye dharau.
Kwa hiyo wewe mzibua vyoo WA buguruni Una akili kuliko watu bilioni 1.5 Kule China sio ?Upo sahihi mkuu 100% wanaume pekee wenye kauli zenye mamlaka dhidi ya marekani ni Urusi, North Korea na Iran . China ananitilisha mashaka Sana.
# Hakuna diplomacy kwenye dharau.
Eti wanamsubiri ,pumbavBibi Pelosi hana kazi yoyote kwenye hii tour ya Asia ni kutafuta legacy tu kwamba ni mtu ambae amejitokeza kuwachokoza wachina.
Ndo maana hapo juu nikasema Marekani haiwezi kuruhusu ndege ilombeba Pelosi itue Taiwan na wala hana executive order kuamua ndege itue (kumbuka yeye ni mtu wa tatu baada ya Biden).
Isitoshe, kwenye ile" itinerary" hakuna kituo cha Taiwan.
Pelosi anafahamu huu ndo muda wake wa mwisho kwani uchaguzi ujao hatagombea ubunge tena na anatafuta legacy kwa kutaka kuonekana ameiweza China.
Sasa kama kweli ataka aone moto na acheze nao Wachina wanamsubiri.
Huyu ndio Iron lady WA miaka hii achana na Yule Magreth Tatcher ,watu wengi hawamjui vizuri Nancy Pelosi ,wamuulize Yule kichaa Donald TrumpHuyo mama ni mkorofi nakumbuka aliwah chana hotuba ya trump ,mbele yake
Ni Nani kakwambia Taiwan iko chini ya mamlaka ya China wewe mwehu ?One China Principle maana yake kuna China moja tu na Taiwan ikiwa ndani yake!! Kwa hiyo China ikisema huruhusiwi kuingia China (ikiwemo Taiwan) huwezi kuja kinguvu!! Ukija kinguvu maana yaka wewe ni mvamizi!! Swali kwa nini Marekani analazimisha kwenda nchi ambayo mwenye nchi amesema HAPANA?
UK ana kelele mingi na usanii. Hana maajabu. Hiyo ndege ya Pelosi unaweza kuta ikatunguliwa na waarabu wachonganishiKaka usifikiri US ni kitu cha kawaida, jamaa wapo vizuri haswa. Usisahau US ana washirika wake pia, hasa UK.
Acha mihemko ya kipumbav wewe kiazi , China knows what is doing, wewe mchimba chumvi WA shithole country na wenzako mnaaandika ujinga hapa mpaka mate yanakutoka +mapovu na matusi as if kuna unacho gain out of that , Idiots .Upo sahihi 100%.dharau Kama hizi hauwezi kumuoneshea Russia hata siku moja. Ata China ya Mao Zedong haya maupumbavu na madharau ya marekani wasingejaribu kufanya.
Humjui Pelosi wewe , soma historia yakeHuyo bibi atakuwa na moyo mgumu kama wa mchawi!