Marekani yaanza kutafuta uungwaji mkono ili kuiwekea vikwazo China

Joka la kibisa a. k. a USA sasa ni wakati wake wa kuvuliwa pichu
 
Acha ujinga, kila mtu na rafiki zake. China na Russia na marekani na mazezeta wenzake. Tusichoshane wala tusipangiane
 
Haijawahi na haitawahi kuja kupoteza,keep dreaming.
Unaonekana hujasoma historia bro. Soma kuhusu Dola ya Kirumi (Roman Empire), soma kuhusu dola ya Ottoman (Waturuki) na British Empire (makoloni ya Waingereza). Then uje tujadili. Marekani haina miaka 20 hapo mbele, ita cease kuwa muonevu na muanzisha vita wa dunia! Mark this thread tukiwa hai.
 
Sasa hivi si ajabu mitaaa kadhaa ukakuta hakuna bidhaa yoyote ya Marekani lakini si rahisi kukosa bidhaa ya kichina
Kuna watu hawatakuelewa bro, sijui ufafanueje hawa Pro-USA wakuelewe. China ndio global manufacturing hub kwa sasa na ndio yenye uchumi unaokuwa kwa kasi ya tarakimu mbili ikifuatiwa na India. Kampuni almost zote kubwa za mabeberu wa Marekani zinazalishia bidhaa zake China, akina Apple, General Motors nk.
 
Hawa muwezi mchina hata kwa dawa walahi, na sasa huko marekani kumejaa Ma bipolar psychopath tu walahi!
Kaa kimya 😊😊😊

Hao wakipigana hatapatikana bingwa na ndo mwisho wa dunia siku hiyo. ACHANA NA MAREKANI KABISA! NA USIICHUKULIE POA.
 
Shetani Marekani.
Raia wa nchi zote dunia wanaishi Marekani. Ukimtafuta raia wa urusi, china, india, Tanzania, kenya n.k wote utawakuta Marekani. Hakuna nchi yoyote isipokuwa Marekani inayoishi na raia wa kila nchi.
Acha iitwe Marekani. Kwenye hii migogoro anapiga hela sana kwa kuuza silaha. Tayari keshamuuzia silaha Taiwan. Capitalist achana naye, ana akili nyingi sana za kutengeneza hela
 
Na ndo nchi pekee itakayoshika dola ya duniani kwa kipindi kirefu zaidi kuzidi zote duniani! Huenda yeye ndo akaongoza mpaka Qiyyama... anayebisha ahifadhi uzi huu. 😊
 
Ikubali tu ishapoteza umonita wa dunia bado ukiranja
Kama Russia, korea kaskazini na China wanawekewa vikwazo nani aliyebaki hapo?
Ni nchi gani iliyowahi kumuwekewa vikwazo marekani au yenye uwezo wa kumuwekewa vikwazo?
Hizi vita russia na china wanazozianzisha zinamnufaisha sana Marekani kwa kuuza silaha. Tayari Marekani ameshamuuzia silaha Taiwan za pesa ndefu.
Ukijua kuwa Marekani wale watabaki kuwa ni kiranja wa dunia. Ukitafuta raia wa nchi yoyote ile dunia km Tanzania, somalia, kenya, nigeria, india, china n.k wote utawakuta wanaishi Marekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…