Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Upo sahihi anaogopa watampelekea moto
 
umeendika kama chiz vile , Taiwan ndio wanataka kujitenga na China so USA marekan anawasaidia tu wafikie malengo yao
Kama vile wale wa Ukraine wanaotaka kujitenga na Russia anawasaidia tu. PUMBAFU
 
Pumba
 
China anawaza kuiinua nchi yake kiuchumi na anamtegemea sana marekani hivyo hawezi kufanya vita na marekani. Hata kule Ukraine amepiga kimya.

Umeongea kwa kutumia akili nyingi sana China wanaitegemea marekani kuliko watu wengi wanavyodhani.

US exports to China directly and indirectly supported 1.8 million new jobs and $165 billion in GDP in 2015. When the economic benefits generated from US investment in China and Chinese investment in the US are combined, the total amounts to 2.6 million US jobs and about $216 billion of GDP.


China was the United States' largest supplier of goods imports in 2020. U.S. goods imports from China totaled $434.7 billion in 2020, down 3.6 percent ($16.0 billion) from 2019, but up 19 percent from 2010. U.S. imports from are up 325 percent from 2001 (pre-WTO accession).
 
Supa pawa wa zamani za kale ameshachomoa baada ya kupewa biti la nguvu la kibabe kutoka china. Sasa official kibibi kizee polosi hakita kanyaga ardhi ya Teiwani kama kilivyopanga.

Source.. Aljezeela news this time
Pole sana
 
Mchina anavyopambana kuinua uchumi wake halafu leo umwambie apigane vita? Kuna viwanda na kampuni nyingi mno za Ulaya na US kule China. Pini alopigwa Mrusi ikatokea kwa China, raia hawataelewa. Vuguvugu la jobless litabatuka mara 10 yake.
 
Lin aliwahi kwenda Mzee mtaje uongo sio mzuri
Niongope ili nipate nini? narudia tena Nancy Pelos sio speaker wa 1 kwenda taiwan alishaendaga Republican former Speaker of the House Newt Gingrich mwaka 1997, na mwaka huu 2022 April walienda pia other US lawmakers . Hivyo hakuna kipya au cha ajabu, kama huamini tafuta mtandaoni uthibitishe nilichoandika kama ni kweli au uongo.
 
Ni kweli Kuna muda diplomacy haina nafasi . Hii kitu kitamgharimu China . Pelosi akitua Taiwan leo nitaidharau China Sana tena Sana na nitawatoa kweli list ya mataifa matatu yaliyo huru hapa Duniani[ U.S.A , RUSSIA, CHINA ] na itakuwa [ U.S.A, RUSSIA, NORTH KOREA na IRAN ].

# Hakuna diplomacy kwenye dharau.
 
Upo sahihi
 
Ila mkuu inapaswa tufahamu kuwa Hakuna diplomacy kwenye dharau.
 
Wacha kinuke tu.

Nje ya mada kwanini hawa wa kwetu hawaendi kusaidia maana kazi kusumbua wapinzani tu huku Tanzânia.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…