Marekani yaidhinisha Dawa ya VVU ya kutumika mara 1 kwa mwezi badala ya vidonge vya kila siku

Marekani taifa kubwa.....๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ
 
HIV ni bihashara kwa USA na kampuni zake kwa iyo lazima wawe makini ni iyo bihashara
 
Hawana jema uku unatumia coca cola beverages zao
 
Unapiga kelele za bure wakiamua kuku chanja utachanjwa tu labda ufe, mbona ndui unayo begani
 
Unamsema mwanamama Ray C kiuno kina mfupa
 
Kwahiyo kila mwezi sindano moja,kwa mwaka sindano 12...
 
Lol wtf is wrong with you people. Conspiracy theory everyday zinawateka.
Yaan hata chanjo haijafika africa eti wamewela virus vya vvu kwenye chanjo ya covid.. nani kasema?
Ili wapate nini?
 
Nchi inayoilaribia america kwa population ni nigeria. With 206mil.. while US wakiwa na 331mil.
 
Tulivyo wa ajabu utashangaa hii tunaitaka. Tutasahau kuwa inatoka America au Ulaya
Kwa viongozi wazalendo wa nchi yao kama hapa TZ hawawezi kukubali kupokea hizi dawa kwsbb zinatoka kwa Mabeberu

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lol wtf is wrong with you people. Conspiracy theory everyday zinawateka.
Yaan hata chanjo haijafika africa eti wamewela virus vya vvu kwenye chanjo ya covid.. nani kasema?
Ili wapate nini?
Wapate nini,kwani sasa wanapata nini from Africa?Wake up friend.Hivi hujui kwamba they want to depopulate the World and specifically Africa.Wewe unahitaji darasa la peke yako,you are too much removed from reality.By, next time.
 
Unapiga kelele za bure wakiamua kuku chanja utachanjwa tu labda ufe, mbona ndui unayo begani
Dah,kweli wajinga tuko wengi.Mimi sichanjwi na hata watoto wangu sichanji.Utachanjwa wewe,watoto wako na nduguzo.

Hata hivyo ninachofanya mimi ni ku-raise awareness,ili mtu akikubali kuchanjwa au kunywa hiyo dawa ya VVU afanye hivyo from an informed position.
 
Wapate nini,kwani sawa wanapata nini from Africa?Wake up friend.Hivi huijui kwamba they want to depopulate the World and specifically Africa.Wewe unahitaji darasa la peke yako,you are too much removed from reality.By next time.
Lol bado uko kwenye conspiracy theory man. Nikuomba ushahid unaweza kuuwasilisha hapa? I mean pure scientific evidence?

What is reality? Reality ni perception. Some of you mna rely kwenye conspirwcy theory which mostly inakuwa hamna ushahidi.
Lets unachosema ni kweli? Where is the evidence inayo support madai yako?
 
Mkuu hata hujui maana ya to conspire..

To cospire is to make secret plans jointly to commit an unlawful or harmful act.Sasa kwa ujinga wetu wamegeuza maana ya neno,sisi ndio sasa tunaonekana tuna-conspire,no we are only exposing the evil they are doing against us and people should in fact thank those who are doing it instead of ridiculing them.Jamani amkeni.How does this become a conspiracy if the NWO elite are talking about the concept of synthesis thesis and antithesis openly.
Kama wamepika COVID watashindwa kupika na hili,acheni ujinga ninyi.Haya wamelikoroga sasa,linyweni.Watch this uone wanavyo yakoroga!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ