Huko kwao wametengeneza sheria za kumkandamiza mwanaume. ingekuwa mimi wangeniua kwenye hiyo nyumba ili wafaidi vizuri, aliyeamua kuvunja mahusiano anatakiwa aende kwa amani bila kuangalia vilivyobakiHivi Huwa wanatumia Sheria zipi ambazo zinafanya mwanaume anyang'anywe Kila kitu na kupewa mwanamke?
Na kama hakumpenda huo si ni ulaghai? Imekuwaje apate haki zote za kumiliki mali wakati hakumpenda mwanaume?
Yaani hapo ndio nachoka kabisa na Sheria za wazungu
kwanini akubali kuolewa na mtu hana hisia naye?Anasema ex wake ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu ila hisia zake zote daima zilikuwa kwa njemba huyo.🥺🥺🥺
Kibaya zaidi mnufaika wa hiyo sheria anakiri kua alichokifuata ni uporaji na kafanikiwa kupora kutoka kwa mmiliki halali kupitia huu mgongo wa sheria kandamizi ......Hilo hata mimi sijaelewa labda mleta uzi aje afafanue, yaani upokwe kila kitu na hujafa bado??
Kwa misingi ipi? Kwanini wakufilisi? Umefanya kosa gani??
Tena huko wanasheria za ajabu sana zinazowapa viburi hawa feminist.Feminism system katika operation yake
Hii haipo hivi ulivyoiweka, hajapoteza kila kitu.Muigizaji maarufu wa Marekani Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote za jamaa ikiwemo jumba lake na binti yao kisha mwanamke huyo kurudiana na ex wake wa zamani.
Unaambiwa Tyrese amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nyumba hiyo mpaka aalikwe tu na amepewa ruhusa ya kumuona mwanae mara 3 tu kwa mwezi
Mke wa Tyrese amesema alikubali kuolewa na Tyrese sababu ya umaarufu tu ila hakuwa na hisia nae kimapenzi hata kidogo na wakati wote akiwa na Tyrese alikuwa akifanya mawasiliano na huyo ex wake
Anasema ex wake ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu ila hisia zake zote daima zilikuwa kwa njemba huyo
Unaambiwa saiv huyo jamaa anaishi nyumba ya Tyrese na mke wa Tyrese (mtalaka), mwamba anafinyia kwa ndani
Tyrese kapoteza kila kitu, wanawake mna matukio sio poa
Jamaa amelia mno aisee 😭😭😭😭
Pia, Soma: Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Nafikiri uko majuu kuna mpango wa siri wa kuiangusha jinsia Me na kuipandisha jinsia KE, hawa majaji wa hizi kesi uenda wanakuaga blackmailed na secrete societies ili watoe hukumu kama hizi, ni hukumu ambazo haziingii akilini yaani ndoa ya miaka minne eti mwanamke aondoke na 50% ya mali za mwanaume.Muigizaji maarufu wa Marekani Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote za jamaa ikiwemo jumba lake na binti yao kisha mwanamke huyo kurudiana na ex wake wa zamani.
Unaambiwa Tyrese amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nyumba hiyo mpaka aalikwe tu na amepewa ruhusa ya kumuona mwanae mara 3 tu kwa mwezi
Mke wa Tyrese amesema alikubali kuolewa na Tyrese sababu ya umaarufu tu ila hakuwa na hisia nae kimapenzi hata kidogo na wakati wote akiwa na Tyrese alikuwa akifanya mawasiliano na huyo ex wake
Anasema ex wake ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu ila hisia zake zote daima zilikuwa kwa njemba huyo
Unaambiwa saiv huyo jamaa anaishi nyumba ya Tyrese na mke wa Tyrese (mtalaka), mwamba anafinyia kwa ndani
Tyrese kapoteza kila kitu, wanawake mna matukio sio poa
Jamaa amelia mno aisee 😭😭😭😭
Pia, Soma: Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Mkuu hivi hili suala la mgawanyo wa mali lipo applicable kama mwanamke ana mali zaidi ya mwanaume, mfano yule mshkaji mume wa Zari anaweza kupeleka maombi ya talaka mahakamani na akapata mgao wa mali za Zari?Hii haipo hivi ulivyoiweka, hajapoteza kila kitu.
Hukumu imeagiza 50/50 custodian (siyo mali) na ndicho kilichofanyika. 50/50 custodian means both parents typically share equal time and responsibilities for the child. Pia muelewe kuwa hii ni tofauti na Child support
Samantha alitarajia angepata primary custodian ili awe na wajibu na last say ya mtoto lakini haikuwa hivyo, so na yeye kwenye case hii amepoteza.
Kilichomuumiza Tyrese ni division of marital properties, katika mgawanyo wa mali za ndoa kuna vitu huwa vinazingatiwa, kama mmoja alikuwa na higher earning, huyo ndiye ataumizwa na ndiyo maana hata nyumba amepewa ex-wife wake sababu pia ndiye anakaa na mtoto. Kwa kuwa Samantha ndiye alikuwa akitumia muda mwingi zaidi wa malezi kwa mtoto, basi huyo ndiye anapewa nyumba kwenye mgawanyo huo sababu ya interest ya mtoto (Bado najiuliza amenyang'anywa kila kitu na kufilisiwa vipi hapa, maana kilichofanyika ni mgawanyo siyo kumnyang'anya au kumfilisi)
Hata kwenye 50/50 custodian pia kuna mmoja anakuwa na majukumu zaidi hata kama mtoto atatakiwa mwezi mmoja akae kwa mama na mwingine kwa baba.
Mfano Tyrese akiwa busy kutafuta hela, Samantha ndiye alikuwa analea mtoto, hivyo hapa automatically hata hukumu ikiwa 50/50 tayari mama alikuwa na majukumu zaidi kwa mtoto. Kwenye hiyo 50/50 baba ataambulia 50 yake ya kuwa anakuwa na mtoto pia na kutoa ushauri lakini majukumu tayari mama anakuwa ameshazidi ingawa maamuzi juu ya mtoto hatakuwa final ni lazima wakubaliane na Tyrese. Ndiyo maana alitaka kuwa Primary Custodian lakini Mahakama imekataa.
Kingine, mbali ya Custodian kuna swala la Child Support, hapa pia anayeenda kuumizwa na Tyrese, sababu ana higher earning, na kwenye hukumu atatakiwa kuwa anatoa US$10,000 kwa mwezi.
Bint sasa hivyi ana miaka 17, akishatimiza miaka 18 Child Support itakoma, hatalazimika tena kumhudumia mtoto kwa mujibu wa hukumu bali kama baba kulingana na uwezo.
Hicho ndicho ninachokifahamu kwa sasa
Ili talaka itolewe, ni lazima kwanza kuwepo na ndoa. Na ili ndoa iwe halali ni lazima itambulike kwa mujibu wa sheria na utamaduni. Mfano, watu wa jinsia moja waliofunga nchini Ufaransa, kamwe ndoa yao haitatambulika nchini Tanzania.Mkuu hivi hili suala la mgawanyo wa mali lipo applicable kama mwanamke ana mali zaidi ya mwanaume, mfano yule mshkaji mume wa Zari anaweza kupeleka maombi ya talaka mahakamani na akapata mgao wa mali za Zari?
Muda na wakati wowoteLini hiyoo?
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Kwaiyo kwa kifupi ndoa inalinda masilahi ya mwanamkeIli talaka itolewe, ni lazima kwanza kuwepo na ndoa. Na ili ndoa iwe halali ni lazima itambulike kwa mujibu wa sheria na utamaduni. Mfano, watu wa jinsia moja waliofunga nchini Ufaransa, kamwe ndoa yao haitatambulika nchini Tanzania.
Turudi kwenye swali lako. Jibu ni hutegemea na nchi, kuna nchi zinam backup mwanamke, kuna nchi zinatoa uwiano sawa.
Nyingi huangalia uwiano wa vipato ila sababu ya nature, wanaume ndiyo wanaishia kuwa victims.
Kuhusu Zari na mume wake, mahakama itaangalia, je kabla ya ndoa yao zari alikuwa na nini na mume wake alikuwa na nini, je ni kipi kimepatikana kwenye ndoa na mchango wa kila mtu ni upi.
Kama dogo analelewa anaweza akajikuta anaambulia yebiyebo saba mbali ya utafutaji, zari pia ndiye anasimamia malezi ya watoto navyupo karibu na familia na anaipatia malezi. Togauti na mumevwake ambaye sidhani kama anastahili hata kuitwa mume bali Mpiga P¥mbu
Hivyo, kissili tu uanaume wake tayari unamhukumu kwamba akatafute vyake.
Mkuu hawa ndugu zetu Waafrika wanaujinga sana vichwan mwao acha yawakute tu hawapendi kuwa na utaratibu katika mali zaohapo shida ni system yao tu ulaya na amerika. lkini hawa mastar sjui kwanini kwa nchi yao ilivyo hawapendi kusaini "prenuptial agreement" hii ingewalinda
Warudi nyumbani tuMkuu hawa ndugu zetu Waafrika wanaujinga sana vichwan mwao acha yawakute tu hawapendi kuwa na utaratibu katika mali zao
Mke wake hakuwa mzunguDemu wake kmmmk wazungu
View attachment 3114162
Hapo malaya kafanikiwa sana huku hiyo mijanaume yote miwili ikiwa imetumika kama ngazi kwenye maisha ya mwanamke... ... ... ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu.. ...
Umesema na South Africa? Wale wana tofauti gani na wa huko majuu? (Sorry kwa lugha yangu ya kizamani, enzi zetu Ulaya na Marekani tukuaga tunasema majuu au mamtoni)Black American star waache uzwazwa wakuje kuoa huku Africa ,Kuna Mali safi sana zipo south Africa ,Eswatin ,tanzania na Nk ,
Lasivyo wazungu watawafirisi vyote na Sheria zao za Ajabu ajabu
Tunampa muda na yeye asije akabadirisha Gear angani km yule mke wa Billgates maana hawa watu akili zao wanazijua wenyeweMke wa Tyrese amesema alikubali kuolewa na Tyrese sababu ya umaarufu tu ila hakuwa na hisia nae kimapenzi hata kidogo na wakati wote akiwa na Tyrese alikuwa akifanya mawasiliano na huyo ex wake
Anasema ex wake ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu ila hisia zake zote daima zilikuwa kwa njemba huyo