Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Its up 35,000m high on Taiwan territory and not descending.
 
It's around 26,000 ft... And descending... 75miles from landing
 
Acha mihemko ya kipumbav wewe kiazi , China knows what is doing, wewe mchimba chumvi WA shithole country na wenzako mnaaandika ujinga hapa mpaka mate yanakutoka +mapovu na matusi as if kuna unacho gain out of that , Idiots .
Sawa asante 🙏
 
Hahaaaa na utapasuka Sana ,ukae ukijua China ni kijaragosi kilichotengenezwa na USA na USA anauwezo WA kukisambaratisha wakati wowote akitaka na Hamna mtakachomfanya . Kama hujui China used to be a shithole before joining WTO under go ahead ya USA 90's basi .
China used to be shit even now it is still shit . Makampuni ya kimarekani na Ulaya ndio yamebeba uchumi WA China na productivity Kule kama hamjui sasa na pia soko la China Kwa industrial commodities ni western world ,primarily USA ,Canada na Europe .

Sasa nyie kaa na kujidanganya hapo mkidhani China (kivuli cha USA ) kinaweza pambana na USA . Mmelogwa
Sawa Asante 🙏
 
Kaka usifikiri US ni kitu cha kawaida, jamaa wapo vizuri haswa. Usisahau US ana washirika wake pia, hasa UK.
Lakini hiyo anayofanya ni dharau kubwa Sana kwa China hata yeye mwenyewe U.S.A asingekubali kufanyiwa.
 
Wachina msituangushe kama mandonga tutaweka wapi sura zetu pro nato wanasubiria uyu bibi atue tu waanze
IMG-20220802-WA0002.jpg
 
Ukweli ni kwamba kama China hatachukua maamuzi magumu sasa hatakuwa na uwezo wa kuyachukua milele!! Taiwan itaimarishwa sana kijeshi na China itabidi ikubali matokeo!! Tatizo la China ni kuwa inaelekea haiko tayari kulipa gharama kubwa inayotakiwa ili kulinda usalama na heshima yake mbele ya jamii ya kimataifa!! Gharama ya kiuchumi ni kubwa sana lakini itazaa heshima kubwa sana!!

Urusi ilijua kuwa isipochukua hatua sasa dhidi ya Ukraine huko mbeleni haingeweza kufanya chochote maana Ukraine ilikuwa inasheheneshwa silaha kubwa sana za kivita na ingeweza kupokea makombora ya nyuklia ya marekani kama Ujerumani ilivyopokea makombora ya nyuklia ya marekani. Urusi ilijua pia kuwa itagharimika sana kiuchumi lakini iliona kuwa inalipa kuingia hiyo gharama ya kiuchumi kuliko kudharaulika mbele ya mabeberu!!
Upo sahihi kabisa.
 
Back
Top Bottom