Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Robo ya watanzania wanaishi kwenye ufukara wa kutupwa,hawa hata kupata mahitaji muhimu ya binadamu kama milo 3 tu kwa siku bado ni changamoto kwao.
Marekani kipindi cha corona kila raia alipewa dollar 1200 na watoto wakapata $500 kila mmoja
Wale waliacha kazi kwa majanga ya corona wanalipwa kila wiki $ 700 na kuendelea.
Binafsi kazini kwangu naliowa $800 kazini kwangu na $ 700 kutoka serekalin kila wiki
Watu mwenye kipato cha chini walipewa bima na kadi ya chakula isitoshe wanapelekea chakula na bank food.
Tanzania...............?
Halafu tuulize nani mwenye njaaa?