Marekani yapata kipigo chake cha mwanzo Red Sea. Yakiri meli yake kupigwa makombora ikihusiswa na vita vya Israel

Marekani yapata kipigo chake cha mwanzo Red Sea. Yakiri meli yake kupigwa makombora ikihusiswa na vita vya Israel

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Pentagon imekiri meli yake ya kivita iitwayo USS Carney imepigwa kwa makombora kwenye bahari nyekundu.Vipigo hivyo vimehusishwa na vita vya Israel huko Gaza na kwamba meli nyengine za kibiashara zinazohusishwa na Israel nazo pia zimeshambuliwa.

Bado haijawekwa wazi kiwango cha hasara na nani aliyefanya mashambulio hayo.Hata hivyo inakisiwa zaidi imefanywa na wanamgambo wa Houth wa Yemen.

Pentagon imesema itatoa taarifa zaidi hapo baadae.

The Pentagon says US warship, commercial ships attacked in Red Sea. Houthis claim attacking 2 ships

1701626448961.png
 
Melivita ya Marekani haijapigwa, imeshambuliwa. Kushambuliwa (being attacked) na kupigwa (being hit) ni vitu viwili tofauti kabisa.

Mtu kukurushia ngumi na mtu kukupiga ngumi ni vitu tofauti.

Elimu! Elimu! Elimu!
 
Back
Top Bottom