Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Ujinga unao wewe kiazi usiyejua kwamba Marekani ndio anacontribute more than 40 Percent ya annual budget ya nchi yako interms of handouts na health care subsidies kwenye NGO's , jinga wewe . Huyo Mama yenu Samia hiyo misaada toka IMF na world Bank unafikiri huwa zinatoka kwenye masaburi yako au

Cheki kiazi mwingine huyu mwanaume unawaza misaada tu, hata upo tayari mke wako aliwe kisa msaada, kama taifa hatuna vijana
 
Haya ndo majibu makali China walioahidi au?!
IMG_20220802_165801.jpg
 
Hahaaaa na utapasuka Sana ,ukae ukijua China ni kijaragosi kilichotengenezwa na USA na USA anauwezo WA kukisambaratisha wakati wowote akitaka na Hamna mtakachomfanya . Kama hujui China used to be a shithole before joining WTO under go ahead ya USA 90's basi .
China used to be shit even now it is still shit . Makampuni ya kimarekani na Ulaya ndio yamebeba uchumi WA China na productivity Kule kama hamjui sasa na pia soko la China Kwa industrial commodities ni western world ,primarily USA ,Canada na Europe .

Sasa nyie kaa na kujidanganya hapo mkidhani China (kivuli cha USA ) kinaweza pambana na USA . Mmelogwa
Thread Closed. Umemaliza kila kitu.
 
Back
Top Bottom