Marekani wanasumbuliwa na Umasikini sio Ubaguzi

Hivi unaujua umasikini wa watanzania kweli ?

Narudia tena unawajua wabongo walivyo choka mbaya ?

Hivi unajua mpaka sasa walimu wa shule ya msingi wanalipwa Tsh 340,000 ( USD 150 ) Gross kwa mwezi ?

Kukaa Kimya Mnadhani Wabongo Wanaishi PEPONI ?
Kumbe ukiwa bongo ukawa na kipato cha dollar 1000,uko vizuri eeh
 
Kumbe ukiwa bongo una kipato cha dollar 1000 uko vizuri eeh
 
Look at another side of coin bro. Simu unayotumia USA unajua ni half of the price uliyonunua.

Nguo unazovaa mpaka usubir wazungu wavae wachoke ndyo uvae wewe alafu unasema wao maskini.

Magari mnayonunua wao wanatumia yakifikisha km za kuwa recycled mnaletewa huku bongo na mnalipia tax 100% ya bei uliyoagizia. Alafu unakuja unasema USA masikini sana.

ARVs mnasubiri msaidiwe na USA. Serikali zenu haziwezi kununua ARVS wala raia wenu hawawezi kununua ARVS.

Watanzania hamna hata uwezo wa kutarii mbuga zenu za wanyama mnalilia mabeberu ndyo waje kutalii alafu mnasema nyie matajiri.

Ukipita kila kona unakutana na Mabango ya " kwa msaada wa watu wa marekani" then bila aibu mnasema nyie matajiri kuliko USA? Nenda USA unitaftie bango linalosema " kwa msaada wa watu wa Tz", nitembee uchi mwaka mzima.
 
Mkuu apo kwenye " natiwaga bure tu" sijaelewa yani!
 
Mkuu nafanyaje kuwa Raia wa Marekani?
 
Acha uongo.. marekani maskini anamiliki vipi shamba au ardhi.. Tanzania mtu hana hata mia lakini ana shamba lake la kulima .

Tanzania kila ukoo una shamba.. kila familia ina shamba kijijini kwao...je usa ardhi inapatikana kiurahisi kama Tanzania
Unaongelea ardhi ambayo Tz tumejaza mapori tu ipo Useless. Unafikiri watu pesa wanatoa kwenye ardh tu. Hebu acha akili za kitoto.
 
We ungekuwa umewahi fika USA ungeongea ukaeleweka Tz ndo kuna umaskini wakutupwa sio USA.

We jamaa sikutegemea kuwa kichwani ni empty.
Inaonekana huyu mtoa mada haelewi hata maana ya umasikini
 
Yawezekana uchumi wa marekani unamilikiwa na watu wachache kwa kiwango kukubwa ,je wale kajamba nani hali ikoje?
Kwa hiyo unataka watu walingane? Lazima kuwe na tajiri na maskini ili tutegemeane .

Ila umaskini wa Tz huwezi linganisha na USA.

Tz mtu akimiliki gari tu anaonekana tajiri kumbe wenzetu uko tajiri mpaka umiliki fancy car.
 
Uko Sahihi mkuu. uzuri nimefika na kuishi kwenye zote ulizotaja japo huko kwa weupe sio sana ila naamini unachokisema kwa asilimia mia. Maisha kule ni hand to mouth. Hakuna kusave hata mia. Wamefanya hesabu kabisa kuwa wakikulipa mia tano lazima mwisho wa mwezi iishe yooote na uingie tena ukiwa mtupu kabisa. Labda ufanye kazi usiku na mchana kama wabongo wengi wanavyofanya huko majuu. Mfano mzuri ni Lemutuz alivyotua bongo bila hata mia
 
Mkuu $700 kwa wiki unaniambia inakupeleka wapi?.

Tufanye hivi:
Kodi ya nyumba nalipa $600 kwa mwezi

Umeme $40
WI FI 50
Chakula200

Jumla kama 890 kwa mwezi

Turudi sasa
700 x 4=$2800
2800-890= 1910 hiyo ndio pesa unaweka akiba
$890 kwa mwezi!!! Kwa mwaka=10680!!!! Upo maeneo gani chief?
 
Achana na huyo anayeleta stori za vijiweni!
 
Eti mtu anaingia kazini saa 2 asubuhi na kutoka saa 8 au 9 uku aitoka kunywa chai, kula cha mchana maana yake alipoteza masaa 2 pia. hivyo katika masaa 24 kafanya kazi masaa 5 tu akilipwa dollar 200 kwa mwezi ni sawa maana ana muda wa ziada kufanya biashara au kazi nyingine ili atengeneze dolla 300 au 400 nyingine.
 
Yaani mwalimu wa shule ya msingi huko marekani anapanga likizo yake aje kupanda mlima kilimanjaro na akae mwezi mmoja kwenye 5star hotel pale arusha, upande wa pili tafuta mwalimu wa shule ya msingi bongo, huruma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…