Ishu ya Covid lockdown tu wenye maduka madogo kariakoo waliishiwa stock wakawa mzigo umeganda haubadiliki kwa miezi hadi watu wakahamia soko la uturuki π€£π€£π€£China ikiingia vitani hata huku tutaifeel vzr tu.
Kwakuwa hatuna Roho yaye[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mrusi akimruhusu Taleban itapendeza sana akawafyeke mashoga wa Ukraine na NATO kwa uhuru. Najua Marekani lazma atapiga biti tu... Warabu hawanaga hofu ya kufa.
Wanaishi marekani ni sawa ila ni kwa sababu ya njaa zao tu. Sio kwamba hamna nchi nzuri zaidi ya marekani. Scandnaviana countries ziko bomba sana kuliko hata US.Kama Russia, korea kaskazini na China wanawekewa vikwazo nani aliyebaki hapo?
Ni nchi gani iliyowahi kumuwekewa vikwazo marekani au yenye uwezo wa kumuwekewa vikwazo?
Hizi vita russia na china wanazozianzisha zinamnufaisha sana Marekani kwa kuuza silaha. Tayari Marekani ameshamuuzia silaha Taiwan za pesa ndefu.
Ukijua kuwa Marekani wale watabaki kuwa ni kiranja wa dunia. Ukitafuta raia wa nchi yoyote ile dunia km Tanzania, somalia, kenya, nigeria, india, china n.k wote utawakuta wanaishi Marekani.
Nimekaa pale, huyo superpower wenu kabla ya 2030 lazma awe kalambishwa mchanga...Unless utawala ubadilike aingie raisi mwenye hekima.Na ndo nchi pekee itakayoshika dola ya duniani kwa kipindi kirefu zaidi kuzidi zote duniani! Huenda yeye ndo akaongoza mpaka Qiyyama... anayebisha ahifadhi uzi huu. π
Wanaona Marekani kama ndio Mungu wa dunia. Marekani 2030 haitafika lazma iwe imesambaratika. Hizo sanctions na kulazimisha vitu ni kama kicks of a dying horse.Unaonekana hujasoma historia bro. Soma kuhusu Dola ya Kirumi (Roman Empire), soma kuhusu dola ya Ottoman (Waturuki) na British Empire (makoloni ya Waingereza). Then uje tujadili. Marekani haina miaka 20 hapo mbele, ita cease kuwa muonevu na muanzisha vita wa dunia! Mark this thread tukiwa hai.
Ndio washachokwa na kila mtu, hata wale manunda wa mtaa huwa wanaishiaga kufa vibaya sana ikifikia stage wananchi wamechoka kufanyiwa matukio.Tangu 1914 kwenye vita ya dunia mpk leo.
Unajiuliza kama Russia, China, Iran na korea kaskazini wanawekea vikwazo. Nani aliyebaki hapo?
Ni nchi gani iliyowahi kumuwekea vikwazo Marekani? Marekani walikiri waliivamia Libya. Je, kuna nchi yoyote iliyomuwekea vikwazo?.
Russia ameenda kuivamia Ukraine kawekewa vikwazo.
Israel kila siku anawapiga wapalestina. Juzi ameipiga Syria mpk Russia amelaani. Nani aliyemuwekea vikwazo?
Marekani na Israel ni fire
We unaangalia trade au misaada?Yupi ni trade partner mkubwa kwetu kati ya U.S.A na China ?
Akili za kishamba sana...Unaangalia mikopo au Biashara?Hahaaa!!sasa Afrika na US nani anamtegemea mwenzake zaidi?!mfano kwa Tz china anatoa misaada gani kumzidi US??!
Hana muda kuanzia 2024 lazma kitawaka. Dunia itachangamka sana.Kilicho umiza super power nying dunian n kutaka kukandamiza watu wengine UK na zingine zilitumua nguvu nying kuumiza watu leo ziko wapi haya marekan ipo siku tu na yeye ataondoka hapo alipo
Hulioni likitokea au sio? π€£π€£π€£ Watu wanaandaa Nuclear zao na wametupilia mbali mpango wa pamoja wa kushirikiana kwenye kukagua Nuclear arsenals we kaa hivyo hivyo.Achana na historia za flame zilizoanguka kutokana na sababu ambazo nyingi ni irrelevant kwa sasa. Marekani bado yupo sana, hata miaka zaidi ya 100 ijayo. Jambo ambalo litaisumbua US kwenye nafasi yake ni aingie kwenye vita ya moja kwa moja kati yake na either Urusi au Mchina, na hili sioni likitokea.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Supa pawa wa mchongo anaomba ushirika kwa nguvu, apo apo anapiga biti wale wanaotaka kuweka ushirika na Russia.π€£π€£ Marekani kifo cha mende kinampigia hodiAnaomba kuungwa mkono na mataifa dhaifu ili apitishe ushoga wake kila taifa..
Huyo shoga amefikia kiama chake. Hadi Museveni anamvimbia π€£π€£π€£Supa pawa wa mchongo anaomba ushirika kwa nguvu, apo apo anapiga biti wale wanaotaka kuweka ushirika na Russia.π€£π€£ Marekani kifo cha mende kinampigia hodi
Sipende misaada inalemaza akili naenda na uhusiano wa kibiashara.We unaangalia trade au misaada?
Watu wote wananjaa ndiyo maana tunatafuta hela. Ndiyo maana watu wanatafuta maisha popote pale. Ila USA fursa zipo nyingi kuliko nchi yoyote ile duniani.Wanaishi marekani ni sawa ila ni kwa sababu ya njaa zao tu. Sio kwamba hamna nchi nzuri zaidi ya marekani. Scandnaviana countries ziko bomba sana kuliko hata US.
Tofautisha manunda wa mtaa ambao hawana dola na hawana hela na ambao wana dola na wanahela.Ndio washachokwa na kila mtu, hata wale manunda wa mtaa huwa wanaishiaga kufa vibaya sana ikifikia stage wananchi wamechoka kufanyiwa matukio.
HEHEHE!...
Iporomoshe wewe basi...
TO BE A GAY IS A CHOICE WE MPUMBAVU!... JUZI TU RAIS WA AMERIKA MWENYEWE KAZUNGUMZA NA ANAJIULIZA NI NGUVU GANI IPO NYUMA YA LAANA HII?!...WATU HAWANA HAYA... HAJISIKII VIBAYA WALA FEDHEHA KUTOKA KWA NDUGU, JAMAA, MARAFIKI NA FAMILIA YAKE KUWA MTU WA NAMNA HIYO?!... kaongea mengi sana!Nilisahau jambo moja; America wamejaa mashoga.
Mzee unaona ni kitu rahisi?!Wanaona Marekani kama ndio Mungu wa dunia. Marekani 2030 haitafika lazma iwe imesambaratika. Hizo sanctions na kulazimisha vitu ni kama kicks of a dying horse.
We mzee utamfanyaje mwanaume mwenzio mkeo?! π³π³π³Ndio mjiandae kushuhudia kile ambacho mlikuwa hamkitaki na akishapigwa chini huyo super power wenu tutawafanya wake zetu nyie mashabiki zake.
Hahahah ni deathrow tu kmmmkTO BE A GAY IS A CHOICE WE MPUMBAVU!... JUZI TU RAIS WA AMERIKA MWENYEWE KAZUNGUMZA NA ANAJIULIZA NI NGUVU GANI IPO NYUMA YA LAANA HII?!...WATU HAWANA HAYA... HAJISIKII VIBAYA WALA FEDHEHA KUTOKA KWA NDUGU, JAMAA, MARAFIKI NA FAMILIA YAKE KUWA MTU WA NAMNA HIYO?!... kaongea mengi sana!
Nenda twitter tafuta videos tazama, na utazame na za WILLIAM RUTO pia
Lakin Hiyo ndo hoja muhimu wewe uliyoona ya msingi kabisa hapa?! Wamejaa gays sawa.., ila ndo wababe hao. We mwenyewe hushangai?!
Hao wajaa laana wapo everywhere duniani na aliyeamua kufirwa shauri yake na mungu wake sisi hatuhusu akiingia kwenye 18 zangu naua tu kumamamae!
Ila ongea hoja za msingi sio hao laana!