msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,888
Hizi ni sentensi za watu ambao hawajaona maisha halisi ya nje ya nchi...ni ya kusimuliwa tu.Masikini aliyeko marekani ni tajiri kwa tanzania, bora kuwa mfungwa marekani kuliko kuwa uraiani Tanzania
Wana kitu kinaitwa food stampsNaunga mkono hoja, inatakiwa uwe kama roboti ili uweze kukidhi maisha huko, wengine wanafanya kazi zaidi ya sehemu moja ili kumudu gharama za maisha, inaitwa hakuna kulala......mfumo wa kibepari ni mfumo wa kiibilisi unawafanya watu waishi kama maroboti...
Kabla sijafika huko nilikua na akili kama zako za kwenye kahawa Ila baada ya kufika huko nilijionea mwenyewe !!!!achana na hawa jamaaMarekani ni taifa lenye watu wengi wenye hali mbaya kimaisha mfano 40% ya watu weupe wanaishi kwenye umasikini.
Pia watu wengi weusi wanaishi kwenye umasikini na msongo wa mawazo, yaani tuseme wanapata pesa ya kula na kulipia pango basi ili tatizo lipo pia South Africa na Kenya.
Mifumo ya Ubepari ni hatari sana duniani pamoja na mapungufu yake Baba wa taifa alifanya jambo kubwa sana kutoruhusu ubepari kuzagaa mapema Tanzania ukitoa mikoa ya Dar na Arusha mikoa mingine maisha ni rahisi kutoboa ila kwa wenzetu miji yao yote cost za maisha zipo juu sana.
Ndio maana ni vigumu sana kuona maandamano Tanzania lakini nchi kama South na Kenya pia Marekani jambo dogo tu unaweza kuta watu wanaandamana wanapiga police, wanapora mali huu ni umasikini wala sio ubaguzi, wanaficha matatitizo yao kwenye ubaguzi lakini ukweli ni hali mbaya ya uchumi mifukoni uku matajiri wakikusanya pesa yote.
Tanzania tuna umasikini lakini tuna low cost of living ndio maana Mashamba, Ng'ombe yanamilikiwa na masikini Tanzania.
Anasave hvyo hlf kashindwa kulipa dola elf 17 za kutibiwa sikio...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakunaga watu choka mbaya kama madayaspora [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama ni kweli, sisi tunanjaa kuliko wao, pia jamaa wameendelea sana.Marekani kipindi cha corona kila raia alipewa dollar 1200 na watoto wakapata $500 kila mmoja
Wale waliacha kazi kwa majanga ya corona wanalipwa kila wiki $ 700 na kuendelea.
Binafsi kazini kwangu naliowa $800 kazini kwangu na $ 700 kutoka serekalin kila wiki
Watu mwenye kipato cha chini walipewa bima na kadi ya chakula isitoshe wanapelekea chakula na bank food.
Tanzania...............?
Halafu tuulize nani mwenye njaaa?
Sio Shamba, kumiliki nyumba US lazima uwe tajiri kweli kweli, wengi wamepangaHivi US mtu wa kawaida anaweza miliki shamba angalau heka 5? au anaweza fuga ng'ombe? bongo mtu anaweza kuwa anaingiza 10,000 kwa siku anaenda sokoni ananunua kila kitu na anabaki na akiba ya 5000, US mtu analipwa dollar 75 Au 100 kwa siku akienda super market pesa yote anaacha kule nani mwenye maisha magumu?
Umasikini ni nini?Marekani ni taifa lenye watu wengi wenye hali mbaya kimaisha mfano 40% ya watu weupe wanaishi kwenye umasikini.
Pia watu wengi weusi wanaishi kwenye umasikini na msongo wa mawazo, yaani tuseme wanapata pesa ya kula na kulipia pango basi ili tatizo lipo pia South Africa na Kenya.
Mifumo ya Ubepari ni hatari sana duniani pamoja na mapungufu yake Baba wa taifa alifanya jambo kubwa sana kutoruhusu ubepari kuzagaa mapema Tanzania ukitoa mikoa ya Dar na Arusha mikoa mingine maisha ni rahisi kutoboa ila kwa wenzetu miji yao yote cost za maisha zipo juu sana.
Ndio maana ni vigumu sana kuona maandamano Tanzania lakini nchi kama South na Kenya pia Marekani jambo dogo tu unaweza kuta watu wanaandamana wanapiga police, wanapora mali huu ni umasikini wala sio ubaguzi, wanaficha matatitizo yao kwenye ubaguzi lakini ukweli ni hali mbaya ya uchumi mifukoni uku matajiri wakikusanya pesa yote.
Tanzania tuna umasikini lakini tuna low cost of living ndio maana Mashamba, Ng'ombe yanamilikiwa na masikini Tanzania.
Kwahyo unatakaje. Ule bila kufanya kazi kama watz mlivyozoea?Naunga mkono hoja, inatakiwa uwe kama roboti ili uweze kukidhi maisha huko, wengine wanafanya kazi zaidi ya sehemu moja ili kumudu gharama za maisha, inaitwa hakuna kulala......mfumo wa kibepari ni mfumo wa kiibilisi unawafanya watu waishi kama maroboti...
S
Sio Shamba, kumiliki nyumba US lazima uwe tajiri kweli kweli, wengi wamepanga
Ila nimependa unavyojibu na kupangilia majibu yako; Hongera.Sio kweli mfumo wa marekani kumiliki nyumba ya kuishi ni kitu rais
Unaweza kwenda serekali ukaomba wakujengee nyumba utakuwa unalipa taratibu mfano kila mwezi dola 500
Kuna nyumba za mkopo unaweza kununua pia ukawa unalipa kila mwz $ 1000 ila inategemea nyumba ina bei gani
Kumbuka ishi kulingana na kipato chako
Mfano kipato chako ni $ 2000 unataka nyumba ya trump,mambo hayaendi hvyo
Siyo kweli. Kuna raia wengi tu wa Marekani, tena wa Kuzaliwa; halafu ma Veteran sasa. Kwa maana ya kwamba walikuwa jeshini huko na wakaenda vitani. Hawana kazi na ni ma homeless. Kwa hiyo wewe kuwa raia hakukufanyi kuwa na mtelemko wa maisha. Ukizubaa unaishi mtaroni kweli. 😀😀Ninavyojua Mimi, Huko US Kama wewe ni raia wa nchi ile ufanye kazi usifanye kazi huwezi kukosa chakula Wala kulala nje kwenye mtaro labda uamue mwenyewe kuishi kwenye mtaro otherwise Kodi ya nyumba haiwezi mfanya raia wa US aishi mtaroni
Tofautisha hectare na acreAnae mwita mwenye gunia 10, mashamba na ng'ombe kuwa maskini ni haki. Ana umasikini wa akili, wa kushindwa kupanga kuzitumia raslimali alizonazo kutajirika. Ana mashamba na unasema ana gunia 10, mkulima wa USA hecta 1 ya mahindi anatumia mbolea mifuko 6 na anavuna gunia zaidi ya 40! Tanzania tu maskini wa uongozi, wa kushindwa kusimamia mipango ya maendeleo na kukwamisha mipango binafsi ya wananchi kwa kuweka mizengwe na utitiri wa kodi kwa kila utalojaribu kufanya.
Socialism,education for self reliance in Tanganyika.Marekani ni taifa lenye watu wengi wenye hali mbaya kimaisha mfano 40% ya watu weupe wanaishi kwenye umasikini.
Pia watu wengi weusi wanaishi kwenye umasikini na msongo wa mawazo, yaani tuseme wanapata pesa ya kula na kulipia pango basi ili tatizo lipo pia South Africa na Kenya.
Mifumo ya Ubepari ni hatari sana duniani pamoja na mapungufu yake Baba wa taifa alifanya jambo kubwa sana kutoruhusu ubepari kuzagaa mapema Tanzania ukitoa mikoa ya Dar na Arusha mikoa mingine maisha ni rahisi kutoboa ila kwa wenzetu miji yao yote cost za maisha zipo juu sana.
Ndio maana ni vigumu sana kuona maandamano Tanzania lakini nchi kama South na Kenya pia Marekani jambo dogo tu unaweza kuta watu wanaandamana wanapiga police, wanapora mali huu ni umasikini wala sio ubaguzi, wanaficha matatitizo yao kwenye ubaguzi lakini ukweli ni hali mbaya ya uchumi mifukoni uku matajiri wakikusanya pesa yote.
Tanzania tuna umasikini lakini tuna low cost of living ndio maana Mashamba, Ng'ombe yanamilikiwa na masikini Tanzania.
Maskini Tanzania, ana ng'ombe 500 hadi 1000. Ana mbuzi na kondoo wapatao 100, anakuku wa kienyeji ambao ukimtembelea muda wowote unachinjiwa, Maskini huyu anamashamba hekari si chini ya ishirini, anaishi kijijini, hana TV wala hana simu ya touch. Zaidi anasimu ya button. Ok wewe unaelipwa na serikali umekatiwa na bima. Ukijilinganisha na Maskini wa Tanzania wa kijijini ni nani alie na vitega uchumi. Nimeishi Ulaya mara nyingi niliwaambia swala si umasikini ni "life style" kwa sababu Mmasai anae kaa porini na kuitwa masiki wakati ana ng'ombe 1000 hadi 5000 si sawa. Au msukuma aliye na ng'ombe na mashamba kusema ni masikini sidhani. Kwani Ulaya au Marekani kuna wengi wasio na uwezo wa kumiliki ng'ombe 5000 kuwa na mashamba na nyumba hata ukiwambia waje huku kununua. Wengi wanaishi kupata hela kulipia pango na kula basi. Chukulia mfano yule mzee wa kimasai alojenga shule yake kwa familia alikuwa na watoto Zaidi ya 80. Wote aliwalisha. Huko Marekani wewe unaejisifia kupewa hela na serikali ungeweza? Hata ulipwe na serikali miaka 10 uwezi mfikia huyu mzee. RIP Mzee wetu wa Ngorongoro. Watu wanazuzuka tu na maisha ya Ulaya na Marekani lakini hakuna kitu. Tazama vijana walioko Tanzania wanavyopata mafanikio Zaidi ya walioishi Ulaya miaka kibao.Marekani kipindi cha corona kila raia alipewa dollar 1200 na watoto wakapata $500 kila mmoja
Wale waliacha kazi kwa majanga ya corona wanalipwa kila wiki $ 700 na kuendelea.
Binafsi kazini kwangu naliowa $800 kazini kwangu na $ 700 kutoka serekalin kila wiki
Watu mwenye kipato cha chini walipewa bima na kadi ya chakula isitoshe wanapelekea chakula na bank food.
Tanzania...............?
Halafu tuulize nani mwenye njaaa?
Maskini Tanzania, ana ng'ombe 500 hadi 1000. Ana mbuzi na kondoo wapatao 100, anakuku wa kienyeji ambao ukimtembelea muda wowote unachinjiwa, Maskini huyu anamashamba hekari si chini ya ishirini, anaishi kijijini, hana TV wala hana simu ya touch. Zaidi anasimu ya button. Ok wewe unaelipwa na serikali umekatiwa na bima. Ukijilinganisha na Maskini wa Tanzania wa kijijini ni nani alie na vitega uchumi. Nimeishi Ulaya mara nyingi niliwaambia swala si umasikini ni "life style" kwa sababu Mmasai anae kaa porini na kuitwa masiki wakati ana ng'ombe 1000 hadi 5000 si sawa. Au msukuma aliye na ng'ombe na mashamba kusema ni masikini sidhani. Kwani Ulaya au Marekani kuna wengi wasio na uwezo wa kumiliki ng'ombe 5000 kuwa na mashamba na nyumba hata ukiwambia waje huku kununua. Wengi wanaishi kupata hela kulipia pango na kula basi. Chukulia mfano yule mzee wa kimasai alojenga shule yake kwa familia alikuwa na watoto Zaidi ya 80. Wote aliwalisha. Huko Marekani wewe unaejisifia kupewa hela na serikali ungeweza? Hata ulipwe na serikali miaka 10 uwezi mfikia huyu mzee. RIP Mzee wetu wa Ngorongoro. Watu wanazuzuka tu na maisha ya Ulaya na Marekani lakini hakuna kitu. Tazama vijana walioko Tanzania wanavyopata mafanikio Zaidi ya walioishi Ulaya miaka kibao.