Hanny danny
Member
- Oct 29, 2019
- 61
- 31
Bora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwaze mkuu wewe endelea kufuata ushauri wa daktari, fanya mazoezi, kula vizuri pumzika mapema. Hizo dawa siyo leo wala kesho kuzipata.
Na hiyo ikataeni kama mnavyopinga chanjo ya covid 19
Na hiyo ikataeni kama mnavyopinga chanjo ya covid 19
Hiyo sindano itapigwa kwenye tako, siyo begani Mkuu. Kazi ipo.Ngoma haituliziki kwa maombi, raia wanaomba ifike hata leo jioni wawahi kula nyundo za bega.
Hahahah ile kumbe wanaichapa kwenye masaburiHiyo sindano itapigwa kwenye tako, siyo begani Mkuu. Kazi ipo.
Ndio naikataa.It is commonsense.Wanajua wameweka VVU kwenye chanjo ya C-19!Wanachojaribu sasa kufanya ni kuficha uovu wao.Ilikuwa wapi siku zote,wamesubiri chanjo ovu ya C-19,ambayo kiukweli sio chanjo ni extermination tool ndio waiingize sokoni?Amka wewe acha uzuzu.Huyu anaweza kuikataa areafiftyone
Na hiyo ikataeni kama mnavyopinga chanjo ya covid 19
hizi arv tu za kawaida zilikua zinaletwa nawahisani, sasa kwa wizi wa kura uliofanywa na mataga october 2020 sidhani kama wahisani wataleta hizo dawa hapa Sithole.Itasambazwa dunia nzima au
😂😂Ile ya Madagascar ili ishia wapi?