Marekani yaishutumu Urusi kutumia Chakula Kama silaha ya kivita Ukraine

Marekani yaishutumu Urusi kutumia Chakula Kama silaha ya kivita Ukraine

Russia wamemjibu Katibu mkuu wa umoja wa mataifa na mkurugenzi wa WFP kwamba wakitaka bandari zifunguliwe wapate chakula,

Wajitafakari kwanza Suala vikwazo vya kiuchumi alivyowekewa Russia tangu mwanZo wa operation hii,

Ni nin wao walifanya Kama viongozi wa mihimili mikuu ya uongozi ndani ya umoja wa mataifa

Source: reutersView attachment 2232884

Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta!!!
 
Maneno hayo ya secretary wa US- Antony blinken yanakuja baada ya Russia kushikilia moja kwa moja miji ya bandari na viwanda ya Odesa na mariupol.

Russia ilizuia usafirishaji wa bidhaa za Chakula na mazao kwa kile kilichodaiwa kua Chakula na mazao hayo yamekua yakienda kwenye maghala ya nchi za maadui wa russia.

Badala yake Russia ilisema kuanzia sasa Russia ndie atakua mgawaji na msambazaji mkuu wa Chakula hicho kwa nchi marafiki, na nchi maadui akiwemo Ukraine na baadhi ya nchi za nchi za ulaya Sasa watalazimika kununua Chakula hicho kutokea KREMLIN-MOSCOW kwa pesa cash ya Kirusi,yaani RUBO.

Secretary Antony blinken alisema "Russia WAMEAMUA kutumia Chakula Kama silaha ya kivita kwa kushikilia na kuzuia mamilioni ya Tani za ngano na mafuta ya alizeti zisisafirishwe kwa nchi zinazoitegemea Ukraine moja kwa moja kwa Chakula"

"Hii haikubaliki, na huu Ni uhalifu dhid ya maisha ya binadamu. Duniani nzima pamoja na umoja wa mataifa inapaswa kusimama na kulaani vitendo hivi maana vinakwenda kuumiza hata wasiohusika Moja kwa Moja"

"Kuna wazee,akina mama na watoto walioko Ukraine,ulaya na nchi tegemezi kwa chakula Cha ukraine wanakwenda kuathirika na baa la njaa kwa sababu Russia kaamua kushikilia Chakula Kama silaha yake ya kivita. Hii haikubaliki. Huu sio ubindamu. Huu Ni uhalifu wa kivita"

Chanzo: Al Jazeera englishView attachment 2232774

Sent using Jamii Forums mobile app
sipat picha Putin akifer ujinga wake huu , dunia itakuja kumuona km rais kituko kuwai kutokea na dunia itasahau yote mazur aliyoyafanya kwa Urusi
 
Hakuna rais kilaza kama huyu kmmke, nchi kashaiharibu thn analeta ujinga wake
Je hakuliona hilo tokea mwanzo[emoji116][emoji116][emoji116]

Ukraine conflict can only be resolved through "diplomacy", Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy says amid deadlock in negotiations between Kiev and Moscow https://t.co/NOkV2Ta6oi
Kajivamia sio ?
 
Hakuna rais kilaza kama huyu kmmke, nchi kashaiharibu thn analeta ujinga wake
Je hakuliona hilo tokea mwanzo[emoji116][emoji116][emoji116]

Ukraine conflict can only be resolved through "diplomacy", Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy says amid deadlock in negotiations between Kiev and Moscow https://t.co/NOkV2Ta6oi
Sio wa kusikiliza ni kuendelea kumpelekea moto tu
 
Russia wamemjibu Katibu mkuu wa umoja wa mataifa na mkurugenzi wa WFP kwamba wakitaka bandari zifunguliwe wapate chakula,

Wajitafakari kwanza Suala vikwazo vya kiuchumi alivyowekewa Russia tangu mwanZo wa operation hii,

Ni nin wao walifanya Kama viongozi wa mihimili mikuu ya uongozi ndani ya umoja wa mataifa

Source: reutersView attachment 2232884

Sent using Jamii Forums mobile app
kwan vinamuumiza ?
 
Putin: People in Africa want to be as wealthy as people in Sweden.

How can it be done? By making them use solar? Has anyone explained the cost?

Go explain to them that they must live in poverty for 30 more years.

We cannot but support renewables.

We just need to be realistic. https://t.co/h2so8nxJDm
hakuna anaekuombea mafanikio , ukiwaza hivyo bas tambua huna tofaut na mwanamke anaetongozwa kila siku akiambiwa Sikuachi na bado anaachwa , JITEGEMEE KIAKILI HAYUPO WA KUPOTEZA MUDA WAKE KUKUAMKSHA
 
... ila huu ni ujinga sana! Tanzania sio nchi ya ku-import ngano; bali ku-export.
Kabisa,sazingine unaweza kusematumerogwa kumbe niujingawetu tu ndio unatufikisha huko kwenye kuagiza ngano nje ya nchi, Arusha mashamba kibao.

Ngano nizao labiashara tungewekeza huko tungekuwa nauwezo waku export saizi.
Hatuna kiongozi mwenye maono.
 
Sababu kuu mbili za kutoruhusu ngano kutoka ni hizi ambazo Urusi imerudia mara kadhaa kufafanua. Hata jana wamejibu tena.
1.Ngano mamilioni ya Tani za ngano kutoka Ukraine yalikuwa yanasafirishwa kinyemela kwenda nchi za Ulaya kufidia gharama ya msaada na silaha ambazo wamekuwa wakiisaidia Ukraine. Mrusi anasema ni uongo mkubwa na uzushi kwa nchi za magharibi kuudanganya ulimwengu kuwa ngano inaenda kwenye nchi zenye njaa ambazo zipo kusini, Afrika na Asia wakati zinakwenda Ulaya na wenye uhitaji wa hizo ngano haziwafikii. Lengo kuu ni kufidia gharama za wanayoiita ni msaada kwa Ukraine.
Ukweli ni kuwa ngano ya Ukraine ilikuwa ikiporwa tuu na haya mataifa bila kulipa chochote.

2.Urusi imesema bandari zote za Ukraine huko black sea zilitegwa mabomu mengi sana ya chini ya bahari.. Na baadhi ya mikanda ya mabomu yale ilikatika na yamesambaa black sea yote kuelekea hadi Mediterranean.. Kumbuka hadi uturuki walianza kuyavua.. Hivyo hakuna meli ya kiraia inayoweza kusogea au kutia nanga kwenye bandari hizo. Meli zaidi ya 75 zimezuiliwa na Ukraine yenyewe zisisogee maeneo hayo(meli za mizigo).
Suala la kuisafisha bandari na bahari lina endelea ingawa Odessa bado kabisa.

2.Urusi ina mamilioni ya Tani za ngano kuliko Ukraine na imezuia kusafirishwa nje ya nchi mpaka kuanzia mwezi juni au September baada ya mavuno tena. Urusi inasema inahakikisha usalama wa chakula wa watu wake kwanza.
Lakini imekataa kata kata ngano yake isiuzwe kwa mataifa adui.
Vikwazo walivyowekewa vinazuia makampuni mengi ya meli kusafirishwa bidhaa kutoka urusi kwenda nchi nyingine ila wametoa unafuu kwa meli zinazopeleka bidhaa Ulaya na Marekani tuu.. Eg gas, oil, nafaka na ngano. Urusi imekataa huo upuuzi ndio Maana inasema waondoe kwanza baadhi ya vikwazo ambavyo vinawatesa nchi maskini wasipate ahueni kutoka urusi Bali wao tuu.

Muhimu muhimu zaidi ni MBOLEA. DUNIA IKIWEMO MAREKANI WANATEGEMEA MBOLEA KUTOKA URUSI NA MISIMU YA KILIMO NDIO IMEANZA.. MEDVEDEV KASISITIZA MBOLEA YA URUSI INAYOTEGEMEWA DUNIA NZIMA HAITOTOKA KWENDA KWA NCHI ADUI KAMWE. NA AKASEMA HIZO NCHI BILA MBOLEA YA URUSI HAWAWEZI KULIMA AU KUZALISHA CHOCHOTE ZAIDI YA JUISI YA MAGUGU.

KUMBUKA TANZANIA TUNATEGEMEA MBOLEA YA URUSI PAMOJA NA NGANO KWA ZAIDI YA ASILIMIA 70.hatuna mgogoro na urusi ila Marekani na Ulaya wanaziwekea sana vizuizi na vipingamizi kampuni za usafirishaji zozote zinazotoa bidhaa kutoka urusi.
 
Kabisa,sazingine unaweza kusematumerogwa kumbe niujingawetu tu ndio unatufikisha huko kwenye kuagiza ngano nje ya nchi, Arusha mashamba kibao.

Ngano nizao labiashara tungewekeza huko tungekuwa nauwezo waku export saizi.
Hatuna kiongozi mwenye maono.
... kama kuna sekta iliyaonzishiwa kaulimbiu, maazimio, mipango mikakati, na miradi mingi lakini haikuwahi kutoboa mojawapo ni kilimo - Azimio la Musoma, Kilimo ni Uti wa Mgongo, Kilimo cha Kufa na Kupona, Kilimo cha Umwagiliaji, Kilimo Kwanza, sijui takataka gani but all ended in vain!

Unajiuliza tatizo ni uongozi? Maono? Utashi? Ufisadi? Chama kinachotawala? Au nini; hupati majawabu ya kueleweka!
 
Maneno hayo ya secretary wa US- Antony blinken yanakuja baada ya Russia kushikilia moja kwa moja miji ya bandari na viwanda ya Odesa na mariupol.

Russia ilizuia usafirishaji wa bidhaa za Chakula na mazao kwa kile kilichodaiwa kua Chakula na mazao hayo yamekua yakienda kwenye maghala ya nchi za maadui wa russia.

Badala yake Russia ilisema kuanzia sasa Russia ndie atakua mgawaji na msambazaji mkuu wa Chakula hicho kwa nchi marafiki, na nchi maadui akiwemo Ukraine na baadhi ya nchi za nchi za ulaya Sasa watalazimika kununua Chakula hicho kutokea KREMLIN-MOSCOW kwa pesa cash ya Kirusi,yaani RUBO.

Secretary Antony blinken alisema "Russia WAMEAMUA kutumia Chakula Kama silaha ya kivita kwa kushikilia na kuzuia mamilioni ya Tani za ngano na mafuta ya alizeti zisisafirishwe kwa nchi zinazoitegemea Ukraine moja kwa moja kwa Chakula"

"Hii haikubaliki, na huu Ni uhalifu dhid ya maisha ya binadamu. Duniani nzima pamoja na umoja wa mataifa inapaswa kusimama na kulaani vitendo hivi maana vinakwenda kuumiza hata wasiohusika Moja kwa Moja"

"Kuna wazee,akina mama na watoto walioko Ukraine,ulaya na nchi tegemezi kwa chakula Cha ukraine wanakwenda kuathirika na baa la njaa kwa sababu Russia kaamua kushikilia Chakula Kama silaha yake ya kivita. Hii haikubaliki. Huu sio ubindamu. Huu Ni uhalifu wa kivita"

Chanzo: Al Jazeera englishView attachment 2232774

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndio namuelewa sanaPUT-IN_deep
 
... kama kuna sekta iliyaonzishiwa kaulimbiu, maazimio, mipango mikakati, na miradi mingi lakini haikuwahi kutoboa mojawapo ni kilimo - Azimio la Musoma, Kilimo ni Uti wa Mgongo, Kilimo cha Kufa na Kupona, Kilimo cha Umwagiliaji, Kilimo Kwanza, sijui takataka gani but all ended in vain!

Unajiuliza tatizo ni uongozi? Maono? Utashi? Ufisadi? Chama kinachotawala? Au nini; hupati majawabu ya kueleweka!
Hapa tatizo kubwa ni chama.
Kwamfumo walio jiwekea,chama kimeona hakiwezi kuwajibishwa na wananchi kwa kushindwa kutekeleza ahadi yoyoteile.

Uzalendo pia hakuna.
Viongozi wakisha chaguliwa uzalendo ni kwenye familiazao na wao binafsi hakuna anaewaza kuhusu maendeleo ya nchi na wananchi.

Hauwezi kuniambia miaka 60 ya uhuru eti hatujui umuhimu wakilimo.

Hizo kaulimbiu wanazianzishaga ilikutuzubaisha tu wakati tunasubiria uchaguzi, lakini hakuna hata chembe ya dhamira ya utekelezaji.

Ni laana hata kwa Mungu kwa nchi kama Tanzania kulialia kuhusu bei za vyakula,niswala la viongozi kuwa serious tu na kilimo.
Angalau hii vita ya Ukrain labda itatushtua kujua kilimo ni muhimu kiasigani.

Ngoja tumuone mama na Bashe watafanyanini, sababu tumezoea kusikia mipango lukuki kama ulivyo orodhesha hapo juu lakini haieleweki inaishiaga wapi.
 
Sababu kuu mbili za kutoruhusu ngano kutoka ni hizi ambazo Urusi imerudia mara kadhaa kufafanua. Hata jana wamejibu tena.
1.Ngano mamilioni ya Tani za ngano kutoka Ukraine yalikuwa yanasafirishwa kinyemela kwenda nchi za Ulaya kufidia gharama ya msaada na silaha ambazo wamekuwa wakiisaidia Ukraine. Mrusi anasema ni uongo mkubwa na uzushi kwa nchi za magharibi kuudanganya ulimwengu kuwa ngano inaenda kwenye nchi zenye njaa ambazo zipo kusini, Afrika na Asia wakati zinakwenda Ulaya na wenye uhitaji wa hizo ngano haziwafikii. Lengo kuu ni kufidia gharama za wanayoiita ni msaada kwa Ukraine.
Ukweli ni kuwa ngano ya Ukraine ilikuwa ikiporwa tuu na haya mataifa bila kulipa chochote.

2.Urusi imesema bandari zote za Ukraine huko black sea zilitegwa mabomu mengi sana ya chini ya bahari.. Na baadhi ya mikanda ya mabomu yale ilikatika na yamesambaa black sea yote kuelekea hadi Mediterranean.. Kumbuka hadi uturuki walianza kuyavua.. Hivyo hakuna meli ya kiraia inayoweza kusogea au kutia nanga kwenye bandari hizo. Meli zaidi ya 75 zimezuiliwa na Ukraine yenyewe zisisogee maeneo hayo(meli za mizigo).
Suala la kuisafisha bandari na bahari lina endelea ingawa Odessa bado kabisa.

2.Urusi ina mamilioni ya Tani za ngano kuliko Ukraine na imezuia kusafirishwa nje ya nchi mpaka kuanzia mwezi juni au September baada ya mavuno tena. Urusi inasema inahakikisha usalama wa chakula wa watu wake kwanza.
Lakini imekataa kata kata ngano yake isiuzwe kwa mataifa adui.
Vikwazo walivyowekewa vinazuia makampuni mengi ya meli kusafirishwa bidhaa kutoka urusi kwenda nchi nyingine ila wametoa unafuu kwa meli zinazopeleka bidhaa Ulaya na Marekani tuu.. Eg gas, oil, nafaka na ngano. Urusi imekataa huo upuuzi ndio Maana inasema waondoe kwanza baadhi ya vikwazo ambavyo vinawatesa nchi maskini wasipate ahueni kutoka urusi Bali wao tuu.

Muhimu muhimu zaidi ni MBOLEA. DUNIA IKIWEMO MAREKANI WANATEGEMEA MBOLEA KUTOKA URUSI NA MISIMU YA KILIMO NDIO IMEANZA.. MEDVEDEV KASISITIZA MBOLEA YA URUSI INAYOTEGEMEWA DUNIA NZIMA HAITOTOKA KWENDA KWA NCHI ADUI KAMWE. NA AKASEMA HIZO NCHI BILA MBOLEA YA URUSI HAWAWEZI KULIMA AU KUZALISHA CHOCHOTE ZAIDI YA JUISI YA MAGUGU.

KUMBUKA TANZANIA TUNATEGEMEA MBOLEA YA URUSI PAMOJA NA NGANO KWA ZAIDI YA ASILIMIA 70.hatuna mgogoro na urusi ila Marekani na Ulaya wanaziwekea sana vizuizi na vipingamizi kampuni za usafirishaji zozote zinazotoa bidhaa kutoka urusi.
Yfafanuz mzur Sana huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom